Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Bongo kuna usanii sana,unaweza kuta hiyo nguzo moja inatangenezwa kwa 10M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January atabebeshwa kila baya.January Makamba yeye amisha chukua chake hata shida hana,yani nguzo bila ndondo
TumeliwaJanuary Makamba yeye amisha chukua chake hata shida hana,yani nguzo bila ndondo
KweliBongo kuna usanii sana,unaweza kuta hiyo nguzo moja inatangenezwa kwa 10M
Haifiki hiyo.Ni milioni 12 tu.Bongo kuna usanii sana,unaweza kuta hiyo nguzo moja inatangenezwa kwa 10M
🤣🤣Haifiki hiyo.Ni milioni 12 tu.
Sasa hizi na za miti ambazo nazo zikioza zinaanguka tu hovyo zipi nafuu?Hazina vyuma ndani ndio tatizo
Hakuna kitu tunaweza kufanya bila janja janjaUbunifu au ubabaifu?
Ukikutana na nguzo ya zege ilivyo nzito umekuwa flatSasa hizi na za miti ambazo nazo zikioza zinaanguka tu hovyo zipi nafuu?
Ndiyo hapo sasa.Wanakuwa matajiri halafu wewe na akili zako utabaki umepanga vyumba viwili kwa mama "Asumani"!😂😂😂😂Hakuna kitu tunaweza kufanya bila janja janja
UBORA hauzingatiwikitumbua cha mzalishaji kinaenda ingia mchangaaa
Tunachokoza kimtindo.Nguzo oyeeeee!🤪kitumbua cha mzalishaji kinaenda ingia mchangaaa
Hatari kwei kwei mgosi!hii sasa mbona ni hatari sana
Haya ndio matunda ya uchakachuaji na upigaji.Hatari kwei kwei mgosi!
style ya nguzo inafikirisha ..... hata mie nilijua ndani inasukwa kwa nondo kuongeza uimaraTunachokoza kimtindo.Nguzo oyeeeee!🤪
Zinadondoka lakini haziwezi kuleta madhara makubwa kutokana na uzito mdogo kulinganisha na za zegeKwahiyo za miti hazidondoki?