- Thread starter
- #21
CHADEMA wasingempokea Lowasa Leo wangekuwa hivi
Mkuu siasa hazina rafiki wala adui wa kudumu bali agenda. Kwani aliporudi nyumbani hawakumpokea?
Jingine la msingi tumpumzishe na masimango mzee huyu ambaye sasa ni mgonjwa mno kitandani.
Nadhani anastahili sala zetu zaidi kuliko masimango.
Au nasema uongo ndugu yangu?