bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Masikini Hana rafiki, hata ukipiga simu watu hawapokei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Bunju to MakumbushoTulikuwa tunatembea umbàli mrefu kama kilometers 15, au zaidi. , Kukwepa kulipa nauli ya jero. God forbid.
Siku Ukipata kaunafuu, wanaanza kukupigia eti "nilikuwa nakusalimia tu"😅 wtfMasikini Hana rafiki,hata ukipiga simu watu hawapokei
This made me [emoji22][emoji22]Mke wangu kushindia mua tu tena akiwa mjamzito. Mungu atusaidie kwa kweli.
Unaweza ukadhani ni masihara ila hivi vitu vipo mkuu, kuna muda nilikuwa naona kabisa vidonda vya tumbo vinanyimelea, ile njaa ya kukosa kula siku nzima unaona kabisa tumbo linawaka moto kama limemwagiwa tindi kali.Kuna Mdau juu amesema mkewe mjamzito alikua anashindia Muwa. Nikaimajini wamama wajawazito wanavyopaswa kula mlo kamili na wasikae na njaa kisha nikaufikiria Muwa. Aiseh MAPITO NI MENGI.
Heeee nyie mmetokea wapi mbona wanajf hatupo hivo
Halafu ukute mke rapa anatema sumu hatari, hii ndo ndani chungu nje chungu.Usiombe umasikini ukukute ukiwa na familia yaani una mke na watoto wadogo aisee utalia, bora nyie yanawakuta mkiwa bachelor
Na sio mbususu za watu wa kawaida ni za watoto wa kishuaHawa sijui wametokea wp jf humu njaa na vibunda sio shida zetu humu tunahangaikia mbususu tu.
Wote humu tuna degree na kuendelea, tuna kazi za maana na nyumba na gari....yeyote ambae hana hivyo tunampa mwaka mmoja awe kavipataWana Jeiefu wakoje kumbe [emoji848], hapa tupo kila aina ya Sampuli mkuu.
In short tuombeane na Kusaidiana itapendeza.
Wana jf sisi hta tukifa hatuoziNa sio mbususu za watu wa kawaida ni za watoto wa kishua
Huyu mwanao ndo maana mungu alimpenda zaidi, alikuwa na moyo wa pekeeIli kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Njaa haizoeleki kaka.Unaweza ukadhani ni masihara ila hivi vitu vipo mkuu, kuna muda nilikuwa naona kabisa vidonda vya tumbo vinanyimelea, ile njaa ya kukosa kula siku nzima unaona kabisa tumbo linawaka moto kama limemwagiwa tindi kali.
Ukipata nafasi ya kula aisee kula, kuna watu hiki chakula wanakitafuta hawakipati.
Wote humu tuna degree na kuendelea, tuna kazi za maana na nyumba na gari....yeyote ambae hana hivyo tunampa mwaka mmoja awe kavipata
Umesoma IFM dsm au siooo!!!!! DahhTulikuwa tunatembea umbàli mrefu kama kilometers 15, au zaidi. , Kukwepa kulipa nauli ya jero. God forbid.