othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Usirudie tena huo ujinga wa kukatiza mbuga za wanyama zenye mbwa mwitu.....Kipindi Nikiwa na miaka 16, niliwahi kutiroka mateso ya mama mkubwa na kutembea kuanzia Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha Hadi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umbali wa kilometa zaidi ya 400 kwa muda wa siku 19 kukatisha kioande cha mbuga ya tarangire. Kulikuwa na wanyama wengi isipokuwa simba, tembo na chui. Nikikutana na kundi kubwa la mbwa mwitu lakini Kama siku yako haijafika, haijafika tu.
Umeskia we Dogo.