Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

Mbona kama umeleta uzi afu unajijibu? Ndio maana mods wamefuta wamegundua kuna malumbano yasiyokuwa na tija. Wewe kama huli tulia, waachie wenyeji wahangaike nae.
Nimekuuliza swali.

Kwani kitimoto, nguruwe ni dini pia Hadi ilete mvutano?
 
Weka dini pembeni,

Hivi nguruwe anafaa Kwa chakula Kweli?

IPO siku utaonja nyama ya mbwa!!

Tuwe na limit jamani!!
iko hivi kulingana na sehemu ulipokulia basi kutaalisi nini unakula na nini huli....

popo, chura, panya, nyoka, mijusi, wadudu wa ajabu ajabu wanaliwa kulingana na eneo mtu alipokulia kwahiyo nguruwe ni nyama safi kabisa
hadza wanakula mpka nyani unakuja kusema limit hizo limit jiwekee ww na familia yako ila usitake kila mtu akaacha kula nyama safi..... kwa taarifa yako uarabuni wanaongoza kwa kununua damu ya kitimoto na kuila sasa jiulize aliekuletea dini akakupa masharti yeye anayapuuza na kula mzigo tena anaanza na damu alafu anapikia wese la nguruwe...
 
iko hivi kulingana na sehemu ulipokulia basi kutaalisi nini unakula na nini huli....

popo, chura, panya, nyoka, mijusi, wadudu wa ajabu ajabu wanaliwa kulingana na eneo mtu alipokulia kwahiyo nguruwe ni nyama safi kabisa
hadza wanakula mpka nyani unakuja kusema limit hizo limit jiwekee ww na familia yako ila usitake kila mtu akaacha kula nyama safi..... kwa taarifa yako uarabuni wanaongoza kwa kununua damu ya kitimoto na kuila sasa jiulize aliekuletea dini akakupa masharti yeye anayapuuza na kula mzigo tena anaanza na damu alafu anapikia wese la nguruwe...
Leo KAZI ninayo,

Hadi Damu!!, mchuzi wa Damu ya hayawani?
 
Leo KAZI ninayo,

Hadi Damu!!, m huzi wa Damu?
kwamba hujui kisusio na namna ya kutengeneza au mpka waarabu wakisema mle ndio na nyie mtakula mkuu nakushauri usijinyime ukafika huko ukakuta mlidanganywa itakuuma sana na ukute unakula ila mbele za watu unaisema vibaya
 
kwamba hujui kisusio na namna ya kutengeneza au mpka waarabu wakisema mle ndio na nyie mtakula mkuu nakushauri usijinyime ukafika huko ukakuta mlidanganywa itakuuma sana na ukute unakula ila mbele za watu unaisema vibaya
Damu hailiwi, ndani ya Damu Pana uhai.

Ukila Damu, Roho ya uuaji na hasira itakuingia, waulize maasai na wakurya.
 
Damu hailiwi, ndani ya Damu Pana uhai.

Ukila Damu, Roho ya uuaji na hasira itakuingia, waulize maasai na wakurya.
kwani waliowaletea dini mnawaonaje wakisema alawakubaru nn kinatokea.....
 
Laaana tulaah
Tunatofautiana buda;
mfano wewe unapenda mishangazi alafu mimi napenda chuchu konzi.

umeona utofauti ulipo?

wewe endelea kula ngamia
images (5).jpeg

Na mimi naendelea kula
images (3).jpeg

kila mtu ashinde mechi zake.
 
Mods, kwanini mmefuta huo Uzi?

Hakuna swali la kijinga!!

Tafadhalini sana, hata kama mnatumia hii kitu, acheni ijadiliwe🙏

SWALI: Ikiwa nguruwe ni HAYAWANI, ni sawa kutumia Kwa chakula?

Karibuni 🙏
Muacheni my wetu....nyama inayoongoza Kwa utamu duniani no yeye
 
Back
Top Bottom