Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

Nimeuza viazi vya mafungu na kwenye sado pale Temeke sterio sokoni apo nipo chuo udsm mwaka wa pili dah afu najishangaa hata nilikua sioni haibu..lkn leo marafiki zangu ndio wanulizia ile biashara mana ninayofanya saivi ni tofauti na matarajio yao .thanks god kwa kidogo ninachopata
Nakubali kaka. umenipa neno
 
Ndugu zanguni mawazo ndio benki kuu kabisa ya kila wazo unalotaka kufanya, basi kwa uzoefu wa waliopitia changamoto fulani za kiuchumi na kijasiriamali ni vyema mngetushirikisha biashara ndogo ambazo mlizibuni na maeneo mlikofanyia hizo shughuli zenu hadi mkafikia hatua ya na mafanikio mliyo nayo sasa.

Tunatarajia ushuhuda, miongozo na shauri zenu zitusaidie nasi kujikwamua hapa tulipo ili nasi tusogee mahali fulani.
Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.
Biashara hii Ina faida ya kuanzia 50% hadi 100% na kuendelea.

JPEG_20210328_103842_1494399602.jpg
 
Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.

Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.

I'm happy [emoji4]

View attachment 1722606
Biashara gani tuambie na wenzio
 
Biashara ya chakula...sembe kilo 1 linatoa plate 9_10...
Dona linatoa plate 7
Sasa ukatafuta kijiwe ukaspeciliaze kwenye uchomaji nyama mzuri plus mapande...ukatengeneza formula nzuri ya pilipili..yaan ni ugali na nyama na mboga majani na maharage...kwasiku unalaza 20faida...ila wateja wa dona bei sio ya buku...maana dona halivimbi ni hasara kibiashara...
[emoji3516]
NIMEUCHUKUA HUU MWONGOZO,
NATAFUTA FOMULA YA KUUMUA DONA NIINGIE MZIGONI.
 
Kuna biashara uchwara nimeifugua Zanzibar mtaji laki 2 na nusu, lakini hadi sasa Nimetengeneza zaidi ya milion tatu kwa siku kadhaa tu na kila siku nalaza faida ya laki Kama net profit.

Hela hata sipeleki benki natunza chini ya kapeti tu. Leo ndo napeleka benki milion 2.

I'm happy [emoji4]

View attachment 1722606
Biashara gani mkuu?
 
Kama hivyo commission ni ndogo mno.

Hili African Bonanza/ dubu katika kila 60,000 ya kwako 9000 na bado mi nikaona ni hela ndogo nikatemana nalo.
Hii inalipa mkuu Mimi KWA mwez tu Napata faida sio chini ya million 1 . Kitu cha kuzingatia uwe na mtaji na hakikisha wateja hawaondoki na machenji ili wachina wakija kufungua wakutee mifuko Mingi . Mfano Mimi jana tu jumamos wamefunga mifuko 5 (Sawa na 45000) na hii ni makusanyo ya siku 2 tu haya jana nimeingiza mifuko 4 leo nimewambia wafungue 36000 . Kwahiyo jana na leo tu faida nimeingiza 81000.

Tahadhari ili ufaidi hii biashara hakikisha wewe au msimamizi wako hachez kabisa kamari akicheza tu ndugu yangu umeumia


Na hapa ni KWA kuwa mzunguko umekuwa mdogo zaman nilikuwa naweza kuuza hata mifuko zaidi ya 10 KWA siku
 
Sana. Siku moja nimechukua sahani nimepeleka jikoni jamaa anaweke ugali nikakuta sufuria la kg 20 wanapikia ugali. Halafu Ile biashara hakuna kuhudumiwa yaani wewe fika chagua pande muoneshe mgosi Yule, kamata plate nenda jikoni weka ugali wako, nawa nje pale utasaidiwa Ile nyama ikatwe tu basi[emoji3][emoji3]
Inaonesha biashara ya ukweli sana hio!
 
Back
Top Bottom