Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
[emoji1487][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JamiiForum ina vituko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1487][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JamiiForum ina vituko
Pole sana MkuuMie niko na hela kiasi cha shilingi hamsini tuu 50 nimetoka lipa kodi ya gheto ndo imenimaliza kabisa. Hela kupata kwa sasa msoto , now najaribu kopa kopa. Hata 10k tuu kwenye hizi apps za kukopa online za CASHX , PESAX , BRANCH lakini holaaaa.
NA GESIA Imekata plus msosi gheto umeisha , hapa nime gongea msosi wa kula kesho na kesho kutwa mgahawa wa mama mmoja hivi....yaaaanii tabuuu tupyuuu
Internet data nayotumia ni. DROID VPN ndo inayo ni keep online siku zotee
Madeni yako kote kote si kwa marafiki , majirani , mtandaoni. Bustista , niwezeshe , songesha. , M pawa kaka yotee
Nashukuru tuu nins sehemu ya kulala for the coming 3 months aseeee afuuu niko. Moshi , majira haya ni baridi mnoooo
Duu elfu 22 tu!!!Ila umaskini ukiongeza madeni balaa tupu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2663329
Yatapita mkuu na utasahau kabisa endelea kupambana na kumuweka Mungu kwenye Kila jambo.Hii thread imenitoa machozi aisee. Ee Mungu simamia walio nyuma yangu wasipitie yale niliyopitia na ninayoendelea kupitia mpaka sasa. Bado sijakata tamaa.
Hi ni kubwa kulikoHuyo mke ninaye mpka leo.
I love her and she loves me.
Na sasa nimemfungulia shule ya wanafunzi wa awali ana wanafunzi zaidi ya 200 sasa. kila mwanafunzi analipa ada 480,000 kwa mwaka.
na mimi nina kazi nzuri tu Mgodini hapa Kahama
Uvumilivu wake ndo umeleta matunda mpka leo kwa kunitia nguvu na kujiona kuwa its possible
“As long as your breathing, Never give up”
Fight to the last drop of blood in your veins!!!!
Hakika.Yatapita mkuu na utasahau kabisa endelea kupambana na kumuweka Mungu kwenye Kila jambo.
Wanadamu!Nilishawahi kubambikiziwa kesi aisee ila cha ajabu sikuwa na mazoea kabisa na huyo mtoto, nilikuwa teenager tunakwenda kucheza mpira uwanjani karibu na kwao. Nakuja kustuka mama kambeba mtoto na mwanawe mwingine wa kiume wanakuja kubisha hodi home kusena kuwa nimemtia vidole mtoto wake?!!! Aisee nilishangaa sana sasa sijui alijua akija vile atapata chochote kitu kutoka kwetu.? Aisee tulimtimua mbaya sana yule bi mdashi.
Usizoee kuwa na urafiki na watoto wadogo kama sio wanao.Dunia imebadilika ,muda wowote unaweza kubambikiziwa kesi ili watu wachume pesa.
Kuna jamaa mmoja alikuwa ni dereva wa daladala amepanga kwenye nyumba moja sasa vitoto vya mule ndani vinamazoea vikimuona vinaenda kwake kuangalia Tv, sometimes anapika anawapakulia wanakula kisha baadae kila mtu kwao, dah kuna siku anarudi home mchana gari kamwachia deiwaka mchizi wake ili yeye arudi kulala kidogo, kuingia ndani kulala mlango hakuusindika wote basi kuna kitoto cha maza mmoja kikaingia ndani nacho kikapitiwa na usingizi, mama yake akawa anakitafuta hakioni,baadae kinaonekana kinatoka kwa jamaa...yule mama akakichukua kibinti chake akaenda kuripoti polisi kuwa jamaa kamlawiti mwanae...aisee kesi ikawa kubwa, polisi wanamwambia jamaa kuwa anakwenda kuozea jela maisha. Ikabidi jamaa ajitetee sana huku na huku ikamtoka zaidi ya laki 5....yule mama akagawana na askari ile pesa.
Kuwa makini kuna wanawake/wamama ni washenzi na mashetani wanaweza kuutumia upendo wako kwa watoto ili kuchuma pesa na hata kukuangamiza
Amini yapo hayo hususani yanachagizwa na umasikini uliokithiri. Maskini anaweza kufanya jambo lolote baya ilimradi tumbo lake lisikae na njaa.Wanadamu!
How? Hivi unawezaje kumtendea mwenzako ubaya mkubwa kiasi hiki?
Doo umasikini sio kabisadaah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
Kaza ndugu yanguMie niko na hela kiasi cha shilingi hamsini tuu 50 nimetoka lipa kodi ya gheto ndo imenimaliza kabisa. Hela kupata kwa sasa msoto , now najaribu kopa kopa. Hata 10k tuu kwenye hizi apps za kukopa online za CASHX , PESAX , BRANCH lakini holaaaa.
NA GESIA Imekata plus msosi gheto umeisha , hapa nime gongea msosi wa kula kesho na kesho kutwa mgahawa wa mama mmoja hivi....yaaaanii tabuuu tupyuuu
Internet data nayotumia ni. DROID VPN ndo inayo ni keep online siku zotee
Madeni yako kote kote si kwa marafiki , majirani , mtandaoni. Bustista , niwezeshe , songesha. , M pawa kaka yotee
Nashukuru tuu nins sehemu ya kulala for the coming 3 months aseeee afuuu niko. Moshi , majira haya ni baridi mnoooo
Dah pole sanadaah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
Hatari sanaa Mkuu umaskini usikiee tuudaah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
unakoskna had uji kutwa nzim w mke wng, ila c kw uzemb wala kw kutokutaka kujishughulisha ninlkuw na fik kla sehem saa kumi na mbli kamili kil niksikia kuna kaz, lakn wpDoo umasikini sio kabisa
daah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
Hakuna chai hapa ndugu yangu tena mnalala vizuri tu watoto usiku ni kulalamika maana usingizi hamna kisa njaa!Nimesoma huu uzi wala sijaamini, au wengine watakuwa wanapika chai.
Yaani kuna wana hapa wanaeleza eti wana familia tena mke na watoto afu wanapiga deshi asee ni chai au ni kweli.
Kwa mabachela ni sawa hata mimi nimepitia sana.
Huyo msela wako alikua na utu, hekima na upendo wa hali ya juu, kitu ambacho ni kigumu kwa maisha ya siku hizi.Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.