Ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?

Ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?

Huwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?

View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Ora Et Labora ni latin maxim yenye maana "Sala na kazi".

Kwahiyo kusali na kufanya kazi vinatakiwa viende pamoja.

Lakini pia Biblia kwenye 2Wathesalonike 3: 10 inasema, "Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula".
 
Ora Et Labora ni latin maxim yenye maana "Sala na kazi".

Kwahiyo kusali na kufanya kazi vinatakiwa viende pamoja.

Lakini pia Biblia kwenye 2Wathesalonike 3: 10 inasema, "Kwa kuwa hata wakati ule tulipokuwapo kwenu tuliwaagiza neno hili, kwamba ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula".
Ukiambiwa uchague kimoja, utachagua kipi?
 
Ukiwa unatafuta nini ?

Huenda outcome za kufanya moja ni tofauti na jingine; kama unataka kupata peace of mind kwa imani yako itabidi ufanye kile unachoamini ila kama unataka results inabidi ufuate kanuni za kupata results...

Kumbuka hard work does not necessarily pay....; thus kama unataka material things unaweza kufanya yote hapo juu na usipate kitu ila ukawa mvivu na mwizi na ukapata kila kitu...

 
I'm so proud to be a Muslim, al hamdu liLlah

Kazi ni moja katika ibada, muda ukifika wa salaa nendeni mkasali, mumuombe Mwenyezi Mungu, mkitoka misikitini tawanyikeni mkatafute rizki

Ibada kwanza, mambo mengine yanafuata
 
I'm so proud of Muslim, al hamdu liLlah

Kazi ni moja katika ibada, muda ukifika wa salaa nendeni mkasali, mumuombe Mwenyezi Mungu, mkitoka misikitini tawanyikeni mkatafute rizki

Ibada kwanza, mambo mengine yanafuata
Matokeo ya ibada ni nini?
 
Huwa napenda kujiuliza hili swali mara kwa mara, ni bora kusali sana au kufanya kazi sana?

View attachment 3021732
Kama jibu unalo, naomba utusaidie ili tuweze kupata ufahamu zaidi.
Sali na kufanya kazi,

Kumbukumbu la Torati 8:18

[18]Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
 
Back
Top Bottom