Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Alisema baba wa taifa, "binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja."

Kwa hakika Afrika ni moja na waafrika ni baba mmoja mama mmoja.

Haikuwa tofauti kwa kinara wa upinzani Senegal Ousumane Sonko hadi nguvu ya umma ilipoamua kutoa hukumu yake ya haki:



Ousumane Sonko sasa yuko huru baada ya vishindo vya wakoma kuwafurusha washami.

Hii ni kama kwetu tu:

"Katiba mpya ipo kwa wakati tunaoutaka Sisi na kwa namna tunayoitaka. Hii ni hata kama tukiamua iwe hivyo sasa."

Bila ya hivyo ngonjera zitakuwapo nyingi, mara kuhusu pesa, wakati magoli tunanunua na tunawasaidia hadi ulaya kwa pesa zetu wenyewe.

Akiziita JPM -- "pesa zetu za ndani!"
 
Sijui tunahitaji mafunzo mangapi ya aina hii ili tuamke..

Inawezekana "tulishakufa" siku nyingi lakini sisi tunajiona bado tupo hai, kama tunashindwa kujifunza kwa majirani zetu hapo Kenya, hivi inawezekana kweli tukaenda kujifunza Senegal?

Naona hili letu ni taifa teule la wanakondoo.
 
Sijui tunahitaji mafunzo mangapi ya aina hii ili tuamke..

Inawezekana "tulishakufa" siku nyingi lakini sisi tunajiona bado tupo hai, kama tunashindwa kujifunza kwa majirani zetu hapo Kenya, hivi inawezekana kweli tukaenda kujifunza Senegal?

Naona hili letu ni taifa teule la wanakondoo.
😀😀 Kule Israel banda la kondoo huzungushiwa mins na huwa na mlango mmoja tu!
 
Sijui tunahitaji mafunzo mangapi ya aina hii ili tuamke..

Inawezekana "tulishakufa" siku nyingi lakini sisi tunajiona bado tupo hai, kama tunashindwa kujifunza kwa majirani zetu hapo Kenya, hivi inawezekana kweli tukaenda kujifunza Senegal?

Naona hili letu ni taifa teule la wanakondoo.
CCM imetufanya tulaaniwe kwa akili na mali
 
Alisema baba wa taifa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

Kwa hakika Afrika ni moja na waafrika ni baba mmoja mama mmoja.

Haikuwa tofauti Kwa kinara wa upinzani Senegal Ousumane Sonko hadi nguvu ya umma ilipoamua kutoa hukumu yake ya haki:

View attachment 2566852

Ousumane Sonko sasa yuko huru baada ya vishindo vya wakoma kuwafurusha washami.

Hii ni kama kwetu tu:

"Katiba mpya ipo kwa wakati tunaoutaka na kwa namna tunayoitaka. Hii ni hata kama tukiamua iwe hivyo sasa."

Bila ya hivyo ngonjera zitakuwapo nyingi, mara kuhusu pesa, wakati magoli tunanunua na tunawasaidia hadi ulaya kwa pesa zetu wenyewe.

Akiziita JPM -- "pesa zetu za ndani."
Mimi nina wasiwasi sana ule Mwenge wanakimbiza nchi nzima. Ule ndiyo utakuwa uchawi wa kutupumbaza. Haiwezekani watu wazima wanatumia mabilioni ya pesa kukimbiza moto nchi nzima.
 
Alisema baba wa taifa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

Kwa hakika Afrika ni moja na waafrika ni baba mmoja mama mmoja.

Haikuwa tofauti Kwa kinara wa upinzani Senegal Ousumane Sonko hadi nguvu ya umma ilipoamua kutoa hukumu yake ya haki:

View attachment 2566852

Ousumane Sonko sasa yuko huru baada ya vishindo vya wakoma kuwafurusha washami.

Hii ni kama kwetu tu:

"Katiba mpya ipo kwa wakati tunaoutaka na kwa namna tunayoitaka. Hii ni hata kama tukiamua iwe hivyo sasa."

Bila ya hivyo ngonjera zitakuwapo nyingi, mara kuhusu pesa, wakati magoli tunanunua na tunawasaidia hadi ulaya kwa pesa zetu wenyewe.

Akiziita JPM -- "pesa zetu za ndani."
Anza basi kushika bango wewe na familia yako kuhamasisha wengine!
 
Tuwe na subira jamani huyu mama ameonyesha utayari wa katiba mpya tofauti na yule mzilankende aliyesema sio kipaumbele chake.Hata Ndumbaro ambaye ni waziri wa sheria ameanza kuimba tone ya mama
 
Watanzania wanayo imani kubwa Sana na serikali ya CCM katika kuwaongoza na kuwatumikia, wanaelewa na kutambua dhamira njema iliyo nayo serikali ya CCM katika kuwahudumia, ndio sababu ya Kuendelea kuwa watulivu ni wenye Imani kubwa kwa serikali ya ccm maana wanatambua usikivu wa serikali yao pamoja na uzalendo wa viongozi wao wa CCM
 
Watanzania wanayo imani kubwa Sana na serikali ya CCM katika kuwaongoza na kuwatumikia, wanaelewa na kutambua dhamira njema iliyo nayo serikali ya CCM katika kuwahudumia, ndio sababu ya Kuendelea kuwa watulivu ni wenye Imani kubwa kwa serikali ya ccm maana wanatambua usikivu wa serikali yao pamoja na uzalendo wa viongozi wao wa CCM
Ni usikivu wa Kiongozi aliyepo madarakani tuu.Hayo mengine unayojazia ya CCM !!!sana sana unayajua wewe tu kati ya Watanzania zaidi ya 60milioni.
 
Sijui tunahitaji mafunzo mangapi ya aina hii ili tuamke..

Inawezekana "tulishakufa" siku nyingi lakini sisi tunajiona bado tupo hai, kama tunashindwa kujifunza kwa majirani zetu hapo Kenya, hivi inawezekana kweli tukaenda kujifunza Senegal?

Naona hili letu ni taifa teule la wanakondoo.

Ukitaka kujua tumekufa fuatilia hata yetu hapa. Kijana aliyefeli kidato cha nne anasafisha vyoo Hapo lumumba aulizwe juu ya katiba mpya?
 
Alisema baba wa taifa, "binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja."

Kwa hakika Afrika ni moja na waafrika ni baba mmoja mama mmoja.

Haikuwa tofauti kwa kinara wa upinzani Senegal Ousumane Sonko hadi nguvu ya umma ilipoamua kutoa hukumu yake ya haki:

View attachment 2566852

Ousumane Sonko sasa yuko huru baada ya vishindo vya wakoma kuwafurusha washami.

Hii ni kama kwetu tu:

"Katiba mpya ipo kwa wakati tunaoutaka Sisi na kwa namna tunayoitaka. Hii ni hata kama tukiamua iwe hivyo sasa."

Bila ya hivyo ngonjera zitakuwapo nyingi, mara kuhusu pesa, wakati magoli tunanunua na tunawasaidia hadi ulaya kwa pesa zetu wenyewe.

Akiziita JPM -- "pesa zetu za ndani!"
Yaani Mimi niandamane Kwa sababu ya mwanasiasa? Nina kichaa?

Lakini Dunia ndivyo ilivyo hatuwezi kufanana.
 
Tuwe na subira jamani huyu mama ameonyesha utayari wa katiba mpya tofauti na yule mzilankende aliyesema sio kipaumbele chake.Hata Ndumbaro ambaye ni waziri wa sheria ameanza kuimba tone ya mama

Hii mambo haiwezi kutegemea hisani za awaye yote. Ni vizuri kufahamu Mama anacheza karata zake katiba mpya tupate baada ya 2025.

Ni vizuri akaijua dhamira yetu ili akapata kujua hayuko na open signed cheque:

Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?

Itamsaidia sana kufanya maamuzi sahihi.
 
Mkuu wito kama huu haukuhusu wewe, walamba asali, wahuni wala wale vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili.
Mimi Nina mchango kuliko kelele zako zisizo na msingi..

Nimekupa mfano hapo kwamba kumuandamania mwanasiasa ni upuuzi, Ufaransa watu Huwa wanaandamana Serikali ilipitisha au kutaka kupitisha Sheria za hovyo nk.
 
Back
Top Bottom