Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?


Nikikuwa na Low Self Esteem.
 
Tamu ile mbaya..
 
Daaah! Jamaniii 😢
 
Huu uzi unarudisha hali ya ubinadamu poleni sana ndugu zangu mliopitia mazito nawaombea mpate faraja katika maisha yenu

Umasikini, ukata, kufuria, kukata ringi nyie kusikieni tu kwa wengine nimejikuta nimekosa cha kuandika nasoma comment tu

Kuna maisha wengine tulikua tunayaona ni ya kawaida sana ila kwa wengine yale maisha yalikua ni msoto

Mungu wasimamie watoto wote waliotoka vituo vya kulelea watoto yatima, na watoto yatima wote waliopo mitaani uwape amani mioyoni mwao,

Acha niwaombee amani ya moyo najua ndo dawa ya umasikini ambayo wengi hawaijui, nawaombea ndugu zangu wote mliopo kwenye misuko suko ya maisha mfurahi mkipata na muwe na amani mkikosa umasikini unauma sana pale unaposhindwa kukubali matokeo unaweza jikatia tamaa ya maisha
 
We msenge kumbe ndo maana waichukia Dar, uliishindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…