Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
Upo wapiMkuu nisaidie hela ya kula leo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapiMkuu nisaidie hela ya kula leo tu
Tabata kinyerziUpo wapi
mbona jamaa yupo sawa au hujui hili ni jukwaa la vichekeshoNoma sana....
Naona mental health issues zinapamba moto kwa kasi nchi hii.... Serikali iingilie kati.
Nenda shishi food muambie wewe ni kijana wa chief godlove umekuja kula utakula chochote unachotaka bill nimeshalipa Kwa ajili ya vijana wanguTabata kinyerzi
usipanic mkuu, hili jukwaa la vichekeshoMimi nna wewe Leo!
Huo ushaufu unatuletea.
Mimi Sina njaa,najua maana ya Hela ni nini!
Naziuza na kuzinunua Kila siku!
Hiyo commodity tu kama mandazi au mchanga!
Wewe unatutambia makaratasi!
Mshamba wewe bwege mkubwa.
Tafuta hela masikini weweAiseee,duniani kuna watu
mkuu fidodido endelea kutuma vichekesho mkuu ndio jukwaa lakeHivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Bado hujasema,hunitii fedheha.Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweBado hujasema,hunitii fedheha.
Wewe ndio masikini,hujui maana ya hayo makaratasi unayomiliki.
Kama una kisharwara Sema tukuhudumie.
Unaongea kama unamsuta mtu!
Mwanaume Gani wewe unakuwa Shangingi!
Ndio maana nasema wanakugusa wewe.
Mimi sio masikini,Wala Hela sijaanza kuziona Leo.
Limbukeni wewe
Tafuta hela masikini weweendelea kutuma vichekesho mkuu ndio jukwaa lake
hili usijali maneno ya watu
Yani anashangaza sana. Alafu anahisj kwamba anachofanya it worth.ndugu yangu Christopher paul huku siyo TikTok au Facebook.
Tafuta hela masikini weweYani anashangaza sana. Alafu anahisj kwamba anachofanya it worth.
Vipi njegere na mbaazi zimeshatibu vidonda vyako vya tumbo tajiri?🤣🤣Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweVipi njegere na mbaazi zimeshatibu vidonda vyako vya tumbo?
Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini wewe
kivipi kwan huoni thread ipo kwenye jukwaa sahihi, hivi ni vichekesho kama vichekesho vingine cool downHivi inakuwaje jf siku hizi mnaruhusu thread za mapunguani
Nahic kweny masharti ya kupewa utajiri alipewa hilo gonjwa😅Vipi njegere na mbaazi zimeshatibu vidonda vyako vya tumbo tajiri?🤣🤣