- Thread starter
- #41
Nijihisi kusemwa na nani mjomba? Kazi kweli kweli.I do not subscribe to such nonsensical talk! Has no logic whatsoever!
Aliyenukuliwa kuyasema maneno hayo, rekodi yake haina la maana sana la kumsikiliza yeye.
Usikimbie ukweli. Una tendency ya kuuza maneno mengi saaana, kama inavyoonyesha hata kwenye andiko lako hapaa, lakini unakuta mengi ya hayo maneno ni mzunguko tu, hayazungumzii swala lilolengwa.
Nenda tena kwenye bandiko lako la mwanzo, ondoa huko kujihisi kuwa unasemwa na kujitetea. Utaona hukueleza tukio maana ya tukio hilo. Badala yake uazunguka kila mahali isipokuwa tukio husika.
Ukweli wa mambo ni kuwa, kwamba Dkt. Ndumbaro kasema watanzania wanataka Katiba mpya:
"ni kupoteza muda kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa Katiba mpya walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo."
Zaidi sana kutokea hapo:
1. Ni uzezeta kudhani Samia angependa katiba mpya ipatikane kabla ya 2024.
2. Ni uzwazwa mwingine kudhani kuwa atakuwa na nia ya kutupa katiba mpya kama tunavyoitaka kwa content na wakati asiokuwa na manufaa nao.
3. Ushawishi wa kutosha unahitajika kumfanya kuridhia matakwa yetu. Hili linawezekana.
Jukwaa hili ni huru for which you are entitled to your own opinion.
"Bwana Uzima Tele, denooJ, makaveli10 wajumbe wengine tusaidiane kuwajuza pedals za brake, clutch na accelerator zilipo."
Kwamba wao nao ni wapigania katiba mpya kwa namna isiyojulikana.
Kazi kweli kweli.
Si utuwekee mkuu ya kwako iliyokuwa elaborate kweli kweli? Kwani umezuiliwa kuandika uzi wako ulioshiba?
Makasiriko yote ya nini ndugu usiku usiku huu?
Hiiiiiii bagosha!