kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Kikubwa ,analikaUkitaka kujua nguruwe Hana Heshima,
Muoshe Kisha mwache akauke, mpe mgongo hata dk 10 uone atakavyokudissapoint.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa ,analikaUkitaka kujua nguruwe Hana Heshima,
Muoshe Kisha mwache akauke, mpe mgongo hata dk 10 uone atakavyokudissapoint.
Mbona watu wanakula kwa mpalange, chumvini, na kavu kavu mbona hamuwakazanii huko mnahangaika na sisi.Si WIVU, ni Upendo,
Ili AFYA zidumu.
Hakuna kisicholika, hata paka, fisi wakiungwa wanalika.Kikubwa ,analika
Nguruwe ni HAYAWANI au sio?Huu nao ni utafiti kweli mkuu? Huna tofauti na columbus aliyegundua America
Kikubwa hata sisi mimi Muslim waislam humla nyama. Kisingizio sunaHakuna kisicholika, hata paka, fisi wakiungwa wanalika.
Msingi wa HOJA ni kuangalia ikiwa nguruwe ni HAYAWANI/ kichaa, kumla nyama hakuwezi kuambukiza uhayawani Kwa mlaji kiafya, kama Si Yeye, vizazi vijavyo?
Huogopi kuambukiza uhayawani wa nguruwe ikiwa ni HAYAWANI ?Kikubwa hata sisi mimi Muslim waislam humla nyama. Kisingizio suna
Ningekuwa simjui vzuri kondoo ndio ungenieleza haya. Kondoo anaweza ona gari linakuja badala akimbie anabaki hapo hapo kama zuzu tu.Kondoo Si Mjinga,
Ni mnyenyekevu, mpole.
Upole Si ujinga
Nenda kamwoshe mwache Hadi jioni kama utamkuta msafi😀Muongo
Basi na kwa nguruwe haipo nafasi ya kukaa hayo mapepoHaipo nafasi ndani yangu ya kukaa mapepo,
Mimi ni HEKALU la Mungu. Mungu Roho mtakatifu ndiye akaaye ndani yangu.
Tuanzie na nguruwe kwanza,Ningekuwa simjui vzuri kondoo ndio ungenieleza haya. Kondoo anaweza ona gari linakuja badala akimbie anabaki hapo hapo kama zuzu tu.
Ok,Basi na kwa nguruwe haipo nafasi ya kukaa hayo mapepo
Walichonyimwa Sio Akili Ila Ni busara "Wisdom" Kulingana na Ayubu 39:17..(Ayubu 39:17., 18,19......)
Imeweka wazi kuwa, mbali na mbuni kuwa wild, amenyimwa akili.
Aweza sahau watoto wake na kuanza kuwadhuru, tena baadae hukumbuka,
Nyati pia ni HAYAWANI amewekwa kundi Hilo, wapo wild animals wenye AKILI kama swala bt wapo HAYAWANI ambao ndio chanzo na msingi wa swali hapo juu.
Nguruwe Harama Iwe kidini ,Kisayansi au Kiroho..Kwanza Samaki hachinjwi/ slaughtered.
Pili kuliwa Kwa nguruwe ambaye tunahoji utimamu wake wa akili, ni timamu au hayawani?
Tatu, ikiwa ni HAYAWANI/ kichaa, iweje afae Kwa chakula bila madhara yoyote Kwa mtumiaji?
Wingi wa watu kula pork haibadili maswali na tafiti za thread hii hapo juu,
Kwako DR Mambo Jambo
Kanyimwa both wisdom na understanding.Walichonyimwa Sio Akili Ila Ni busara "Wisdom" Kulingana na Ayubu 39:17..
Kuna tofauti kubwa Sana kati ya Akili na Busara..
Unaweza ukawa una akili lakini usiwe na Busara
Job 39:17
"Because God hath deprived her of wisdom, neither hath he imparted to her understanding."
ila ukisoma katika Muhiburi 3:18-19
Mhubiri 3:18-19
"Nikasema moyoni mwangu, Ni kwa sababu ya wanadamu, ili Mungu awajaribu, nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama."
"Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili."
Wanamla sanaMadaktari wanasemaje kumhusu?
Au nao wanamla?
Kwamba DR Mambo Jambo anamla mdudu?Wanamla sana