Ni akili ama matope ? Unasomesha mtoto shule za ada kubwa anaishia kuwa Winga , sababu wewe mzazi huna kampuni wala biashara yoyote ya kumrithisha


CEO wa NMB ana umri unaofanana na umri wa TID.

CEO wa NMB amesoma shule za serikali. Kayumba kuanzia msingi mpaka chuo

TID kasoma shule za kulipia

Ila leo hii kayumba product ndie CEO wa bank kubwa huku shaban robert product TID anaunga unga anaishi kwao
 
Tatizo watu wanaigiza sana maisha yaani mtu unakuta ni middle income tu ila anavyovimba๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„akiyumba kidogo tu chali.

Hao huwa wanajifunza wakati ukiwa umeshapita yanabakia majuto tu.
 
Matajiri wengi walianzia kazi ya Winga
Hizi ni ndoto za mchana msomi๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Wakinga wanapiga uwinga huku kwao Iringa wameacha mashamba ya miti ya mbao na maparachichi. Anafanya uwinga kupata experience ya biashara ila anajua after sometime mtaji upo shamba ni swala la muda tu.Shtuka wenzako wanahesabu kali.
 
Usitafute kichaka Cha kujificha wewe peleka tu mtoto wako kayumba akadumishe uzalendo wa lugha ya kiswahili
 
Wanawake wengi wana hii mentality na kuwalazimisha waume zao kusomesha watoto shule za gharama

Hoja yao ni kuwa pesa zitatumika kwa michepuko mwisho wa siku mzee anashindwa kupanga list yake vizuri huku umaskini ukitamalaki kwenye familia
Hata hivyo kwani ni uongo kuwa pesa zinatumika kwa michepuko, wanaume mnaweza kuwaambia wake zenu hamna pesa kumbe huko nje mnahonga, halafu mkifilisika mnataka wake zenu ndio wawavumilie wakati huo hiyo michepuko mliyokuwa mkiihonga ishawakimbia
 
Hata hivyo kwani ni uongo kuwa pesa zinatumika kwa michepuko, wanaume mnaweza kuwaambia wake zenu hamna pesa kumbe huko nje mnahonga, halafu mkifilisika mnataka wake zenu ndio wawavumilie wakati huo hiyo michepuko mliyokuwa mkiihonga ishawakimbia
Mchepuko hauwezi kumaliza milion 4 kwa mwaka hata niwe nayo kumi

Sasa ada ya mtoto kwa mwaka ni shingapi kutaka kujimwambafai tu mtaani na nyie muonekane
 
wahindi na Wachaga wanasomesha watoto shule za gharama ila wanabalance wanamiliki na biashara za familia pia.

Ni upuuzi kuwekeza hela yote ya familia kwenye kusomesha tu
Sasa boss, Maelfu ya watu walioajiriwa kwenye ng'o na mashirika ya kimataifa, mabank na taasisi za fedha wamesoma shule za kata? Au hizo taasisi zinamilikiwa na wazazi wao?
 
Labda Nipo wrong,,,Ila sio wote wanaosoma feza wanamaisha mazur wengine wanakua na vipaj maalum wanapata scholarships,
 
Early grey
 
100 percent fact
 
Mkuu wimbi la hizi nyuzi ni stress za ada ๐Ÿ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ