Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

Ni aibu jitu zima kuwa masikini halafu mtoto kama mimi nina pesa

Wewe una pesa Bakhresa asemeje! Na havimbi. Aliyekupa wewe kigoda ndio anaewapa wengine makumbi!
 
Wewe una pesa Bakhresa asemeje! Na havimbi. Aliyekupa wewe kigoda ndio anaewapa wengine makumbi!
Huyu fala hamna kitu kuna uzi wake mmoja naomba ushauri wankipona vidonda vya tumbo kwa mbaazi na njegere
 
Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Sisi tunatafuta kwa jasho na halali ndio maana hatutambi unadhan kila mwanaume n kama wewe mwenye kibabu cha kizungu kinachokupumulia kisogon then kinakupa hela za kuja kusumbua watu maana haujui ht hicho kibabu chako kimetoa wapi hizo pesa anazokuhonga
 
Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Jf moderators mnaruhusuje thread kama hii. Haina cha kujenga
 
Hebu screenshot hata message ya muamala unaoanzia milion 5 tu ambao umeufanya hivi karibuni tajiri. 😂😂😂
 
Hivi inakuaje jitu umri umeenda halina pesa linahangaika tu Kila siku aisee hua nacheka sana yaani jitu hata pesa ya kumhudumia kifamilia chake halina hivi mwanaume kama huyu si lofa maana mtoto wa kiume uwezi ukashindwa kumhudumia mwanamke wako na watoto au mnataka tajiri niwe nawalia wake zenu maana wake zenu wananitumia sms wanaomba pesa sababu wanajua Mimi ni tajiri ngoja niwatunzie wake zenu sababu nyie ni masikini na mtakufa na huo ulofa wa umasikini
Akili huna
 
Sisi tunatafuta kwa jasho na halali ndio maana hatutambi unadhan kila mwanaume n kama wewe mwenye kibabu cha kizungu kinachokupumulia kisogon then kinakupa hela za kuja kusumbua watu maana haujui ht hicho kibabu chako kimetoa wapi hizo pesa anazokuhonga
Tafuta hela masikini wewe
 
Hizi post za tiktok na facebook zimakujaje huku??
 
Back
Top Bottom