Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bora kufungua kanisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka uaminike na kumshawishi muumini akupe sadaka yake, sio mchezo!Bora kufungua kanisa
Kama ni 100% ungeigawaje kwa hivyo viwili?Mkuu ni vyote!
Usilenge waumini lenga wanakondoo.....Mpaka uaminike na kumshawishi muumini akupe sadaka yake, sio mchezo!
Usilenge waumini lenga wanakondoo.....
Hayo yenye nguvu yanaletaje chakula mezani?Madhabau yenye nguvu ndo yanatawala .
Don't keep ur hustle in vain
Kondoo si zuzu 🤣🤣🤣, we mambo yake unayaonaje.Kuna uzi mmoja, uliuliza kwa nini walitumia jina kondoo badala ya mbuzi, ng'ombe n.k?
Mkuu Fanya kazi sana afrika Kuna makanisa na misikiti mingi lakina maskini china Kuna makanisa na misikiti michache lakin wako vizur
Dini zimetufanya tuwe watatii tu tusiulize maswali hata ya kawaida kisa utakufuru
Fanya kazi sana
Wataalamu wanasema, ukitaka kumtawala mtu, mpe imani.Mkuu Fanya kazi sana afrika Kuna makanisa na misikiti mingi lakina maskini china Kuna makanisa na misikiti michache lakin wako vizur
Dini zimetufanya tuwe watatii tu tusiulize maswali hata ya kawaida kisa utakufuru
Fanya kazi sana
Ile picha imenifikirisha sana
Kwenye uzi mkuuIpi hiyo mkuu
imani ni chakula cha kiroho ukitaka kuelewa zaidi kasome ata kidogo tu introduction ya spirtuality pschology unaweza kuelewa kituKipi kinachotufanya tuishi, chakula au imani?
Itasaidiaje kuleta chakula mezani?Sali Sanaa
Nilichokuja kugundua wale watu wenye imani sana ndio ukutana na mauza uza, ila wale ambao hawajali, maisha yanaenda tu.imani ni chakula cha kiroho ukitaka kuelewa zaidi kasome ata kidogo tu introduction ya spirtuality pschology unaweza kuelewa kitu
Hayo yenye nguvu yanaletaje chakula mezani?