Weight and load mean the same thing. Sijui mantiki yako hasa ni nini, magogo yanaweza kutofautiana ila hizo nguzo zinatengenezwa kwa uzito unaowiana.nini tofauti ya weight na load? nipe ufafanuzi wa hili kwanza ndo uweze kuelewa pole yenyewe haizidi 400 kg! Na pia leta weight ya hizo wooden poles! Tuone kama unachoongea ni kweli! Na kumbuka hata poles za miti hubeba same load!
Makosa mengine ni ya kimungu! Nguzo hizi zinatengenezwa kwenye viwanda vilivyozuka Bagamoyo na TBS wanahusika.Nadhani kuna makosa tu ya kibinadamu
Expansion Joints huwekwa kwa structurs zenye lateral (horizontal) span kubwa, ili structure inapotanukanwakati wa joto isi ‘buckle’ na kutengeneza crack. Sasa hizo nguzo zina vertical span na sio horizontal span, hiyo expansion unaiweka wapi na ya kazi gani?I think Vyote ni muhimu sana
si kweli! Nakupa homework tafuta tofauti ya hivyo viwili then utajua weigt ya pole 9m haizidi 400 kg!Weight and load mean the same thing. Sijui mantiki yako hasa ni nini, magogo yanaweza kutofautiana ila hizo nguzo zinatengenezwa kwa uzito unaowiana.
Kwenye mould ya lazima uweke expansion paper. Usitumie akili fuata kanuniExpansion Joints huwekwa kwa structurs zenye lateral (horizontal) span kubwa, ili structure inapotanukanwakati wa joto isi ‘buckle’ na kutengeneza crack. Sasa hizo nguzo zina vertical span na sio horizontal span, hiyo expansion unaiweka wapi na ya kazi gani?
nchi ya kitheeee.wanakatwa.hao watheeeeHakuna kitu tunaweza kufanya bila janja janja
Nipe mantiki ya unachotaka nifahamu mkuu, ukitaka tuzungumze load vs weight havitaleta maana kwa sasa. Ile nguzo imeandikwa W=600kg.si kweli! Nakupa homework tafuta tofauti ya hivyo viwili then utajua weigt ya pole 9m haizidi 400 kg!
Sijaelewa mnazungumza nini. But expension joint ni environment factorNipe mantiki ya unachotaka nifahamu mkuu, ukitaka tuzungumze load vs weight havitaleta maana kwa sasa. Ile nguzo imeandikwa W=600kg.
Uwezi sema kudondoka Kwa nguzo ya zege ni Jambo la kawaida ebu tafakari vizuri kwakuwa lengo la kuweka nguzo za zege ni kuleta uimara wa miundombinu na kupunguza gharama za matengenezo Kwa baadae sasa huo ukawaida umetokea wapi ikiwa hakuna wasimamizi wanaokizi vigezo nao Engineers. Hakuna experts wa kusimamia hizo kazi MD wa Tanesco anaona Sawa Kwa yote kwakuwa projects zake Kwa wanasiasa zinaenda Hilo la usalama wa wananchi si kipaumbele chake.Kwa hili nguzo kudondoka sio ishu Hata za miti Zina dondoka , mkumbuke Kidogo ni mawazo ya Mzee wetu Magufuli na nguzo za mwanzo kbs zilikuwa zipo strong na hizo chuma zipo Na wazo Hilo alitoa sio Kwa ubaya ni kuepusha upigaji wa Tanesco. Kwa kuagiza
Wanaiga ,malundo yote ya nguzo hizi yarudishwe kwa mzalishaji ,kwa gharama zake,hivi ! huko TANESCO ,hakuna mhandisi ?,iptl,symbion,wind power,hydro ,Sasa nguzo na ni wale wale.kitumbua cha mzalishaji kinaenda ingia mchangaaa
OhkNipe mantiki ya unachotaka nifahamu mkuu, ukitaka tuzungumze load vs weight havitaleta maana kwa sasa. Ile nguzo imeandikwa W=600kg.
Za miti zikioza unaziona na zinaweza kubadilishwa.Sasa hizi na za miti ambazo nazo zikioza zinaanguka tu hovyo zipi nafuu?
Sasa expansion paper si katika utengenezaji labda, ila yenyewe haina na haiitaji hiyo joint kwa sababu haina horizontal span inayohitaji hizo jointKwenye mould ya lazima uweke expansion paper. Usitumie akili fuata kanuni
Hatupingi nguzo za zege tatizo hatengenezwi wa ubora na vigezo. Huwezi ukajiwekea zege hapo bila kujali hali ya hewa. Hata waliyojenga pyramid waliweka rami kama expansion joint. Sasa unaweka zege hapo unasema zege ni imara.Uwezi sema kudondoka Kwa nguzo ya zege ni Jambo la kawaida ebu tafakari vizuri kwakuwa lengo la kuweka nguzo za zege ni kuleta uimara wa miundombinu na kupunguza gharama za matengenezo Kwa baadae sasa huo ukawaida umetokea wapi ikiwa hakuna wasimamizi wanaokizi vigezo nao Engineers. Hakuna experts wa kusimamia hizo kazi MD wa Tanesco anaona Sawa Kwa yote kwakuwa projects zake Kwa wanasiasa zinaenda Hilo la usalama wa wananchi si kipaumbele chake .
Unajua mahali zipo nguzo imara alizotaka Marehemu Magufuli ziwe zikitumika au unataka weka jina la Hayati pasipo sababu, point Tanesco imeegemea katika Foremens kufanikisha kazi zao kuliko kuwapa fursa wahandisi na ndiyo maana haitaki wapandisha Engineers ili kazi ziende Kwa miongozo ya kiufundi.
Matokeo ya uzembe ndiyo maana nguzo zinadondoka na soon watakuja kutupa updates ya kwamba zile ni nguzo za TTCL.