Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

Unapima kama nyuma unatundu endelea
 
Ebu Naomba tafsiri ya Tajiri au Maskini?

UKijibu hayo maswali kwa usahihi basi ntakubaliana nawewe kikamilifu
 

Wewe Kenge ipo siku watu watakuja kukufumua Ubongo ,unatukana watu halafu kutwa kutembea na benz open roof tena bila ulinzi wa aina yeyote halafu mida mibovu...jiangalie wewe mbweha.
 
Tajiri upo jf muda huu , si huwa mnasema "Time is money"? Au mimi ndo sielewi?
 
Tajiri Chief Godlove ombi langu kwako ni kuhusu namba zako za simu kwenye mitandao ya kijamii zionekane vizuri maana nasumbuliwa sana, wafuasi wako huwa wananicheki mimi inakuwa usumbufu kwangu natumia voda 07*6166666 nadhani ushaelewa code ya hapo kwenye *
 
Umemaliza shule ? Soma kwanza. Wakubwa tuachie yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…