hnp
JF-Expert Member
- Dec 4, 2020
- 276
- 474
Kabla ya kuzama pm, iyo biashara ndo tunaenda kuijadili namna ya kuifanya na kuitafuta soko? Nataka kufahamu upo stage ganiKupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :
Kuuza maziwa fresh /mtindi
Kuuza chakula
Chips..
Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Sent using Jamii Forums mobile app