Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Ni aibu kuwa na taifa ambalo Rais wake anaingilia Mhimili wa Mahakama na anajinasibu kufutia wakosaji makosa kinyume na katiba

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ibara ya 107B ya katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mahakama zitakuwa huru kuendesha mashauri.

Inashangaza Rais Samia kumfutia mharifu makosa

Hii ni kinyume na katiba.
👇

"Kwa hiyo mdogo wangu (Godbless Lema) amerudi ameniambia mama nataka kurudi nikamwambia rudi. Kasema mama nina kesi nikasema nazifuta. Amerudi tunaimarisha siasa si ndiyo? Mwanaume ni yule anayejiamini, mwanamke ni yule anayejiamini,"- Rais Samia Suluhu Hassan.

FqdD3UbWIAMYsUH
 
Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.

Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.

Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
 
Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho.

Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.

Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Sukuma gang on the beat! 2025 mtafika mkiwa hamjui mshike lipi na muache lipi
 
Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.

Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.

Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Mfundisheni sasa
 
Shida huyu mama huwa hajui madhara ya anayoongea hadharani. Anadhani anajenga leo kumbe anaharibu kesho. Kwamba ana uwezo wa kumtengenezea mtu kesi kama alivyofanya kwa Sabaya na kumfutia anayetaka kama alivyofanya kwa lema na mbowe.

Kipindi fulani alikuwa anajikanyaga BBC mpaka washauri wake wakamzuia kuhojiwa na vyombo vya habari.

Pengine huwa hajui anaongea nini? Yupo yupo tu. Hajui Donts na Dos za nafasi nyeti kama hiyo.
Si ni nyie mlikuwa mnasema hamuitaki katiba mpya? Subirini iingie vizuri
 
Back
Top Bottom