Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi,hakuna kisicholiwa duniani,inategemea mazingira na tamaduni husika,mleta mada anaona ni sahihi kula ng'ombe wakati India wanatamani kuzimia kusikia watu wanakula ng'ombe.Na konokono je? Mimi naona ni sahihi kulingana na tamaduni za watu hisika machaguo yao
Umenikumbusha,Weeeeeeh ngoja nikuibie SIRI binadamu vibonge wote unaowaona wenye matumbo makubwa na mavichwa kama ng'ombe wakifa roho zao zinarudi kama nguruwe!
Inshort kadiri siku zinavyozidi kusonga na ndivyo navyozidi kuamini, kwamba yule mdudu ni binadamu!
Macho ya binadamu
Damu ya binadamu
Figo ya binadamu
Ini la binadamu
Roho ya binadamu mlafi.
Sasa unataka uthibitisho Gani husomi world news?mtampenda tu mywetu😁Umenikumbusha,
Jirani yetu utotoni aliwekewa jicho la nguruwe!!
Hapo kwenye Figo na ini, Hadi nithibitishe!!
Kwann ifutwe?Mods futeni hii takataka
Congo na wachina wsnakula kila kitu anzia nyani, ngedere, kenge, nyoka, maduduwasha, mbwa, mamba, ndege zote na kila ukijuacho Hadi mendeHata nyoka, konokono, minyoo waliwe tu?
Maandiko mnayasomaje ninyi?
Fainali uzeeni!!Kama haikatazwi basi tuendelee kumtafuna
Ndio uhayawani wenyewe huo!!Congo na wachina wsnakula kila kitu anzia nyani, ngedere, kenge, nyoka, maduduwasha, mbwa, mamba, ndege zote na kila ukijuacho Hadi mende
Hapana na wewe usiekula wanakuona hayawani , jitahidi kuheshimu machaguo ya wengine utakua na amani, binafsi sijawahi na sili nguruwe lakini siwezi kuwadiss Wala nguruwe Kwa sababu sidhuriki na lolote dhidi yao,Ndio uhayawani wenyewe huo!!
Hata Mimi sijawaongelea Wala nguruwe!!Hapana na wewe usiekula wanakuona hayawani , jitahidi kuheshimu machaguo ya wengine utakua na amani, binafsi sijawahi na sili nguruwe lakini siwezi kuwadiss Wala nguruwe Kwa sababu sidhuriki na lolote dhidi yao,
Mbona waafrika wengi hawatofautiani na huyo mwamba, tena wengine huongoza hadi nchiSalaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Tunakula na hakuna kitu mnafanya. Tena umenikumbusha kesho ijumaa naenda buchani kilo mbili, chap.Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Si WIVU, ni Upendo,Huu wivu sijui utakuja kuisha lini, mbona mnatufuatilia sana na my wetu? [emoji848]
Kwake mbona anaona sawa tu, usikute hata nguruwe humwona binadam hayawaniMnawawekea wanyama wasiotambuwa lolote makosa ujuwe binadamu tulivyokuwa hovyo.
Potelea mbali kwamba ni chakula, lakini nguruwe ana IQ sawa na mtoto mdogo. Na kuna watoto wadogo wana akili kuliko watu wazima.
Go figure…
Hii ya kusema nguruwe ana IQ sawa na ya mtoto mdogo umeitoa wapi utushirikishe ufahamu?🙏Mnawawekea wanyama wasiotambuwa lolote makosa ujuwe binadamu tulivyokuwa hovyo.
Potelea mbali kwamba ni chakula, lakini nguruwe ana IQ sawa na mtoto mdogo. Na kuna watoto wadogo wana akili kuliko watu wazima.
Go figure…
Si WIVU, ni Upendo,
Ili AFYA zidumu.
Haha mbona nishazeekaFainali uzeeni!!
Uthibitishe nini tena wakati mwaka huu mtu kawekewa figo ya nguruwe huko amerika , apo sijaongea juu ya moyo waliopandikiza piaUmenikumbusha,
Jirani yetu utotoni aliwekewa jicho la nguruwe!!
Hapo kwenye Figo na ini, Hadi nithibitishe!!
Mambo ya Walawi yanatuhusu nini sisi wa Tanganyika wa Namtumbo?Mambo ya walawi 11:7