oscar classic
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 731
- 1,367
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniMhh Muha anatengeneza bites[emoji12]..sili hata kama dawa...kazi za kuingiza 20 nyingi mnoo shida yetu tunaishi kwa kufake..na hatupend kujichosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniMhh Muha anatengeneza bites[emoji12]..sili hata kama dawa...kazi za kuingiza 20 nyingi mnoo shida yetu tunaishi kwa kufake..na hatupend kujichosha
Huo mtindi unauza bei gani kwa lita moja?Mtindi quality Sana ,labda ungeonja ndio ungejua nachomaanisha
Nakubali kaka. umenipa nenoNimeuza viazi vya mafungu na kwenye sado pale Temeke sterio sokoni apo nipo chuo udsm mwaka wa pili dah afu najishangaa hata nilikua sioni haibu..lkn leo marafiki zangu ndio wanulizia ile biashara mana ninayofanya saivi ni tofauti na matarajio yao .thanks god kwa kidogo ninachopata
Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.Ndugu zanguni mawazo ndio benki kuu kabisa ya kila wazo unalotaka kufanya, basi kwa uzoefu wa waliopitia changamoto fulani za kiuchumi na kijasiriamali ni vyema mngetushirikisha biashara ndogo ambazo mlizibuni na maeneo mlikofanyia hizo shughuli zenu hadi mkafikia hatua ya na mafanikio mliyo nayo sasa.
Tunatarajia ushuhuda, miongozo na shauri zenu zitusaidie nasi kujikwamua hapa tulipo ili nasi tusogee mahali fulani.
Biashara gani tuambie na wenzioKuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]
View attachment 1722606
Na mm nimenuulizaHujatuambia ni biashara gani, unaturingishia tu mapesa
@ReagentKupitia Uzi huu Kama Kuna mtu yupo dar na anataka tushirikiane kwenye biashara ya ujasiriamali ikiwemo :
Kuuza maziwa fresh /mtindi
Kuuza chakula
Chips..
Nipo tayari zama dm nikupe contact zangu
Vipi mkuu na mtaji mmetumia kama kiasi gani?, i wish to do this business tooMimi nafanya ya chips, sijaanza muda mrefu, nimemuweka wife asimamie kama biashara yake, kwa siki analaza sio chini ya 20, weekend kama jumapili analaza hata 60
Je mahali iko wapiJe ni mtaji mdogo
[emoji3516]@Reagent
[emoji3516]Biashara ya chakula...sembe kilo 1 linatoa plate 9_10...
Dona linatoa plate 7
Sasa ukatafuta kijiwe ukaspeciliaze kwenye uchomaji nyama mzuri plus mapande...ukatengeneza formula nzuri ya pilipili..yaan ni ugali na nyama na mboga majani na maharage...kwasiku unalaza 20faida...ila wateja wa dona bei sio ya buku...maana dona halivimbi ni hasara kibiashara...
Ukate tu madonge ndogo...zisiwe kubwa ...![emoji3516]
NIMEUCHUKUA HUU MWONGOZO,
NATAFUTA FOMULA YA KUUMUA DONA NIINGIE MZIGONI.
Biashara gani mkuu?Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.
Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.
I'm happy [emoji4]
View attachment 1722606
Tuwasubiri... Maana camera nzuri kuanzi 2.5mil hiyo ni camera tuuWALIOFANYA YA PHOTOGRAPHY NA PHOTOSHOOT NAOMBA MUONGOZO JAMAN WAKUU
Tuwasubiri... Maana camera nzuri kuanzi 2.5mil hiyo ni camera tuu
Hii ipoje mchanganuo wake had useme inalipaStationery ukipata sehemu nzuri inalipa, mtaji wake ni mdogo, na inarudisha fast, passport size 2000/= kopi, printing nk
Hii inalipa mkuu Mimi KWA mwez tu Napata faida sio chini ya million 1 . Kitu cha kuzingatia uwe na mtaji na hakikisha wateja hawaondoki na machenji ili wachina wakija kufungua wakutee mifuko Mingi . Mfano Mimi jana tu jumamos wamefunga mifuko 5 (Sawa na 45000) na hii ni makusanyo ya siku 2 tu haya jana nimeingiza mifuko 4 leo nimewambia wafungue 36000 . Kwahiyo jana na leo tu faida nimeingiza 81000.Kama hivyo commission ni ndogo mno.
Hili African Bonanza/ dubu katika kila 60,000 ya kwako 9000 na bado mi nikaona ni hela ndogo nikatemana nalo.
Inaonesha biashara ya ukweli sana hio!Sana. Siku moja nimechukua sahani nimepeleka jikoni jamaa anaweke ugali nikakuta sufuria la kg 20 wanapikia ugali. Halafu Ile biashara hakuna kuhudumiwa yaani wewe fika chagua pande muoneshe mgosi Yule, kamata plate nenda jikoni weka ugali wako, nawa nje pale utasaidiwa Ile nyama ikatwe tu basi[emoji3][emoji3]