Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

Ni chakula, tunda au kinywaji gani unaona kipo overrated/underrated?

8yrs mishe zangu ni lake zone,ila nilivyokua nasikia story za utamu wa hawa samaki(nikiwa Dsm,home) naona tofauti na uhalisia,kwa minofu kweli wamejaza ila kwa taste binafsi hapana[emoji85][emoji1787]

Kula kitimoto mkuu.
 
Sheikh umezoea masamaki yalioungwa ma kutiwa udambu udambu mwingi. Sangara , sato, hongwe, mbofu, mbete, ngere, furu acha kabisaaa wachemshwe iwekwe limao na chumvi tuuu wale samaki wana mafuta yake. Kula na ugali wa mahindi mixa wa muhogo. Aseee ukikojoa bao hadi unaisikiamo na anaekojolewa ilo bao atakwambia mbona leo za moto ivooo
Comments kama hivi ndo huwa zinasababisha mfumuko wa bei. Ukitaja mamno ya mabao mabao watu wanatengeneza fursa chap...😂
 
Underated
Ugali dagaa
Chai viazi vitamu
Chai mihogo

Overated
Chipsi mayai
Wali kuku
Maoni yangu 😂😂

Viati vitamu wala haviwi underrated, hivyo vinafaa kuwa underground hivyo hivyo. Huwezi kufananisha na mihogo kabisa.

Chipsi mayai...dah, hiyo kitu ukiigonga halafu ukapata na mirinda nyeusi barrriiiid. Wacha wadada wapate mimba kisa chipsi yai aisee, ni tamu.😂

Kwingine naunga mkono hoja.

Au nasema uongo ndugu zangu? 😂
 
Nikija kumjua aliyegundua hii combination nitamjengea kasanamu kadogodogo kuenzi mchango wake.
Hii kitu inakaa popote kuanzia; breakfast, lunch, supper, dinner.....
Wali maharage ni habar nyingine kabisa
 
Hili dude hili, aloooo.
Walikuwa wameweka kwenye vibebeo vya plastic, nilikula kama vinyama viwili tu, yakanishinda.
Sema fenesi Sio dude
20210615_160021.jpg
20210615_154915.jpg
 
Bora nipambane na makande au mdojolela, ila pizza sijui birian hapan kwa kweli siwezi.
 
Mleta mada ulikula pizza gani, au vile vidude wazenji wa forodhani waita pizza?

Githeri/Makande ni namna ya upishi tu na aina ya makande yenyewe (kuna ya mahindi mabichi, makavu na makavu yaliyokobolewa)...

Kwa sisi wapenda misosi, huwa hakuna msosi over or underrated labda uwe umechacha...

Ukitaka uenjoy wali ndondo basi kuna ule wali ndondo uliolala kwenye jokofu, au ulilala kwenye chungu halafu ile morning unaugonga na chai ya maziwa...

Kula mboga za majani zozote zile sijui mchunga, majani ya kunde, majani ya maharage, sukuma, kabichi (ukitaka uinjoi imiksiwe na nyama), kisamvu (hili dude kula kiporo chake na wali nazi)...

Nafasi hata haitoshi hapa...
Unapiga mule mule yaaan, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom