Ng'wanakapolo mwanamke aliyetetemesha Magu. Misukule yake ya Kihindi na Kizungu iliwashangaza wengi

You deserve my salute. I salute to you
 
Bila kysahau MASANZA,SOGE,MWAMANYILI,NASSA GINERY
 
Nani aliyekudanganya kwamba wasukuma ni maskiini ?
 
Ni enzi za mwalimu siyo mzee ruksa
 
Alikuwa anaitwa Anna Abdallah
 
Uchawi kote kwa waafrika umetamalaki. Hata hao wakurya ni wachawi tu. Wajita na wakerewe ndio kabisa
 

Mtu kaiba shirecu huku wana nzengo mnadanganywa eti ana joka linatema hela.
 
Haukutafiti vizuri, wamisionari waliouawa pale Kabiga busambilo hawakuuawa kwa uchawi bali walipigwa mishale na wasambilo ambao walikuwa ni wahunzi na wawindaji hodari. Wala hawakurogwa kama unavyotaka kuwadanganya watu kwenye jukwa hili.
 
Umechanganya sana kuhusu hayo makaburi ya Kabiga katika wilaya ya Nyag'hwale.eneo hilo la Usambilo wamisionari waliuawa na wenyeji kwa kupigiwa mishale yenye sumu siyo kwa kurogwa.nenda kafanye utafiti tena.
 
Huyo hajui wasukuma kwamba ndio wenye hela anajiropokea tu
 
Haukutafiti vizuri, wamisionari waliouawa pale Kabiga busambilo hawakuuawa kwa uchawi bali walipigwa mishale na wasambilo ambao walikuwa ni wahunzi na wawindaji hodari. Wala hawakurogwa kama unavyotaka kuwadanganya watu kwenye jukwa hili.
Nadhani unapoongelea ni eneo tofauti na ninaloliongelea. Kumbuka maeneo ya wamissionary ktk maeneo mbalimbali walishambuliwa pia. Unavyotumia kudanganya wewe umekuja na ushahidi upi usio danganya. Au kwa kutamka kwako tu unajiona weye ndo unajua kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…