Nguruwe ni mojawapo kati ya wanyama HAYAWANI?

Wasabato buana, lakini wenzenu wanapiga sana,nina bahati ya kuwa na rafiki yangu msababto toka kanda ya ziwa na mwanangu mwenyewe Abdi...... yaani hao ndiyo wamenifanya ni yajue machimbo ya kitimoto 😀
 
Hivyo vitu vinavyomchukiza, viliumbwa na huyu anayasema maneno hayo, au na Mungu mwingine?
 
Naanza kudoubt hizi tafiti,

Yaaani paka azidiwe akili na nguruwe!!

Paka waeza mtia ndani ya kiroba ukampeleka na kumtupa hata km 20, atapotea hata mwezi, ila atarudi tu home.

Nguruwe haiwezi tokea hiyo kitu.
Fanya tafiti kupinga tafiti.
 
An
Mbuni ni HAYAWANI/ kichaa,

Anaweza kuficha KICHWA chake ardhini akiamini haionekani na maadui zake,

Aweza pia kuwachenjia watoto wake baada ya kusahau kuwa ni wake nk nk
Aliwa au haliwi huyu mbuni
 
Kwahiyo wee ni nguruwe mtarajiwa
 
Wow mwenyewe hula watoto usipompatia chakula kwa wakati au akikosa chakula,hata nyau hufanya kazi kubwa kuwaficha wanae wasiliwe na nyau wengine,je vipi mafisi na wanyama wengine wa mwituni🫣
 
Mtaandika kwa mabaya kuhusiana na mkuu wa meza hadi mtachoka wenyewe lakini ndio kwanzaaa anazidi kunenepa na sisi tunaendelea kujibweda kwa nyama yake adhimu mujarabu kabisa wala hatujali
 
Mtaandika kwa mabaya kuhusiana na mkuu wa meza hadi mtachoka wenyewe lakini ndio kwanzaaa anazidi kunenepa na sisi tunaendelea kujibweda kwa nyama yake adhimu mujarabu kabisa wala hatujali
Dr Mambo Jambo, dokta wa JF ameshawambia,

Huyo mdudu ni hatari Kwa AFYA.
 
Wapi nayafuata mambo ya hao miamba?
Wagalatia wanajijua kwa ujinga wao,wakorinto miyeyusho wanapiga divai mpaka wanazima church,
Waefeso nawaweka kiporo!
Paulo si ndiyo baba wa ukiristo na maandiko yake ni waraka kwa watu mbalimbali
 
Anayepinga kula Nguruwe kwa nguvu zote anakula tigo kwa mkewe au kwa anakula/kuliwa tigo. Unashangaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…