Ni baraka kwa introvert kujifahamu kuwa ni introvert na kuamua kuutumia uintrovert wake kwa manufaa!

Ni baraka kwa introvert kujifahamu kuwa ni introvert na kuamua kuutumia uintrovert wake kwa manufaa!

Introvet raha sana. Unapiga zako gambe unatulia. Pia unapata muda wa kuwazua mambo, siku hizi nimejifunza kitu nikiwa na jambo gumu nalipa muda nakaa ata siku tatu silifikirii.

Kumbe akili inaliwazua bila mimi kujua mwisho wa siku nashangaa nakuja na solution ya ajabu sana kila mtu anabaki mdomo wazi.

Napenda usiri japo siku hizi nimeiba tabia za extrovet najichanganya na kusalimia kila mtu maeneo ya kazi but baada ya hapo napotea kujichimbia kwa computer. Kuna muda nahisi siko introvet 100%. Sababu pia naweza kudanganya sana ila kwa kutumia akili, natabia ya wasiwasi sipendi kuacha alama kwenye harakati zangu.

Napenda kutumia majina bandia sitaki mtu ajue jina langu halisi na hii ni tokea nikiwa sekondari mpaka sasa wanaojua jina langu halisi ni wachache. Miaka ya hivi karibuni ndio nimeanza tena kutumia jina langu halisi baada ya kuhama mazingira. Inshort kila mtaa niliokaa nilitumia jina tofauti.....NB: SIJAWAHI KUTAPELI WALA KUIBA CHA MTU ILIKUWA NASIKIA FURAHA TU KUWA MTU BANDIA

Nakipaji cha kuandika na kuchakata maneno, naweza kusoma matamshi ya sauti ya mtu na kujua hatua itakayofuata. Naweza kuonana na mtu kwa dakika chache nikaandika historia yake kwa usahihi 70% na kuweza kubashiri kesho yake kwa 60%.
Hata Introvert akiamua kuuiga uetrovert, "mtaalam" wa Saikolojia atamgundua tu.

Wewe ni "typical Introvert!"

Na kwa jinsi walivyo na "akili nyingi", wakiamua kudanganya au kuwa wahalifu wanaweza wakafanikiwa kuufanikisha uovu bila kufahamika kwa sababu ya ya tabia zao za kutokufanya jambo kwa kukurupuka.

Ila hongera kwa kuwa unautumia uintrovert wako kwa manufaa👏👏👏
 
Siwezi kujua ila baadhi ya hizo sifa alizotaja ninazo sana tu karibu nusu nzima
Hebu zitaje baadhi, hasa zile zinazokukera. Huenda kuna mtu atakushauri cha kufanya ili kuzigeuza kuwa "mtaji"

Chochote ambacho hakifahamiki sababu ya uwepo wake, kinaweza kutumiwa ndivyo sivyo.

Ndivyo ilivyo kwa introvert wasiojijua, wanateswa na ambacho kilipaswa kuwasaidia.
 
Introvert wa JF mpoo! Unafahamu thamani ya uintrovert wako?

Kuwa introvert si ugonjwa. Nibaraka, lakini ukijitambua na kujikubali. Vinginevyo, unaweza ukawa sawa na mtu anayetaka kubadilishana kilo kumi za dhahabu kwa kuku kumi wa mayai! Hasara iliyoje!

Jamii yetu, kwa kutokufahamu, wamekuwa wakiwalaumu introvert kwa kutokuwa extrovert. Kuna wanaofikiria wana viburi,, wengine wanafikiri ni waoga, wengine wanawaona kama ni watu wanaojisikia, n.k. Hawajui kuwa wao ndiyo "wajinga", kwa kushindwa kujua utofauti wa maintrovert an extrovert.

Mungu, kwa nia njema kabisa, kaona vyema watu wawe na "personality" tofauti. Wewe unafikiri ingekuwaje kama dunia nzima ingekuwa ni ya maextrovert pekee? Au unafikiri ingekuwaje kama watu wote wangekuwa ni maintrovert?

Kama ambavyo Mungu kaamua kututofautisha, tuzikubali hizo tofauti na tuzitumie kwa manufaa. Wazazi wenye watoto maintrovert waache kuwalazamisha kuwa extrovert, badala yake wawasaidie kuvuna manufaa ya kuwa introvert.

Kwa wasiofahamu, kuwa introvert si ugonjwa. Ni namna ubongo unavyochakata taarifa zinazotumwa kwake. Kwamba, kiwango cha "dopamine" na muundo wa "dopamine receptors" kwenye ubongo ndiyo humtofautisha Introvert na Extrovert.

Tafiti za Kisayansi zinaonesha kuwa mtu anaweza kubainika kama ni introvert au extrovert akiwa na umri wa kuanzia miezi minne.

Kwa wasiojua, hizi ni baadhi ya tabia za Introverts:

~ Wakiamya

~ Wanapenda mazingira ya kuwa peke yao - hawafurahii mazingira ya mchanganyikeni

~ Wanapenda mazingira ya ukimya

~ Hufikiri kabla ya kuongea

~ Wana kawaida ya kuwa na marafiki wachache

~ Ni wasiri sana, n.k. (wengine wataongezea).

Baadhi ya watu maarufu ambao ni Introverts:
1. Warren Buffett
2. Mark Zuckerberg
3. Bill Gates
4. Steve Wozniak
5. Larry Page
6. Michael Jordan
7. Elon Musk
8. Charles Darwin
9. Mahtma Gandhi
10. Al Gore
11. Sir Isaac Newton
12. Rosa Parks
13. Eleanor Roosevelt
14. Abraham Lincoln
15. Barack Obama
16. Marissa Mayer
17. Guy Kuwasaki
18. Hilary Clinton
19.Michael Jackson
20. Brenda Barnes, e.t.c.

Nafikiri, na hawa Watanzania nao ni introvert: Dr. Mohammed Gharib Bilal, Dr. Ally Mohammed Shein, Dr. Philip Mpango, n.k.

Introvert, umebarikiwa kuwa introvert! Usitamani kuwa extrovert!

Extrovert, hakuna hasara kuwa Extrovert! Usiigize kuwa introvert!

Kila mmoja akae kwenye nafasi yake!!!
21. BRN..
Tuko vizuri sana kwenye uandishi.
 
A
Hata Introvert akiamua kuuiga uetrovert, "mtaalam" wa Saikolojia atamgundua tu.

Wewe ni "typical Introvert!"

Na kwa jinsi walivyo na "akili nyingi", wakiamua kudanganya au kuwa wahalifu wanaweza wakafanikiwa kuufanikisha uovu bila kufahamika kwa sababu ya ya tabia zao za kutokufanya jambo kwa kukurupuka.

Ila hongera kwa kuwa unautumia uintrovert wako kwa manufaa👏👏👏
.....kufanya jambo kwa kutokurupunga au kufanya jambo bila kuwashirikisha watu wengine....
 
Ukimya si tabia pekee ya Introvert! Na, imethibitika Kisayansi kuwa mtu kuwa Introvert au Extrovert hakuhusiani na malezi.

Malezi yanawezaje kumfanya mtoto wa miezi minne kuwa introvert au extrovert?

Mimi siyo NEUROSURGEON, wala si MTAALAM WA SAIKOLOJIA, ninachokifahamu ni kile tu ambacho nimejifunza kwa hao wataalam kupitia vitabu vyao au nimegundua kwa "bahati".

Yafuatayo ni maelezo machache kutoka kitabu cha ON THE PSYCHOLOGY OF PERSONALITY. Jisomee mwenyewe.

"Studies have shown that behavioral markers for introversion/extroversion can be reliably detected as early as 4 - months of age. Given this, a genetic basis for introversion (as well as extroversion) is likely.

Depomine levels and the structure of depomine receptors underlie this temperament difference between Introverts and Extroverts. In broad strokes, Introverts have high baseline levels of cognitive stimulation and arousal even at rest and thus are constantly trying to avoid any additional visual and social stimuli. So when they are trying to concentrate, nearby noises or people becomes distracting and pushes them over their optimal level arousal. Extroverts, on the other hand, are at a constant arousal deficit and require stimuli to compensate and bring them to their optimal level. So they seek out places with lots of people, loud music, or interesting visuals.

When introverts are pushed over their comfortable level of arousal, they have to bring in additional mental resources to filter out or handle the overload. This cause fatique, and over time, they learn to avoid stimulation that lead to this.

Extroverts are the opposite. They need environmental stimulation just to be at their optimal arousal level i.e., the right balance between being bored and being excited. They go to parties and feel more energized from interesting with everyone and being in the midst of a lively social setting".

Mwisho wa kunukuu!
Kwanini ni "miezi minne" na si "tangu akiwa tumboni"? Mtoto hata awe na mwezi mmoja tayari huyo kashaonja malezi
 
Introvert wa JF mpoo! Unafahamu thamani ya uintrovert wako?

Kuwa introvert si ugonjwa. Nibaraka, lakini ukijitambua na kujikubali. Vinginevyo, unaweza ukawa sawa na mtu anayetaka kubadilishana kilo kumi za dhahabu kwa kuku kumi wa mayai! Hasara iliyoje!

Jamii yetu, kwa kutokufahamu, wamekuwa wakiwalaumu introvert kwa kutokuwa extrovert. Kuna wanaofikiria wana viburi,, wengine wanafikiri ni waoga, wengine wanawaona kama ni watu wanaojisikia, n.k. Hawajui kuwa wao ndiyo "wajinga", kwa kushindwa kujua utofauti wa maintrovert an extrovert.

Mungu, kwa nia njema kabisa, kaona vyema watu wawe na "personality" tofauti. Wewe unafikiri ingekuwaje kama dunia nzima ingekuwa ni ya maextrovert pekee? Au unafikiri ingekuwaje kama watu wote wangekuwa ni maintrovert?

Kama ambavyo Mungu kaamua kututofautisha, tuzikubali hizo tofauti na tuzitumie kwa manufaa. Wazazi wenye watoto maintrovert waache kuwalazamisha kuwa extrovert, badala yake wawasaidie kuvuna manufaa ya kuwa introvert.

Kwa wasiofahamu, kuwa introvert si ugonjwa. Ni namna ubongo unavyochakata taarifa zinazotumwa kwake. Kwamba, kiwango cha "dopamine" na muundo wa "dopamine receptors" kwenye ubongo ndiyo humtofautisha Introvert na Extrovert.

Tafiti za Kisayansi zinaonesha kuwa mtu anaweza kubainika kama ni introvert au extrovert akiwa na umri wa kuanzia miezi minne.

Kwa wasiojua, hizi ni baadhi ya tabia za Introverts:

~ Wakiamya

~ Wanapenda mazingira ya kuwa peke yao - hawafurahii mazingira ya mchanganyikeni

~ Wanapenda mazingira ya ukimya

~ Hufikiri kabla ya kuongea

~ Wana kawaida ya kuwa na marafiki wachache

~ Ni wasiri sana, n.k. (wengine wataongezea).

Baadhi ya watu maarufu ambao ni Introverts:
1. Warren Buffett
2. Mark Zuckerberg
3. Bill Gates
4. Steve Wozniak
5. Larry Page
6. Michael Jordan
7. Elon Musk
8. Charles Darwin
9. Mahtma Gandhi
10. Al Gore
11. Sir Isaac Newton
12. Rosa Parks
13. Eleanor Roosevelt
14. Abraham Lincoln
15. Barack Obama
16. Marissa Mayer
17. Guy Kuwasaki
18. Hilary Clinton
19.Michael Jackson
20. Brenda Barnes, e.t.c.

Nafikiri, na hawa Watanzania nao ni introvert: Dr. Mohammed Gharib Bilal, Dr. Ally Mohammed Shein, Dr. Philip Mpango, n.k.

Introvert, umebarikiwa kuwa introvert! Usitamani kuwa extrovert!

Extrovert, hakuna hasara kuwa Extrovert! Usiigize kuwa introvert!

Kila mmoja akae kwenye nafasi yake!!!
This is me
 
Introvert wa JF mpoo! Unafahamu thamani ya uintrovert wako?

Kuwa introvert si ugonjwa. Nibaraka, lakini ukijitambua na kujikubali. Vinginevyo, unaweza ukawa sawa na mtu anayetaka kubadilishana kilo kumi za dhahabu kwa kuku kumi wa mayai! Hasara iliyoje!

Jamii yetu, kwa kutokufahamu, wamekuwa wakiwalaumu introvert kwa kutokuwa extrovert. Kuna wanaofikiria wana viburi,, wengine wanafikiri ni waoga, wengine wanawaona kama ni watu wanaojisikia, n.k. Hawajui kuwa wao ndiyo "wajinga", kwa kushindwa kujua utofauti wa maintrovert an extrovert.

Mungu, kwa nia njema kabisa, kaona vyema watu wawe na "personality" tofauti. Wewe unafikiri ingekuwaje kama dunia nzima ingekuwa ni ya maextrovert pekee? Au unafikiri ingekuwaje kama watu wote wangekuwa ni maintrovert?

Kama ambavyo Mungu kaamua kututofautisha, tuzikubali hizo tofauti na tuzitumie kwa manufaa. Wazazi wenye watoto maintrovert waache kuwalazamisha kuwa extrovert, badala yake wawasaidie kuvuna manufaa ya kuwa introvert.

Kwa wasiofahamu, kuwa introvert si ugonjwa. Ni namna ubongo unavyochakata taarifa zinazotumwa kwake. Kwamba, kiwango cha "dopamine" na muundo wa "dopamine receptors" kwenye ubongo ndiyo humtofautisha Introvert na Extrovert.

Tafiti za Kisayansi zinaonesha kuwa mtu anaweza kubainika kama ni introvert au extrovert akiwa na umri wa kuanzia miezi minne.

Kwa wasiojua, hizi ni baadhi ya tabia za Introverts:

~ Wakiamya

~ Wanapenda mazingira ya kuwa peke yao - hawafurahii mazingira ya mchanganyikeni

~ Wanapenda mazingira ya ukimya

~ Hufikiri kabla ya kuongea

~ Wana kawaida ya kuwa na marafiki wachache

~ Ni wasiri sana, n.k. (wengine wataongezea).

Baadhi ya watu maarufu ambao ni Introverts:
1. Warren Buffett
2. Mark Zuckerberg
3. Bill Gates
4. Steve Wozniak
5. Larry Page
6. Michael Jordan
7. Elon Musk
8. Charles Darwin
9. Mahtma Gandhi
10. Al Gore
11. Sir Isaac Newton
12. Rosa Parks
13. Eleanor Roosevelt
14. Abraham Lincoln
15. Barack Obama
16. Marissa Mayer
17. Guy Kuwasaki
18. Hilary Clinton
19.Michael Jackson
20. Brenda Barnes, e.t.c.

Nafikiri, na hawa Watanzania nao ni introvert: Dr. Mohammed Gharib Bilal, Dr. Ally Mohammed Shein, Dr. Philip Mpango, n.k.

Introvert, umebarikiwa kuwa introvert! Usitamani kuwa extrovert!

Extrovert, hakuna hasara kuwa Extrovert! Usiigize kuwa introvert!

Kila mmoja akae kwenye nafasi yake!!!
22. Maramojatu wa JF
 
Back
Top Bottom