Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Mkuu,
Sasa mbona umeandika Uzi ambao nilitamani kuanzisha......

Uzi wa kuutupia mawe umaskini......yaan unajua UMASKINI 🤓 unafananaje hasa ukikosa mapenzi ya wazazi 😊 marafiki wakakutenga na ndugu wakakimbia na mpenzi akisema hakutaki (umwache) ......

#MAPISHI YA UPENDO
 
Mkuu ulisoma aza boi enzi za mchwa mpaka nini???¿? Yule ticha mpenda fimbo
 
Ajue maisha sio rahisi namna hiyo, lakini pia akumbuke privilege aliyonayo na familia yake kuna wengine hata hayo makombo wanayatamani.

Nasikitika tu kuwa wapo wanawake hawajui kupima chakula, ni hawawezi.
Sio hawawezi wanafanya makusudi kwa kuwa hela ni ya mume.
Wakitumiaga hela zao huoni wakitupa chakula
 
Overpopulation ndio imechangaia kwa kiasi kikubwa ufukara wa kutisha. Idadi ya ukuaji wa watu ni muhimu kudhibitiwa ili kupambana na umaskini.
Nilichojifunza kuwa overpopulation ni nzuri kama hiyo popularion ina characteristics za high IQ(check wachina) ila kama sisi masikini tunazaliana hovyo na ubongo wetu hautoshi kwenye kupambana na nature ndo hayo yanatukuta.
 
matatizo ndo hufanya akili zetu kuwa aggressive kwenye kutafuta fursa.

siku zote mwanaume usikubali kuwa na maamuzi yatakayoplekea familia yako ilazimike kwenda kulia kwa familia ingine ili ipate chakula, nguo ama malazi. (allocate your income wisely)
Vingine vya magari hivyo na mijengo sita sita ni majaaliwa.
 
Baada ya kusoma comments zote, nimegundua wazazi wa kiume ni wachache sana wanaoonekana walitoa mchango kwa watoto wao either iwe ni ukweli au kwa watoto kutokujua

Japo mimi sikupitia magumu kiasi hicho kama wenzangu lakini mpaka leo nakiri mshua wangu alikua Master sana, na mama kwa upande wake alijitahidi

Wazazi wa kiume turekebishe hapo penye mapungufu,

japo ni ngumu kumridhisha mtoto na kumfanya aamini nawe unamsaidia kama hauishi nae au hauko nae karibu sana, Credits zote atapewa mama
 
Maisha aya
 
Daaaah acheni mikasa ni mingi lakn nakumbuka tu wakat nimeenda kuripoti chuo,,hela ya kuungaunga ile usajili ikakataa sikua hata mia,,,nilikaa siku mbili bila kula hadi vidonda vilitoka kooni aiseeee haya maisha. Lkn hali ile ilinitia uchungi nilijiapiza Mungu akiendelea kunijaalia uhai iwe mvua iwe jua kamwe wanangu wasije kupitia yale maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna kitu hujanote unajua umasikin Upo tu lkn baba akiwa si mtu wa familia Yaan mlev malaya mvivu mbinafsi aisee apo ndo umasikin uwa unazid mara dufu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…