Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

Nguvu ya Umma Senegal, funzo jingine kwetu

I do not subscribe to such nonsensical talk! Has no logic whatsoever!
Aliyenukuliwa kuyasema maneno hayo, rekodi yake haina la maana sana la kumsikiliza yeye.

Usikimbie ukweli. Una tendency ya kuuza maneno mengi saaana, kama inavyoonyesha hata kwenye andiko lako hapaa, lakini unakuta mengi ya hayo maneno ni mzunguko tu, hayazungumzii swala lilolengwa.

Nenda tena kwenye bandiko lako la mwanzo, ondoa huko kujihisi kuwa unasemwa na kujitetea. Utaona hukueleza tukio maana ya tukio hilo. Badala yake uazunguka kila mahali isipokuwa tukio husika.
Nijihisi kusemwa na nani mjomba? Kazi kweli kweli.

Ukweli wa mambo ni kuwa, kwamba Dkt. Ndumbaro kasema watanzania wanataka Katiba mpya:

"ni kupoteza muda kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa Katiba mpya walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo."

Zaidi sana kutokea hapo:

1. Ni uzezeta kudhani Samia angependa katiba mpya ipatikane kabla ya 2024.
2. Ni uzwazwa mwingine kudhani kuwa atakuwa na nia ya kutupa katiba mpya kama tunavyoitaka kwa content na wakati asiokuwa na manufaa nao.
3. Ushawishi wa kutosha unahitajika kumfanya kuridhia matakwa yetu. Hili linawezekana.

Jukwaa hili ni huru for which you are entitled to your own opinion.

"Bwana Uzima Tele, denooJ, makaveli10 wajumbe wengine tusaidiane kuwajuza pedals za brake, clutch na accelerator zilipo."

Kwamba wao nao ni wapigania katiba mpya kwa namna isiyojulikana.

Kazi kweli kweli.

Si utuwekee mkuu ya kwako iliyokuwa elaborate kweli kweli? Kwani umezuiliwa kuandika uzi wako ulioshiba?

Makasiriko yote ya nini ndugu usiku usiku huu?

Hiiiiiii bagosha!
 
Nijihisi kusemwa na nani mjomba? Kazi kweli kweli.

Ukweli wa mambo ni kuwa, kwamba Dkt. Ndumbaro kasema watanzania wanataka Katiba mpya:

"ni kupoteza muda kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa Katiba mpya walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo."

Zaidi sana kutokea hapo:

1. Ni uzezeta kudhani Samia angependa katiba mpya ipatikane kabla ya 2024.
2. Ni uzwazwa mwingine kudhani kuwa atakuwa na nia ya kutupa katiba mpya kama tunavyoitaka kwa content na wakati asiokuwa na manufaa nao.
3. Ushawishi wa kutosha unahitajika kumfanya kuridhia matakwa yetu. Hili linawezekana.

Jukwaa hili ni huru for which you are entitled to your own opinion.

"Bwana Uzima Tele, denooJ, makaveli10 wajumbe wengine tusaidiane kuwajuza pedals za brake, clutch na accelerator zilipo."

Kwamba wao nao ni wapigania katiba mpya kwa namna isiyojulikana.

Kazi kweli kweli.

Si utuwekee mkuu ya kwako iliyokuwa elaborate kweli kweli? Kwani umezuiliwa kuandika uzi wako ulioshiba?

Makasiriko yote ya nini ndugu usiku usiku huu?

Hiiiiiii bagosha!
Enough of this.
I have stated what I needed to state. It's your choice, reflect on it or simply ignore.

I see no specific issue here that requires my direct response.
 
Acha kuwapamba pamba hawa wasenegalizi wako. ni vibaraka wa Saudi Arabia wakubwa. halafu kwa haibu mbaya nchi ya senegal ni mwanachama wa the Arab League. Yaani wanajiita black arabs. hapa africa continent nchi za senegal, mali, somalia, SudanNigea,, Chad na gambia hujiona wanachama wa the arab league!huu ni upuuzi mtupu na vibaraka wa saudis!
 
Anza basi kushika bango wewe na familia yako kuhamasisha wengine!
Hivi lizione uwa unamatatizo gani,yaani kwa vile wewe na mama yako mpo Bungeni mnakula tu mishahara mikubwa na posho kila siku haujui shida yoyote ndo utuandikie ujinga wako humu?
 
kwetu itachukua muda kidogo labda miaka 30 ijayo, pale mazombie yatakapoisha kwa kufa yenyewe, au kwa miujiza
Hapana mkuu hata huko yanakotokea sasa mazombie pia wapo. Anasema Museveni, "maendeleo ya Uganda hayawezi kusubiri wakaramojong wajue kuvaa suruali."

Jukumu hili ni letu mbona tunatosha sana? Angalia Kenya au hapo Senegali kwani palikuwa na "wakoma" wangapi waliowafurusha "washami?'

Nyomi hizi:

Screenshot_20230326-222358.jpg


Hazina watu 1,000. Raila hakukamatwa kwa sababu ya nyomi hizi. Unasema CDM yenye watu 8m + ilikosa watu hapo watu 1,000 wasio mazombie kuzuia kina Mbowe kukamatwa?

Kwamba hata huko CDM wote ni mazombie? Kumbe mazombie watakuwa nani basi?

Organization.

Yawezekana matatizo yetu yako hapo. Nyani haoni kundule tunazo sababu za kujihoji internally.
 
Watanzania wanayo imani kubwa Sana na serikali ya CCM katika kuwaongoza na kuwatumikia,wanaelewa na kutambua dhamira njema iliyo nayo serikali ya CCM katika kuwahudumia,ndio sababu ya Kuendelea kuwa watulivu n wenye Imani kubwa kwa serikali ya ccm maana wanatambua usikivu wa serikali yao pamoja na uzalendo wa viongozi wao wa ccm
Siyo Tabia nzuri kujifanya msemaji wa kila kitu siyo nidhamu
 
Kwa hiyo hata denooJ hujaamka...??

Ina maana wewe denooJ ulishakufa siku nyingi..??

Na wewe denooJ hujajifunza toka kwa majirani..??

====Umeelewa maana ya maswali yangu haya..??====

Nina maana kuwa, movement yoyote huanza na mtu mmoja. Huyo mtu anaweza kuwa wewe..!!

Usifikiri kuwa Kuna mtu atafanya Kwa ajili yako. Lianzishe tu mwanangu wewe halafu wengine tutakufuata nyuma...!!
Uzima Tele nimekupata na hoja yako inayonitaka nilianzishe peke yangu wengine mfuate..

Hivi, kwanini mnisubiri nilianzishe peke yangu ili nanyi mnifuate? kwamba ndio tuseme bado mmelala mnasubiri mpaka nitakapolianzisha ndipo nanyi mtaamka?

Hebu tutazame mifano iliyoletwa na mleta mada au mingine ambayo tumekuwa tukiishuhudia mara kwa mara maeneo tofauti; anzia na Kenya, nenda hapo Senegal, tusogee kule North kwenye ile Arab Spring ya wakati ule...
hivi huko kote ni nani aliyelianzisha akawapeleka watu barabarani kuwatoa vyumbani kwao?

Hii mambo ya kusubiri fulani alianzishe kwangu naona ni usanii tu, tunategana, kwasababu naamini kabisa, deep inside, hata wakina nyie mnaosubiri wengine waamke nanyi pia mnajua vizuri mnatakiwa kulianzisha, tatizo sijui mnachosubiri ni kitu gani...

Ndio maana kule juu nikasema hili ni taifa teule la wanakondoo, wasio na tofauti na marehemu..
 
Nyomi nimeiona, hiyo haikuwa na mashaka kabisa.
Ila uli'assume' tu kwa uamzi wako mwenyewe kudhani kila mtu anajua kilichotokea huko.

Badala ya kueleza haya meeengi uliyoweka hapa, ungetumia muda huo, kutupatia nasi 'background' ya stori yako, nasi tungeungana nawe kuwasifu hawa wenzetu waliojitambua sana.

Huyo "Jamaa" wa Senegal, inaonekana na yeyey anataka kupitia kwenye njia zile zile za madikteta wengi hapa Afrika. Sall ni lazima adhibitiwe, na natumaini huu ndio mwanzo wa kufunga geledi nyani.
Mwanzo umeandika ukidai hujui hiyo nyomi ina malengo yapi, hivyo unadai unamuona mleta mada ana maneno mengi yasiyoeleweka...

Ajabu chini unamzungumzia Sall unayedai ana malengo yake, sasa kama umeshajua hayo, palikuwa na haja ipi kuanza kwa kudai hujaelewa "maneno mengi" ya mleta mada?

Kama kweli ulikuwa hujaelewa, ungetakiwa umuache akufafanulie kwanza ndipo uanze kujadili, lakini kujadili kwa kirefu kitu ambacho unadai hukukielewa mwanzo naona hilo ni tatizo lako na sio vinginevyo..
 
Nyie kila siku mnajifunza tu!
Ni kwa sababu wanaojifunza si katika wale wanaotarajiwa kufanya kwa vitendo hayo mafunzo ndio maana inabaki hivyo hivyo kuwa wao kila siku wanajifunza tu, humu JF tu sidhani kama kuna member hata mmoja katika hao wanaojifunza ambaye anaweza kuwa na dhamira ya kuingia road yani ni watu ambao wanatamani kuona ikitokea kama Kenya au huko kwengineko ila wao wakiwa hapa hapa JF wakifuatilia matukio huku wakiendelea na mijadala kwamba huo ndio uhusika wao au mchango wao kwenye mabadiliko.
 
Alisema baba wa taifa, "binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja."

Kwa hakika Afrika ni moja na waafrika ni baba mmoja mama mmoja.

Haikuwa tofauti kwa kinara wa upinzani Senegal Ousumane Sonko hadi nguvu ya umma ilipoamua kutoa hukumu yake ya haki:

View attachment 2566852

Ousumane Sonko sasa yuko huru baada ya vishindo vya wakoma kuwafurusha washami.

Hii ni kama kwetu tu:

"Katiba mpya ipo kwa wakati tunaoutaka Sisi na kwa namna tunayoitaka. Hii ni hata kama tukiamua iwe hivyo sasa."

Bila ya hivyo ngonjera zitakuwapo nyingi, mara kuhusu pesa, wakati magoli tunanunua na tunawasaidia hadi ulaya kwa pesa zetu wenyewe.

Akiziita JPM -- "pesa zetu za ndani!"
Ungekuwa unajua vizuri historia ya siasa za Senegal ungelijua ya Kwamba Mark Sall aliyevurumishwa alikuwa ndiye Mpinzani Namba Moja Senegal (tuseme kama Mbowe na Chadema yake hapa Tanzania). Baada ya kuupata Urais kwa kumuondoa Abdoulaye Wade akanogewa na asali (Ahahahahaha, asali) hadi kutaka kuchonga mzinga!

Tafsiri ya Senegal ni Kwamba tusiwaamini wapinzani hata kidogo. Bora kubaki na CCM yetu na wapinzani kuambulia viti viwili vitatu vya ubunge na udiwani! Ahahahahaha!!!!
 
Back
Top Bottom