Nguzo za umeme za zege sasa ni hatari kwa maisha kuweni makini msikae karibu

Nguzo za umeme za zege sasa ni hatari kwa maisha kuweni makini msikae karibu

Unajua hazina expansion joints. Kwahiyo ni hatari hata sijui nani kazi katengeneza

Hahah naona umekomaa na neno expansion joints...

Mimi sio mtaalamu wa ujenzi lakini sidhani kama aina hiyo ya nguzo za sege inahitaji uwepo wa expansion joint...

Itakuwa tu labda nguzo zimetengenezwa kwa kiwango duni cha materials, pengine pia hazifanyiwa simulation kulingana na wapi zitapotumika n.k

Vilevile kwa kuwa tunaishi Afrika, susala la hujuma huwezi kulipuuzia kama ambavyo kuna wazee wa vyuma chakavu kwenye miundombinu mingine...
 
Zinadondoka lakini haziwezi kuleta madhara makubwa kutokana na uzito mdogo kulinganisha na za zege
Kwa akili yako tuendelee kukata miti kujenga nguzo? FYI Hizo nguzo si nzito hivyo kwavile Zina uwazi (hollow) katikati nguzo ya miti ni nzito zaidi!
 
Za wenzetu kabla hazijawekwa zege
images (1).jpeg
 
Hahah naona umekomaa na neno expansion joints...

Mimi sio mtaalamu wa ujenzi lakini sidhani kama aina hiyo ya nguzo za sege inahitaji uwepo wa expansion joint...

Itakuwa tu labda nguzo zimetengenezwa kwa kiwango duni cha materials, pengine pia hazifanyiwa simulation kulingana na wapi zitapotumika n.k

Vilevile kwa kuwa tunaishi Afrika, susala la hujuma huwezi kulipuuzia kama ambavyo kuna wazee wa vyuma chakavu kwenye miundombinu mingine...
Sikiliza kwa makini yaani jua kali likipiga zege linatanuka likipigwa Baridi ninasinyaa Sasa ukiwa na zege lefu au Pana. Juu panakuwa pabaridi chini panakuwa pamoto. Lazima lipasuke tu. Angalia zile njia za kuvukia Magufuli hostel zilipasuka
 
Kwa akili yako tuendelee kukata miti kujenga nguzo? FYI Hizo nguzo si nzito hivyo kwavile Zina uwazi (hollow) katikati nguzo ya miti ni nzito zaidi!
Hizo nguzo zina 600kg-1 tonne kama sikosei. Unasema kwa uzito huo sio nzito sana. Ziko hollow ndio lakini compression iliyofanyika hapo sio ya kitoto. Hizo nguzo ni nzito sana.

Sikuwahi kufikiri akawa hazina bars ndani.
 
Hizo nguzo zina 600kg-1 tonne kama sikosei. Unasema kwa uzito huo sio nzito sana. Ziko hollow ndio lakini compression iliyofanyika hapo sio ya kitoto. Hizo nguzo ni nzito sana.

Sikuwahi kufikiri akawa hazina bars ndani.
Unaona sasa hata uzito wake hujui!
 
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Hatari SANA
 
Kwa hili nguzo kudondoka sio ishu Hata za miti Zina dondoka , mkumbuke Kidogo ni mawazo ya Mzee wetu Magufuli na nguzo za mwanzo kbs zilikuwa zipo strong na hizo chuma zipo Na wazo Hilo alitoa sio Kwa ubaya ni kuepusha upigaji wa Tanesco. Kwa kuagiza Nguzo nje ya nchi,
 
Hazina vyuma ndani ndio tatizo
Zege huwa haina nguvu ya kuhimili tensile stress; ndiyo maana rebars zinatakiwa sana. Nguzo hiyo ikipuliziwa upepo ikapinda kidogo tu, basi tensile stress itakayotokana na deflection itapanda kwa ghafla sana kutokana na eccentricity ya CG na kusababisha nguzo kuvunjika mara moja kwa kukosa rebars.
 
Hizo nguzo zina 600kg-1 tonne kama sikosei. Unasema kwa uzito huo sio nzito sana. Ziko hollow ndio lakini compression iliyofanyika hapo sio ya kitoto. Hizo nguzo ni nzito sana.

Sikuwahi kufikiri akawa hazina bars ndani.
Huwa hzina mkuu mara ya kwanza kuziona hata mimi nilishtuka
 
Mbona Kenya wanazitulia sana hazina hio shida?
 
Kudondoka kwa nguzo za umeme za zege imekuwa kawaida kabisa. Mimi mwenyewe nimeshuhudia nguzo mbili Moja ikijeruhi mtu akiwa ndani ya gari.

Wahusika wawataarifu wananchi wasisogelee hizi nguzo. Ni hatari hazina vyuma ndani yake. ikipata unyevunyevu tu inaanguka.

Mimi nilishangaa engineers waliyozitengeneza hizi nguzo hazina expansion joints. Sasa sijui technology iliyotumika hapo ni ipi. Mimi ninavyojua hizi hazidumu kabisa.
Kuna nguzo za umeme za zege zilijengwa kwenye Reli ya kati. Zile nguzo kwakukuwa hazina expansion joints zilibubujika zikabakia vyuma.
Hawa sijui wanatumia science gani. Ukipita kwenye madaraja yote, barabara ya mwendokasi na sehemu nyinginezo. Huwezi kuweka zege kwenye jua bila expansion joints.
Hayanihusu.

Video hii hapa nguzo imeanguka
View attachment 2693787
Cc: Dr January Makamba
 
Back
Top Bottom