Nakumbuka hata suala hamissa kuzaa na mond ulinibishia mnoo nilivyokuambia mond anatunza ile mimba kimya kimya, na kwa ili nabaki na msimamo wangu kuwa haiwezi shuka zaidu ya mil. 1Kupata 1M ni ngumu, labda 500K! Lakini hata ikiwa 1M, unadhani itafanana na zile ambazo angekuwa anazinyonya kimya kimya kabla hajaamua Instagram iwe ndiyo mahakama ya suala lao?!
Aibu ni kwako wewe uliyeandika huu uzi.Hivi kwa akili yako nyumbani kwenu familia nzima mnakula shs ngapi kwa mwezi.sasa huyu motto ni ktu gani cha ajabu atakuwa anatumia.hili li hamisa kama wewe tu ni malimbukeni.wewe mwenyewe mshara wako labda milioni sasa ungezaa na Malaya Hamisa ungekuwa unampa mshahara wote na unaenda kukopa milioni nyingine 4 kwa matunzo ya huyo faru john.Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
jinga mwingine wakati leo kapiga dagaa na tembelee za mia tatu.HAMNA AKILI NDIO MAANA MNAACHIWA WATOTO.Ndo ajifunze kuvaa condom,milioni tano mbona kidogo sana.Kulea siyo rahisi.
HIVI KILA UKITONGOZWA MPAKA UPANUE MAPAJA.KUSEMA SITKI UNASHINDWA.CHUP HAINA PASSWORD NINIchangu mchafu ni huyo diamond anaetomba kila mtu
Ndo muwe mnakumbuka kuvaa condom,mfyuuuujinga mwingine wakati leo kapiga dagaa na tembelee za mia tatu.HAMNA AKILI NDIO MAANA MNAACHIWA WATOTO.
N kiki za mjini tu jina lizidi kung'ara tu Hakuna kingne HapoMsanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.