Mhh Muha anatengeneza bites😜..sili hata kama dawa...kazi za kuingiza 20 nyingi mnoo shida yetu tunaishi kwa kufake..na hatupend kujichoshaKuna vijana wamejiajiri hapa mitaa ya sokoni karibu na kituo cha bajaji na bodaboda.wao wanatengenza vitafunwa Waha hawa jamaa ,andazi 200,chapati 500,bagia 100,donati 300..kila muda wako busy .Acha kijana aseme hakuna mishe Ila vikazi vya kupata 20 Kwa siku vingi Sana ni vile tu
Basi bora nile maisha na manzi yangu as long as nakusanya elimu ya mazingira nikiwa free nitafanya. Sio kuwa ndio naenda kupoteza, nishapoteza 1.2M kwa kutosimamia. Niliambulia kuokoa laki 5 kasoro
Kwa kiasi flani nimeibukia kwenye savings, tatizo hela nayoweka ni ndogo naona bora niiwekeze ikue ila ndio vitasa napokea. Nikisema nisikate tamaa nazidi kupoteza hela
Yani hapa niko nasolve hiki kitendawili,nikipata majibu tu.Mimi tajiri.Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini Hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu... Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]View attachment 1722606
Tupo pamoja sema ni ngumu kukitegua maana hatupo zenjiYani hapa niko napambana kutegua kitendawili cha huyu wa Zbar..niki
Yani hapa niko nasolve hiki kitendawili,nikipata majibu tu.Mimi tajiri.
Hata kwa sattelite nitafika tu mkuu, ngoja niizoom Zbar hapa.kitaeleweka tu labda awe kadanganya.
Ukipata jibu usisahau kunitagHata kwa sattelite nitafika tu mkuu,ngoja niizoom Zbar hapa.kitaeleweka tu labda awe kadanganya.
Labda biashara ya ku.jiu.zaBiashara yangu ina copyright issues hivyo samahani jamani sitaitaja maana naifanya mwenyewe tu huku Zanzibar watu wengine bado hawajapata mechanism ya kucopy.
Na soon baada ya wao kucopy nahamia kwenye phase 2.
Mtanisamehe! [emoji120]
Degree ya uchumiKuoa mimi sio leo wala kesho. Ndo kwanza niko chuo nina ghetto hasahasa namiliki jeans na raba hakuna kingine. Muda wa kufanya kazi sitopata, kusimamia sawa ila sio kukaa.
Hapa yenyewe nina UE jioni niko nazima motoView attachment 1722656
Ilishantokea hii, nilikuwa natafuta biashara ya mtaji mdogo. Ilinigharimu muda saana ila kwa Sasa najiona genius saana.Najaribu kuitafakari iyo biashara akili inagoma kabisa. Kibaya zaid sijapata biashara nzuri ya mtaji mdogo niifanye toka mwaka uanze,eeh Mungu nisaidie !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi saana! Think deep it ain't illegal yet.Yani hapa niko nasolve hiki kitendawili,nikipata majibu tu.Mimi tajiri.
Inataka uwe na akili ya Ziada saana. Sio kila mtu anaweza kuona profit nnayo make wengi wanaona Kama nacheza makida tu.Hata kwa sattelite nitafika tu mkuu,ngoja niizoom Zbar hapa.kitaeleweka tu labda awe kadanganya.
Labda uuze mk*ndu lakini nao huwezi kupata faida kila siku sababu hauuzi daily na at the end utaishia kuoza tu nyuma tu, Mtoto wa kiume ukianza kufikiria masuala ya kuuza mwili mapema mapema inasikitisha saana.Labda biashara ya ku.jiu.za
Kuna wanawake nilikutana nao 4yrs ago walikia wanapeleka njegere zenji...walikua wako vzr sana....Ilishantokea hii, nilikuwa natafuta biashara ya mtaji mdogo. Ilinigharimu muda saana ila kwa Sasa najiona genius saana.
Hiyo biashara inataka mtaji imara kidogo.Kuna wanawake nilikutana nao 4yrs ago walikia wanapeleka njegere zenji...walikua wako vzr sana....
Sasa mkuu wewe unaleta utani na maisha watu tupo mtaani tumepigika, siunaona mtu kaanzisha uzi kama hivi! Maana yake anahitaji msaada, pia wengine wanafaidika kupitia michango ya mawazo inayotolewa,Labda uuze mk*ndu lakini nao huwezi kupata faida kila siku sababu hauuzi daily na at the end utaishia kuoza tu nyuma tu, Mtoto wa kiume ukianza kufikiria masuala ya kuuza mwili mapema mapema inasikitisha saana.
Think deep, usifikirie katika mambo yasiyo na tija.
Ukiachaga pombe za kienyeji unakuwaga na akili saana, mwanzoni umetoa ushuzi mtupu ila Sasa ndo umeongea Kama mwanaume.Sasa mkuu wewe unaleta utani na maisha watu tupo mtaani tumepigika, siunaona mtu kaanzisha uzi kama hivi! Maana yake anahitaji msaada, pia wengine wanafaidika kupitia michango ya mawazo inayotolewa,
Unaposema unabiashara ya mtaji mdogo na inakupa faida kubwa, na huisemi, mtu anaona kama unambania au kumnyanyasa kisaikolojia, unatuongezea maumivu mkuu ujue watu tumewahi kwenda kuomba kazi kwenye makampuni ya wageni tukazuiliwa kuingia ndani na wabongo wenzetu,ma secretary wanachana na kutupa barua za maombi ya kazi kwenye dustbin. Kiufupi tunapitia mengi sana mpaka tumejawa na stress inafikia point tunajikuta tukikutana na mtu anayekunyima mchongo kama hivi unakumbuka maumivu yote uliyopitia ya kunyanyaswa na wabongo wenzetu.
Nisamehe sana mkuu niliandika kwa makosa na hasira tu zinazotokana na stress I'm sorry [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nikuombe kitu kimoja siku nyingine ukitaka kutusaidia ficha location yako alafu eleza wazo lako ili kulinda maslahi yako kama anavyofanya CONTROLA, wengi tutanufaika na Mungu atakubariki [emoji120][emoji120]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ukiachaga pombe za kienyeji unakuwaga na akili saana, mwanzoni umetoa ushuzi mtupu ila Sasa ndo umeongea Kama mwanaume.
Anyways, your apology has been accepted.
Siku nyingine nitatoa na dira na mchanganuo mzima wa mchongo then namute location. Wanaume wanaongea kiume hawatukanani na kupeana mipasho.
Naomba unisaidie hints kdg kwingine nitajiongeza mwnyw. Biashara yako imebase kwenye rasimali watu,huduma au bidhaa ktk kuiendesha?Ilishantokea hii, nilikuwa natafuta biashara ya mtaji mdogo. Ilinigharimu muda saana ila kwa Sasa najiona genius saana.