Nguvu ya Waislam kupigania haki iliuliwa na Nyerere

Nguvu ya Waislam kupigania haki iliuliwa na Nyerere

Nyerere alikuwa mnafiki sana anajifanya anapigania udini kumbe yeye ndio chanzo ....Alikuwa mkatili sana kaua baadhi ya mikoa kwa ushamba wake.
 
Sisi watanzania ni wamoja bila kujali dini zetu. Ni utamaduni wetu kupendana,kushirikiana na kuheshimu dini zetu
 
Umesoma ukaelewa au umekurupuka tu
Nimesoma ndio maana nimejibu kw uyo Nyerere kawanyima haki gani? Wanaweza kuunda kingine chochote ya iyo Bakwata lakini hakuna ruhusa ya chama chochote kwa ajili ya dini.
 
So, waislam hawapendi kuonewa, in the same breath, unasema wanaonewa na Bakwata. This statement is stupid and contradictory.

Kusema Nyerere aliwazima waislam na wao wakakubali ni tusi in itself.

Mtu yeyote anayemlaumu Nyerere leo be it waislam, watz is stupid anayetafuta mchawi nani for his shortcomings. Ni mtu aliyeshindwa kupambana na hali yake na hataki uwajibikaji. Sawa na mtu mzima kumlaumu babu yake for their shortcomings. Hujilaumu mwenyewe, humlaumu baba yako uje kumlaumu babu yako, you must be as dumb as a donut.
 
Hakuna mahali nimesema zinavunjwa haki za waislam soma kwa utulivu
Kitendo cha strong organisation yao kuvunjwa na kuanzishiwa BAKWATA kwa mujibu wa andiko lako sio kuonewa huko ? Sio kuvunjiwa haki yao huko ?
Soma vizuri andiko lako
 
Kitendo cha strong organisation yao kuvunjwa na kuanzishiwa BAKWATA kwa mujibu wa andiko lako sio kuonewa huko ? Sio kuvunjiwa haki yao huko ?
Soma vizuri andiko lako
TEC,CCT na BAKWATA ni mabaraza yaliyoundwa kwa sheria moja? Na kabla ya haya yote kulikuwa na vyombo vingine vilivyokuwa vinayaendesha kama ilivyokuwa kwa EAMWS,Mbona wengine hawalalamiki?
 
Ukisoma kuhusu historia ya harakati za kudai uhuru wa Tanganyika toka mwanzo unaweza kuona mchango wa waislam wa Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hii ni toka vita vya maji maji hadi wakati wa mapambano ya TAA.

Waislam wa Tanganyika wamechangia kwa asilimia kubwa sana kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika.

Kwa tabia za waislam kote duniani ni kwamba waislam sio watu wa kupenda kuona wanaonewa na kunyimwa haki zao nao kukaa kizembe tu hio haiwezekani.

Nyerere kutambua nguvu kubwa iliyopo ndani ya waislam katika kupinga uonevu na kudai haki pale wanapoona wana pokonywa aliamua kufanya uharamia wa kuua organization strong ya waislam na kuunda chombo dhaifu BAKWATA ambacho ni kama kibaraka wa serikali.

Waislam wakiwa na nguvu yao halisi tena hawatashindwa kupigania haki tena pale watakapo ona zinavunjwa.
1. Nyerere amefariki miaka 24 iliyopita

2. Nyerere ametoka kwenye urais miaka 38 iliyopita

3. Nyerere ametoka kwenye urais wa ccm miaka 33 iliyopita

4. Tangu Nyerere ameondoka kuna marais watatu Waislam wametawala muungano Tanganyika na Zanzibar na hata sasa Rais ni Muislam

i) Enyi Waislam ni kitu gani kinawashinda kuikataa BAKWATA na kuunda hicho mnachotaka nyie?

ii) Mnataka ccm/serikali/rais awasaidie kuunda hicho mnachotaka ili baadae tena mseme ni cha ccm/serikali?

iii) Hii hoja yako inafanana na ile anayoleta kila siku hapa Mohamed Said akidai serikali ilizuia wasijenge chuo kikuu cha Waislam. Ukimuuliza hata sasa inazuia? Hakuna jibu la maana analokupa zaidi ya kusema wameiuliza serikali kwa nini ilizuia.
 
Ukisoma kuhusu historia ya harakati za kudai uhuru wa Tanganyika toka mwanzo unaweza kuona mchango wa waislam wa Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hii ni toka vita vya maji maji hadi wakati wa mapambano ya TAA.

Waislam wa Tanganyika wamechangia kwa asilimia kubwa sana kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika.

Kwa tabia za waislam kote duniani ni kwamba waislam sio watu wa kupenda kuona wanaonewa na kunyimwa haki zao nao kukaa kizembe tu hio haiwezekani.

Nyerere kutambua nguvu kubwa iliyopo ndani ya waislam katika kupinga uonevu na kudai haki pale wanapoona wana pokonywa aliamua kufanya uharamia wa kuua organization strong ya waislam na kuunda chombo dhaifu BAKWATA ambacho ni kama kibaraka wa serikali.

Waislam wakiwa na nguvu yao halisi tena hawatashindwa kupigania haki tena pale watakapo ona zinavunjwa.
Nyie si mko bize na Madras, jamaa aliwazidi akili.
 
1. Nyerere amefariki miaka 24 iliyopita

2. Nyerere ametoka kwenye urais miaka 38 iliyopita

3. Nyerere ametoka kwenye urais wa ccm miaka 33 iliyopita

4. Tangu Nyerere ameondoka kuna marais watatu Waislam wametawala muungano Tanganyika na Zanzibar na hata sasa Rais ni Muislam

i) Enyi Waislam ni kitu gani kinawashinda kuikataa BAKWATA na kuunda hicho mnachotaka nyie?

ii) Mnataka ccm/serikali/rais awasaidie kuunda hicho mnachotqka ili baadae tena mseme ni cha ccm/serikali?

iii) Hii hoja yako inafanana na ile anayoleta kila siku hapa Mohamed Said akidai serikali ilizuia wasijenge chuo kikuu cha Waislam. Ukimuuliza hata sasa inazuia? Hakuna jibu la maana analokupa zaidi ya kusema wameiuliza serikali kwa jini ilizuia.
Kinyungu,
Kuna mengi usiyoyajua.
Mwaka wa 1997 Darul Imaan kutoka Saudia ilitaka kujenga Chuo Cha Ufundi Kibaha.

Vyombo vyote vya habari vikaanza propaganda kuwa Waarabu wameingia Kibaha wanapora ardhi.

Darul Imaan ikasitisha mradi huo lau kama walikuwa wamenunua ardhi na kuwalipa wote kama sheria isemavyo.

Serikali ilikuwa kimya.
 
Nyie si mko bize na Madras, jamaa aliwazidi akili.
Ike...
Inahitaji usome historia ya elimu kama ilivyoandikwa na Prof. Ishumi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Lakini kwa kuandiki hivi hivi kama akili yako inavyokutuma ni tatizo.

Ikiwa uko tayari kujifunza nitakufunza na utakuwa unajua mengi na utanufaika kwa kuongeza maarifa yako.

Hutoandika fedhuli.
 
Kinyungu,
Kuna mengi usiyoyajua.
Mwaka wa 1997 Darul Imaan kutoka Saudia ilitaka kujenga Chuo Cha Ufundi Kibaha.

Vyombo vyote vya habari vikaanza propaganda kuwa Waarabu wameingia Kibaha wanapora ardhi.

Darul Imaan ikasitisha mradi huo lau kama walikuwa wamenunua ardhi na kuwalipa wote kama sheria isemavyo.

Serikali ilikuwa kimya.

Kwa nini hamjengi chuo kikuu? Kwa nini hamuundi chombo chenu ili serikali isiwaingilie?

Swali la kizushi: kwa nini Waislam wa Tanzania wanapenda kujifanya ni wamoja ilhali nyie mpo madhehebu mengi tena yasiyo na mashirikiano ya karibu. Mfano kuna Shia, Sunni, Ibadi, Ismailia, Bohora, Ahmadiyya..n.k. je mkiunda chombo hayo madhehebu yote yatakuwa chini ya hicho chombo mtakachounda?

Hoja ya Kibaha ni kutanua magoli. Tujikite kwenye hoja ya awali.
 
Kwa nini hamjengi chuo kikuu? Kwa nini hamuundi chombo chenu ili serikali isiwaingilie?

Swali la kizushi: kwa nini Waislam wa Tanzania wanapenda kujifanya ni wamoja ilhali nyie mpo madhehebu mengi tena yasiyo na mashirikiano ya karibu. Mfano kuna Shia, Sunni, Ibadi, Ismailia, Bohora, Ahmadiyya..n.k. je mkiunda chombo hayo madhehebu yote yatakuwa chini ya hicho chombo mtakachounda?

Hoja ya Kibaha ni kutanua magoli. Tujikite kwenye hoja ya awali.
Kinyungu,
Mimi ningeweza kubakia kimya nisijibu chochote katika yote ambayo nayasoma hapa.

Lakini najibu kufanya mjadala ili kwangu iwe fursa ya kuwafahamisha yale msiyoyajua.

Nimekueleza mradi wa Darul Imaan ili mjue yaliyotokea kwani naamini hamkuwa mnayajua.

Sikuweka historia ya Darul Imaan ili nishinde hoja.

Juhudi ya kwanza kujenga Chuo Kikuu ilikuwa mwaka wa 1964 chini ya uongozi wa Mufti Sheikh Hassan bin na EAMWS.

Mufti akakamatwa akafukuzwa Tanganyika kurudishwa kwao Zanzibar na EAMWS ikapigwa marufuku.

Serikali ikaunda BAKWATA.

Katika miaka ya 1970 OIC ilinyimwa kibali na serikali kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Bahati mbaya hakuna kutoka kwenu atakae kujua kwa nini serikali ilihujumu miradi ya manufaa makubwa kama hii.

Naulizwa kwa nini hatujengi Chuo Kikuu?

Nami napenda kukuuliza kwa nini Wakatoliki, Waprotestanti, Walokole nk hawaundi jumuia moja?
 
Nyerere kutambua nguvu kubwa iliyopo ndani ya waislam katika kupinga uonevu na kudai haki pale wanapoona wana pokonywa aliamua kufanya uharamia wa kuua organization strong ya waislam na kuunda chombo dhaifu BAKWATA ambacho ni kama kibaraka wa serikali.
Walikuwa wanadhurumiwa haki gani na nani alikuwa anafanya hivyo?
 
Hata chuo kikuu mpaka leo wana kimoja tena cha kupewa na Mkapa mkristu

Nyie wenye vyuo vikuu 100 mna mchango gani kwa maendeleo ya nchi hii zaidi kuendekeza wizi na ufisadi wa mali ya umma? Wengi wenu ni watu wa ovyo msio na uzalendo wala uchungu na nchi hii. Elimu yenu haijawasaidia chochote.
 
Nyerere alikuwa mnafiki sana anajifanya anapigania udini kumbe yeye ndio chanzo ....Alikuwa mkatili sana kaua baadhi ya mikoa kwa ushamba wake.
Mikoa mingi ya pwani aliiua kwa sababu ya udini. Miji kama Tabora, Kigoma, Tanga, Lindi na Mtwara aliiua kwa sababu ya udini. Hata kuhamisha makao makuu kutoka Dar kwenda Dodoma kulikuwa na chembe za udini.
 
Back
Top Bottom