Ni biashara gani nzuri ya kufanya kwa mtaji wa milioni 15?

Bahati mbaya au nzuri sijengi uswazi.
Pia nimekuandikia kwamba NIMEJENGA MPAKA KWENYE LENTA kwa bei hiyo.

Exclude kiwanja, Mapaa and all shit.

Ila nategemea kupiga bati ya south
 
Bahati mbaya au nzuri sijengi uswazi.
Pia nimekuandikia kwamba NIMEJENGA MPAKA KWENYE LENTA kwa bei hiyo.

Exclude kiwanja, Mapaa and all shit.

Ila nategemea kupiga bati ya south
Sasa unapomshauri mtu mwenye mil 15. 7 ajenge nyumba wakati unajua hata haitoshi unatarajia nini mkuu?
 
Soma comment namba 78. Hapo ndio nimemshauri
Basi sorry I thought ulikuwa una support ajenge nyumba uswazi kitu ambacho napinga na najua kwa bei hiyo haiwezekani kumaliza nyumba unless ajenge vyumba vya frem vya kupangisha vya futi 10 kwa 10
 
habari wakuu!
katika mitego yangu ya hapa na pale nmenasa mkwanja kama mil 15 na laki saba lakini sina uzoefu na biashara! naombeni mawazo nifanye biashara gani ambayo inaweza nitoa
nipo sumbawanga wakuu!
mkuu fanya biashara zenye mzunguko wa haraka .. i mean first moving business zile ambazo demand ( mahitaji ) yake makubwa kwa jamii .. for example sigara kuuza kwa jumla ..
 
Reactions: MC7
Bahati mbaya au nzuri sijengi uswazi.
Pia nimekuandikia kwamba NIMEJENGA MPAKA KWENYE LENTA kwa bei hiyo.

Exclude kiwanja, Mapaa and all shit.

Ila nategemea kupiga bati ya south

Dah kumbe vitu vinawezekana 5.3 mpaka kwenye lenta??
 
Sio ladhima mimi silipwi hapa na wala wewe unilipi na wala mimi sio mtoa mada mimi ni mshauri tu na ni ihari yangu sababu wazo la biashara wanauza wewe unataka bure
 
Usifanye biashara kama wewe huna wazo la biashara watu watakushauri uingize ela ile kwako.
Kufanya biashara kunaanzia kwa mhusika mwenyewe sio mtu unapata ela ndipo unawaza ufanye nini watu watakushauri wengine wata take advantage kwako. Be careful
 
kiwanja mkuranga mjini karibu na halmashauri mill 1 tofali za vyumba vitatu mill 2 material mengine kila kitu mill 4 finishing miti maua mill 2 hiyo ufund mwanzo mwisho 1.5 hiyo 4.5 iliyobaki fanyia bussness kaa kwenye nyumba kwa miezi miwili kisha uza

nafikiria kuifanya hii biashara nishajenga moja pale mkuranga karibu na shule ya msingi kitumbo
 
Kwahiyo uswazi cement mfuko sh 1500 au? Huo uwanja uswazi unagawiwa buree sababu mjomba anamiliki ekati 500? Hivi uswazi bati linauzwa jero?
Kwa kifupi kuna sehemu unaweza kupata kiwanja ...mchanga ukawa unaletewa na mkokoteni Vs.Tipper.
Kuna sehemu maji ndoo ni BUKU lakini sehemu nyingine ni sh. 50
Kuna baadhi ya maeneo ku Set kiwanja unatumia TOTAL STATION na kuna baadhi ya maeneo fundi ana set kwa macho.
Sasa basi hayo maeneno yenye unafuu ndio nayaita uswazi.
Nina uhakika huna ufahamu na total station na kwa kukusaidia,ipo hapo pichani


Asilimia 75% ya gharama za ujenzi zipo ktk usafiri.
 
Ahahahhah.... Achana na total station naifahamu hadi thodolite. Pia kwa kuongeza ufahamu wako juu yangu.... Uswazi ndio nilikozaliwa kukulia na mpaka leo bado natimba kitaa na full respect.
Kwa nyongeza tuu... Sie ndio tuliokuzwa kwa miguu ya kuju utumbo vichwa na supu za mapupu.
Usisahau pia sie ndio familia za wauza gongo na bangi kabla ya kuadvancena kuanza kuuza unga mixer valium
Kukukumvusha tena sie ndio tuliokuzwa na kusomeshwa kwa pesa za ukabaji na umalaya wa mama na baba zetu.
Turudi kwenye topic ya msingi... Sema bei ya kiwanja huko uswazi kwenu na hasa huko unakoweza kuchimba mchanga wa kujengea.... Kumbuka mbagala chamazi mbande na kisauke huko ni nje ya mji.
Pia sema bei ya tofali kwa uswazi yenu maana kwetu tofali 800. Sema bei ya bati nondo ceiling board na mbao za kujengea.... Kifupi njoo na mchanganuo wa hiyo nyumba yako tuache kuandikia mate na wino upo....
Karibu kwetu wauza utumbo kemp... Nunua kilo moja ukope kilo nne malipo ya deni maelewano ofa inaanza saa 6 mpaka majogoo.
 
Duuuh kumbe we mwenzetu!!!
Usiwe mbishi nyumba za gharama nafuu Uswazi zipo.
 
Duuuh kumbe we mwenzetu!!!
Usiwe mbishi nyumba za gharama nafuu Uswazi zipo.
Zipo zile zetu tunazojenga tuishi wenyewe... Uwanja upo unavuta chumba cha futi 10 kwa 10 maisha yanasonga... Ila huyu wa mil 15. 7 anunhe uwanja mil3 hapo kapimiwa miguu 10 kwa 10 kama wanavyouziwaga wapemba wajenge maduka... Ukisema ujenge nyumba kisha uje uiuze lazima uwanja uwe mkubwa na bei itakuwa kubwa msingi mdogo huo...
Na kama ni lazima afanye biashara ya nyumba basi Ende mbande akanunue miguu 20 kwa 20 mil 2 ajenge kisha asubiri miaka mi5 ndio auze.
 
BRAVO
 
nunua bajaji moja kwa 7M pesa inayobaki peleka kwenye kilimo but kama sio mzoefu wa kilimo subiria fanya biashara ya mazao tu
 
Najenga nyumba now, kuifikisha kwenye lenta ni 5.3M
Hapo ni nyumba ya vyumba 3, 2 self contained. Jiko, stoo, public toilet, sitting room.
Na ni Dar es salaam.

Labda kama mshamba upate mafundi wakugonge
Mkuu uko wapi unipe njia uliyo tumia?
 
Kwa utawala huu ushauri wangu usifanye biashara nje ya vyakula, ungekuwa dar ningekutafuta nikuonyeshe fursa zilizopo, Ila biashara mwa sasa ni chakula tu
mkuu nipo mbeya nina plan ya kufanya biashara ya chakula kama mchele,sembe,maharage,karot na vitunguu maji na swaumu,,vyote hv nadhalisha mwenyewe,,njoo pm
 
mm home swanga pia ila siko swax kwa sasa niko mbeya maporini saiv niko kuvuna msitu wangu wa miti huku ileje undari
piga 0753445531 nikupe mwanga kama si ushaurii

warning c kila mtu anae kwita pm ata kua na msaada kwako
yamwi yama kulonda yakwiile utupia tuno utuchulila nkani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…