Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Vumilia tuu mbona kwa yule marehemu mlikua mnajazana kupokea hizo ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona kitu chocho kutoka nje kimeletwa ujue kuna 20% kwa ya maana imetolewa kwa serekali hii haiwezi kununua ndege bila dalali utfikiri hawajui kiwandaniKwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Zilikuwepo Boeing 737 mbili zikijulikana kwa jina Kilimanjaro na Serengeti !Ni ndege ipi mpya alinunua Nyerere? Yeye aligaiwa mitumba ya iliyokuwa East African Airways.
Ushamba na ulimbukeni siyo sehemu ya uzalendo, bali ni sehemu ya upunguani.Hujui kitu wewe wacha wazalendo tupokee dege.. Kama unaumia sana roho kamata fagio ukafagie viunga vya ufipa.
aise pole sana kamanda kwa maumivu makali sana unayopitia,Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Wewe hujui lolote. Kaa na ujinga wao usijitie aibu.Ni ndege ipi mpya alinunua Nyerere? Yeye aligaiwa mitumba ya iliyokuwa East African Airways.
Kenya Airways wana jumla ya ndege 34. Huu ujinga wa kwetu unathibitisha ule usemi: Maskini akipata .......... hulia mbwata.Kenya hawana mambo ya kijinga kama haya.
SaUUwaaa!!
Ni huzuni sana
P))))Hii Nchi ni kama kijiji tu. Tunaishi kama manyani.
Mnanikumbusha usemi huu barefoot in the heartKila nikisoma post za Lucas Mwashamba huku jamvini huwa taswira ya :mtembea peku' inanijia live na mashairi yake ya kulazimisha.
Pipa lako lipo wapi?Majitu na akili zao eti yanapokea mapipa yanayopaa! Pumbavu kabisa.
Hii kauli yako ifanyiwe lamination halafu ibandikwe kwenye stendi zote nchini.
mshamba ni wewe kama hujui sasa uliza mtu yoyoteUshamba na ulimbukeni siyo sehemu ya uzalendo, bali ni sehemu ya upunguani.
Ndege ni chombo cha usafiri, siyo kitu cha ajabu cha kukufanya mtu uache shughuli zako uende kuishangaa. Ufukara wa akili ni mbaya kuliko ufukara wa kitu chochote. Hao wanaoenda kuzurura airport kuishangaa ndege ndiyo wanaoifanya hii iendelee kuwa maskini siku zote.
Maskini watanzania wananunua ndege halafu wanazipaki viwanjani! Mungu atusaidie.Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi waliopo hapo mioyo yao inavuja Kwa matumizi mabaya ya Kodi zao, wewe na mtumbo wako unadai watz wote wananafuraha, shenz type.
Wajinga , vilaza , walamba miguu wengi wamejificha kwenye hao kaneno (UZALENDO) amini na kwambia nikikaa na wew meza moja unipe tafsiri halisi ya neno uzalendo wew ni mweupe peeeeee ........ ivi huu ujinga mnausomea wapi ..... tufanye kazi ama kweli njaa ni mbayaHujui kitu wewe wacha wazalendo tupokee dege.. Kama unaumia sana roho kamata fagio ukafagie viunga vya ufipa.
Mtapanuka mioyo yenu bure. Kubalini tu Mheshimiwa SSH alishamaliza mchezo baada ya kuendeleza kwa kasi yale yote yaliyoanzishwa na JPM. Kubalini tuMajitu na akili zao eti yanapokea mapipa yanayopaa! Pumbavu kabisa.
endeleni kupinga kila jambo nchi inachanja mbuga nduguWajinga , vilaza , walamba miguu wengi wamejificha kwenye hao kaneno (UZALENDO) amini na kwambia nikikaa na wew meza moja unipe tafsiri halisi ya neno uzalendo wew ni mweupe peeeeee ........ ivi huu ujinga mnausomea wapi ..... tufanye kazi ama kweli njaa ni mbaya
Ridiculous, eti majitu na akili zao yanashangilia ndege karne ya 21!Kweli kabisa majirani wakiona haya mambo wanatuona manyani tu