Ni aidha uwe na mvuto au uwezo wa kuwahudumia. Vinginevyo wanawake hawana simile na wewe

Yaani bila pesa kwa mahusiano ya sasa sahau furaha na amani. Iwe mke wa ndoa au side chick, it's all about money.

Ndio maana watu wamegeukia kufanya biashara(buy/sell), nikiwa na kiasi fulani I know naweza lipia lodge, chakula na vinywaji..then nakula pussy nalipia kidogo naenda home. Ila mahusiano yanahitaji uwekezaji wa rasilimali fedha.
 
mi tangu demu niliye mtongozaga mwaka 1993 badala ya kunijibu kwa barua,alisubili nimeenda kwa rafiki yangu kumbe rafiki yangu ndo alikuwa ana mla.kilichofatia nilimuona anamushika shika jamaa kifuani na jamaa alikuwa mtoto wa mkuu wa wilaya akanigeukia akaniambia flani sikupenda iwe hivyo ila ninaye nimpendaye kwa dhati kwakweli nilijiona aibu mbele za watu wale nilijiona sina thamani tena,kuanzia hapo hisia kwa wanawake zikapotea msije mkaa sema ni shogaa mirijali kabisa ila nawachukia wanawake nikawaona hawana akiri nikawadharau wanawake wote duniani mpaka sasa nawaona wanawake ni wapumbafu tu .chakushangaza yule mtoto wa mkuu wa wilaya hakulioa likaolewa na msukuma mshamba uzuri alokuwa nao ushayeyuka ,asaiv amebaki kujipendekeza tu kwangu mi namchora tu.
 
Binafsi siwezi kumpa Mwanamke kitu kinachoitwa PESA hii ni kanuni yangu ambayo nilianza kuishi kabla sijabalehe mpaka leo 26yrs

Sisi wengine starehe zetu nikuzipata hizo pesa na sio wanawake so personal namshukuru Mungu kwa Hilo.
Safi kabisa principal.... nzuri sana hiyo hukuna kumpa mwanamke pesa.
 
1993 😳😳 shkamoo uncle
 
Muongo mbona kuna marasta kibao wala ngada ,,macontawar na wana madem kibao tena ya kizungu wanakula nao maisha
 
Mkuu mbona Mimi Sina hizo pesa mixer mvuto wa kiasili afu bado mademu wanajigonga kwangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…