Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

Pande flani hivi kwa Bibi nikimkaanga Mwanaharamu wa Mecca!
😁😁😁
IMG_20240510_132217_554.jpg
 
Hii ya kusema nguruwe ana IQ sawa na ya mtoto mdogo umeitoa wapi utushirikishe ufahamu?🙏

Naona wewe kidogo umeanza kunisaidia uelewa kuhusu swali nililouliza!!
Even so, pigs are considered by scientists to be more intelligent than cats. To give a comparison, when compared to human intelligence, cats are said to be of a similar intelligence level to a two-year-old child, but pigs are thought to have equivalent cognitive abilities to a three-year-old child.

 
Even so, pigs are considered by scientists to be more intelligent than cats. To give a comparison, when compared to human intelligence, cats are said to be of a similar intelligence level to a two-year-old child, but pigs are thought to have equivalent cognitive abilities to a three-year-old child.

Naanza kudoubt hizi tafiti,

Yaaani paka azidiwe akili na nguruwe!!

Paka waeza mtia ndani ya kiroba ukampeleka na kumtupa hata km 20, atapotea hata mwezi, ila atarudi tu home.

Nguruwe haiwezi tokea hiyo kitu.
 
Salaam, shalom!!

Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,

Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,

Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?

Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?

Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.

NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?

Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.

Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?

Karibuni 🙏
Hayawani Ni "Wild" mkuu yaani Mwituni..
Usilichukulie kama Watu wanavyolichukulia kama Tusi kuwa Wanakosa akili
 
Mbuni ni HAYAWANI/ kichaa,

Anaweza kuficha KICHWA chake ardhini akiamini haionekani na maadui zake,

Aweza pia kuwachenjia watoto wake baada ya kusahau kuwa ni wake nk nk
Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.
 
Hayawani Ni "Wild" mkuu yaani Mwituni..
Usilichukulie kama Watu wanavyolichukulia kama Tusi kuwa Wanakosa akili
(Ayubu 39:17., 18,19......)

Imeweka wazi kuwa, mbali na mbuni kuwa wild, amenyimwa akili.

Aweza sahau watoto wake na kuanza kuwadhuru, tena baadae hukumbuka,

Nyati pia ni HAYAWANI amewekwa kundi Hilo, wapo wild animals wenye AKILI kama swala bt wapo HAYAWANI ambao ndio chanzo na msingi wa swali hapo juu.
 
Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.
Ayubu 39 Kuna wanyama na ndege, Mungu mwenyewe amesema kuwa amewanyima akili.

Mbuni, nyati nk nk
 
Salaam, shalom!!

Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,

Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,

Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?

Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?

Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.

NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?

Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.

Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?

Karibuni 🙏
20240501_210940.jpg

Nguruwe ndiye mamalia anayeongoza kwa kuliwa na binadamu duniani.

Salute kwa nguruwe!
 
View attachment 2987245
Nguruwe ndiye mamalia anayeongoza kwa kuliwa na binadamu duniani.

Salute kwa nguruwe!
Kwanza Samaki hachinjwi/ slaughtered.

Pili kuliwa Kwa nguruwe ambaye tunahoji utimamu wake wa akili, ni timamu au hayawani?

Tatu, ikiwa ni HAYAWANI/ kichaa, iweje afae Kwa chakula bila madhara yoyote Kwa mtumiaji?

Wingi wa watu kula pork haibadili maswali na tafiti za thread hii hapo juu,

Kwako DR Mambo Jambo
 
Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.
Kuna viumbe hatari sana!

Wanamsingizia mpaka mbuni?
 
Mleta mada Rabbon wewe unapenda kukaliwa na mapepo?.

Mleta mada unamfahamu kondoo kweli?, kondoo ni moja ya mnyama mjinga sana ila biblia inawaita watu fulani wanakondoo hapo unasemajee?
 
nguruwe anaheshima yake bwana ,tatizo liko kwahawa wasioijua biblia na lugha yake
Ukitaka kujua nguruwe Hana Heshima,

Muoshe Kisha mwache akauke, mpe mgongo hata dk 10 uone atakavyokudissapoint.
 
Back
Top Bottom