Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya walawi 11:4 ngamia pia ni najisi, hapaswi kuliwa.Tunatofautiana buda;
mfano wewe unapenda mishangazi alafu mimi napenda chuchu konzi.
umeona utofauti ulipo?
wewe endelea kula ngamiaView attachment 2982941
Na mimi naendelea kulaView attachment 2982942
kila mtu ashinde mechi zake.
Nyama ya mtu uingereza inaliwa kwa sasaKwanza Nguruwe siyo hayawani! Ni mnyama wa kawaida anayeliwa vizuri tu.
Hakuna kisicholiwa labda nyama ya mtu tu.
Mwisho usichokula wewe wengine wanakula.
Kaka natamani kufuga Sana, sema naogopa wale wazee wa makobazi Wasije nivamia 🤓😂Intelligent businessman kijana ,unafuga vi-hayawani vingapi?
Ukiambiwa either ule nguruwe au ule mzogo utachagua nini?Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Thread za nguruwe zinakuja na kupotea. Safari hii mpaka tuwamezeshe nguruweSalaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
China konokono analiwa sembuse kunguru?Hata ndege John analiwa? Yule bwana AFYA, mla uchafu majalalani?
Kunguru ni tofauti na ndege John au BWANA AFYA.China konokono analiwa sembuse kunguru?
Kuhusu nini?Mtoa mada fanya utafiti vizuri
Kitimoto ilivyo tamu vile ina ubaya ganiKuhusu nini?
Nitachagua KUFUNGA nisile chochoteUkiambiwa either ule nguruwe au ule mzogo utachagua nini?
Hata walozi wanadai, haipo nyama tamu kuzidi ya binadamu!!Kitimoto ilivyo tamu vile ina ubaya gani
Vipi kuhusu ushauri wa kitabibu kuhusu nguruwe?Some people avoid kitimoto for religious reasons.
Personally I avoid religion for kitimoto reasons !!!
Dokta Janabi hataki tule chochote,Vipi kuhusu ushauri wa kitabibu kuhusu nguruwe?
Huyo ni mgonjwa,Dokta Janabi hataki tule chochote,
Na konokono je? Mimi naona ni sahihi kulingana na tamaduni za watu hisika machaguo yaoKunguru ni tofauti na ndege John au BWANA AFYA.
Wewe unaona ni sahihi kula chochote bila limit?
Kuku na Samaki yatosha.Kula Ng'ombe Mkuu.