Nguzo za umeme za zege sasa ni hatari kwa maisha kuweni makini msikae karibu

Nguzo za umeme za zege sasa ni hatari kwa maisha kuweni makini msikae karibu

Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Nijuavyo zinapaswa kuwa na nondo ndani yake ambazo hufunikwa na cement yenye ratio kubwa kuliko mchanga na aina ya cement ni ile 42.5 nadhani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Serikali iwa somone Tanesco na Waziri Makamba watoa maelezo
 
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
HII NDIO FAIDA YA KUCHAKACHUA
 
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Tanesco wanapaswa kushtakiwa kwa uhujumu uchumi
 
Sikiliza kwa makini yaani jua kali likipiga zege linatanuka likipigwa Baridi ninasinyaa Sasa ukiwa na zege lefu au Pana. Juu panakuwa pabaridi chini panakuwa pamoto. Lazima lipasuke tu. Angalia zile njia za kuvukia Magufuli hostel zilipasuka
Haziitaji expansion joint zinahitaji reinforcement bar + quality cement na ratio nzuri. Sand Cement and Concrete poles bila reinforcing bars haiwezi ku withstand bending force

Na kama ni kubana matumizi wangeweza kutumia mianzi 😂😂 wachina wanatumia hii technolojia
 
Unategemea nini kitu kisimamiwe na January na Maharage!

[emoji23][emoji23] halafu kiwanda ni cha Ridhiwani Kikwete pale Bagamoyo !! Balaaa ! Tukae mbali nazo maana wahusika wote ni wapigaji hela
 
Pamoja na kukosa vyuma/ nondo nina wasiwasi na mchanganyiko wa hiyo zege. Sementi yaweza kuwa pungufu ya kiwango kinachohitajika katika kutengeneza zege kwa maana kwamba mchanga umezidi. Pia aina ya kokoto zilizotumika haifai katika kazi hii.

Kokoto inatakiwa iwe ya size fulani na pia isiwe imechanganyika na vumbi. Ili kuwa na zege lenye uimara lazima liwe limesindikwa kwenye maji kwa muda muafaka na pia pressure ya kutengeneza hiyo milingoti ifikie kiwango kinachohitajika.

Hapa sasa tunawauliza TBS je wamehakikisha kwamba hii milingoti inakidhi viwango na je wamewapa nembo yao kuthibitisha hili?
 
Unajua hazina expansion joints. Kwahiyo ni hatari hata sijui nani kazi katengeneza

Hahah naona umekomaa na neno expansion joints...

Mimi sio mtaalamu wa ujenzi lakini sidhani kama aina hiyo ya nguzo za zege inahitaji uwepo wa expansion joint...

Itakuwa tu labda nguzo zimetengenezwa kwa kiwango duni cha materials, pengine pia hazifanyiwa simulation kulingana na wapi zitapotumika n.k

Vilevile kwa kuwa tunaishi Afrika, suala la hujuma huwezi kulipuuzia kama ambavyo kuna wazee wa vyuma chakavu kwenye miundombinu mingine...
 
Hahah naona umekomaa na neno expansion joints...

Mimi sio mtaalamu wa ujenzi lakini sidhani kama aina hiyo ya nguzo za sege inahitaji uwepo wa expansion joint...

Itakuwa tu labda nguzo zimetengenezwa kwa kiwango duni cha materials, pengine pia hazifanyiwa simulation kulingana na wapi zitapotumika n.k

Vilevile kwa kuwa tunaishi Afrika, suala la hujuma huwezi kulipuuzia kama ambavyo kuna wazee wa vyuma chakavu kwenye miundombinu mingine...
Ukisoma civil unasoma somo la environment engineering. Njoo inbox nikupe facts na solutions
 
Hahah naona umekomaa na neno expansion joints...

Mimi sio mtaalamu wa ujenzi lakini sidhani kama aina hiyo ya nguzo za sege inahitaji uwepo wa expansion joint...

Itakuwa tu labda nguzo zimetengenezwa kwa kiwango duni cha materials, pengine pia hazifanyiwa simulation kulingana na wapi zitapotumika n.k

Vilevile kwa kuwa tunaishi Afrika, suala la hujuma huwezi kulipuuzia kama ambavyo kuna wazee wa vyuma chakavu kwenye miundombinu mingine...
Tatizo si nguzo za zege. Tatizo hazina VIWANGO hata TBS hawawezi kupitisha huu upuuzi
 
Ni Hatari sana hio!!

Ndoivo watu washapoga chao!
 
Back
Top Bottom