nilishagombana na wife kwa sababu hiyo mwisho nikaamua kufuga bata kuku na sungura ili mabaki wale wanyama sio kumwaga jalalaniKamwe do not entertain kumwaga chakula ndani kwako, hakikisha chakula kinapikwa cha kutosha watu kushiba vizuri lakini kisiwe kinamwagwa. Kosa/dhambi kubwa sana hii kumwagamwaga vyakula.
kuandika hvyo hapo umejiona wewe mjanjaaMe sipendi kushare mashida shida experience kwa watu, Always nataka story za how to be happy. Maana ndo kitu ambacho nahitaji nikipate muda wote.
Alikua anafanya hvo Kwa kuwa mumewe huenda alikua akimpa maelekezo kutokana na Hali mbaya ya mshikaji wakeMi pia nimejiuliza wanawake wa hivi wapo bado.
Samahani Ndugu yangu... Nimepiga screanshotmatatizo ndo hufanya akili zetu kuwa aggressive kwenye kutafuta fursa.
siku zote mwanaume usikubali kuwa na maamuzi yatakayoplekea familia yako ilazimike kwenda kulia kwa familia ingine ili ipate chakula, nguo ama malazi. (allocate your income wisely)
Vingine vya magari hivyo na mijengo sita sita ni majaaliwa.
Wasema wewe ila sio kujiona tu bali ujanja ndo jadi yangukuandika hvyo hapo umejiona wewe mjanjaa
Basi bwana wako anafurahia maisha na kama sivyo kuna tatizo analo.Tupo sana sana mm ni mmoja wapo
KweliAlikua anafanya hvo Kwa kuwa mumewe huenda alikua akimpa maelekezo kutokana na Hali mbaya ya mshikaji wake
Kyai kya rangiKipindi Nikiwa na miaka 16, niliwahi kutoroka mateso ya mama mkubwa na kutembea kuanzia Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha Hadi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umbali wa kilometa zaidi ya 400 kwa muda wa siku 19 kukatisha kipande cha mbuga ya Tarangire. Kulikuwa na wanyama wengi isipokuwa simba, tembo na chui. Nilikutana na kundi kubwa la mbwa mwitu lakini Kama siku yako haijafika, haijafika tu.
🖕🏿🖕🏿Kaa hapoKyai kya rangi
Hao ndio Wana wakukufaa mpaka kifo.Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Toa number Kwa Mzabzab au Kwa extrovertIla umaskini ukiongeza madeni balaa tupu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2663329
Leo umekuwa Mlabata. Ila aisee umaskini ni kitu kibaya kuliko vyote, usione watu wanauza bandari ukadhani wanapenda, ni kwasababu wanaujua umaskini vilivyo. Tuache tu maisha haya aliyeyapanga anajua kwanini.Nimeandika, nikafuta, nimeandika tena nikafuta…..aisee nikianza kueleza vile umasikini umenifanya server za JF zitajaa leo [emoji28], ila umasikini usikie kwa watu tu nyie [emoji23][emoji23].
Cvez Jobless mwenzangu una lolote la kuchangia hapa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tuendelee kula bata tu.
Kwa mtu unayeujua umaskini, unatumia sana ukisikia.Kuna Mdau juu amesema mkewe mjamzito alikua anashindia Muwa. Nikaimajini wamama wajawazito wanavyopaswa kula mlo kamili na wasikae na njaa kisha nikaufikiria Muwa. Aiseh MAPITO NI MENGI.
Mkuu hakika umenena.Masikini Hana rafiki, hata ukipiga simu watu hawapokei
Pole sana mkuu,kila nikitaka kuandika yangu nakutana na yale konki mpaka nimeona wacha tu nisimkufuru Mungu,muhimu ni kumshukuru yeye kwa kile kidogo unachokipata,maana kuna watu wanapitia maisha magumu sana hapa duniani hivyo si vibaya unapopata ziada kujitahidi hata kusaidia na wengine ambao hali zao ni mbaya...Nilikuwa naishi na bibi yangu, kwakuwa hatukuwa na chakula ndani ikabidi aniache pekeyangu aende kwa baba zangu wadogo kuomba pesa ya matumizi.
Safari yake ilikuwa ya siku mbili kama sijakosea. Aisee nilishikwa na njaa nikachemsha yale mamchicha mekundu nikala baadae nikaenda kwa jirani nikakuta wanatoa vichwa kwenye samaki wadogo kanda ya ziwa tunawaita Furu.
Ikabidi niwaombe vile vichwa, nakumbuka nilidanganya naenda kumpa bata wangu. Nilichemsha vile vichwa nikala nikanywa na supu angalau nikawa vizuri.
Katika vitu ambavyo naweza ua mtu, ni kuchezea chakula. Huwa sikubali familia ichezee chakula. Haya maisha ni chakula hakuna kingine.Unaweza ukadhani ni masihara ila hivi vitu vipo mkuu, kuna muda nilikuwa naona kabisa vidonda vya tumbo vinanyimelea, ile njaa ya kukosa kula siku nzima unaona kabisa tumbo linawaka moto kama limemwagiwa tindi kali.
Ukipata nafasi ya kula aisee kula, kuna watu hiki chakula wanakitafuta hawakipati.