Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Pande flani hivi kwa Bibi nikimkaanga Mwanaharamu wa Mecca!
😁😁😁
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Even so, pigs are considered by scientists to be more intelligent than cats. To give a comparison, when compared to human intelligence, cats are said to be of a similar intelligence level to a two-year-old child, but pigs are thought to have equivalent cognitive abilities to a three-year-old child.Hii ya kusema nguruwe ana IQ sawa na ya mtoto mdogo umeitoa wapi utushirikishe ufahamu?🙏
Naona wewe kidogo umeanza kunisaidia uelewa kuhusu swali nililouliza!!
Mdudu gani huyo wa ajabu hivyo?Yule mdudu kata KICHWA kitenganishe na kiwiliwili, kaa hata masaa mawili, ukija mgusa anastuka😀
Nguruwe huyo, hata ukikata KICHWA ukakiondoa,Mdudu gani huyo wa ajabu hivyo?
Naanza kudoubt hizi tafiti,Even so, pigs are considered by scientists to be more intelligent than cats. To give a comparison, when compared to human intelligence, cats are said to be of a similar intelligence level to a two-year-old child, but pigs are thought to have equivalent cognitive abilities to a three-year-old child.
![]()
Pig Intelligence: Are Pigs as Intelligent as Dogs?
Pigs suffer a bad reputation — but science shows they are smart, caring and even clean.sentientmedia.org
🥺😄Nguruwe huyo, hata ukikata KICHWA ukakiondoa,
Damu haigandi hivyo zile senses Bado zinakuwepo sababu ya mafuta mengi ktk ngozi yake.
Hayawani Ni "Wild" mkuu yaani Mwituni..Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.Mbuni ni HAYAWANI/ kichaa,
Anaweza kuficha KICHWA chake ardhini akiamini haionekani na maadui zake,
Aweza pia kuwachenjia watoto wake baada ya kusahau kuwa ni wake nk nk
(Ayubu 39:17., 18,19......)Hayawani Ni "Wild" mkuu yaani Mwituni..
Usilichukulie kama Watu wanavyolichukulia kama Tusi kuwa Wanakosa akili
Ayubu 39 Kuna wanyama na ndege, Mungu mwenyewe amesema kuwa amewanyima akili.Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.
Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Kwanza Samaki hachinjwi/ slaughtered.View attachment 2987245
Nguruwe ndiye mamalia anayeongoza kwa kuliwa na binadamu duniani.
Salute kwa nguruwe!
Kuna viumbe hatari sana!Hili la kificha kichwa ardhini wanamsingizia mbuni tu. Wataalam wanasema mbuni hutaga mayai yake kwenye shimo analochimba. Hivyo basi kitendo cha kuingiza kichwa chake ardhini ni kugeuza mayai yake.
Mungu amemnyima akili Mbuni ( Ayubu 39 imeweka wazi kabisa.Kuna viumbe hatari sana!
Wanamsingizia mpaka mbuni?
nguruwe anaheshima yake bwana ,tatizo liko kwahawa wasioijua biblia na lugha yakeLeo nimeanzisha ugomvi na Wala nguruwe/ HAYAWANI.
Ukitaka kujua nguruwe Hana Heshima,nguruwe anaheshima yake bwana ,tatizo liko kwahawa wasioijua biblia na lugha yake
Madaktari wanasemaje kumhusu?Muache my wetu usimsimange.