SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]
View attachment 1722606
Embu kanunue godoro kwanza kabla hujapeleka bank si kwa uchafu huwo sehemu unayolala puuh