Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Mie niko na hela kiasi cha shilingi hamsini tuu 50 nimetoka lipa kodi ya gheto ndo imenimaliza kabisa. Hela kupata kwa sasa msoto , now najaribu kopa kopa. Hata 10k tuu kwenye hizi apps za kukopa online za CASHX , PESAX , BRANCH lakini holaaaa.



NA GESIA Imekata plus msosi gheto umeisha , hapa nime gongea msosi wa kula kesho na kesho kutwa mgahawa wa mama mmoja hivi....yaaaanii tabuuu tupyuuu






Internet data nayotumia ni. DROID VPN ndo inayo ni keep online siku zotee


Madeni yako kote kote si kwa marafiki , majirani , mtandaoni. Bustista , niwezeshe , songesha. , M pawa kaka yotee



Nashukuru tuu nins sehemu ya kulala for the coming 3 months aseeee afuuu niko. Moshi , majira haya ni baridi mnoooo
 
Mie niko na hela kiasi cha shilingi hamsini tuu 50 nimetoka lipa kodi ya gheto ndo imenimaliza kabisa. Hela kupata kwa sasa msoto , now najaribu kopa kopa. Hata 10k tuu kwenye hizi apps za kukopa online za CASHX , PESAX , BRANCH lakini holaaaa.



NA GESIA Imekata plus msosi gheto umeisha , hapa nime gongea msosi wa kula kesho na kesho kutwa mgahawa wa mama mmoja hivi....yaaaanii tabuuu tupyuuu






Internet data nayotumia ni. DROID VPN ndo inayo ni keep online siku zotee


Madeni yako kote kote si kwa marafiki , majirani , mtandaoni. Bustista , niwezeshe , songesha. , M pawa kaka yotee



Nashukuru tuu nins sehemu ya kulala for the coming 3 months aseeee afuuu niko. Moshi , majira haya ni baridi mnoooo
Pole sana Mkuu
 
Huyo mke ninaye mpka leo.
I love her and she loves me.

Na sasa nimemfungulia shule ya wanafunzi wa awali ana wanafunzi zaidi ya 200 sasa. kila mwanafunzi analipa ada 480,000 kwa mwaka.
na mimi nina kazi nzuri tu Mgodini hapa Kahama

Uvumilivu wake ndo umeleta matunda mpka leo kwa kunitia nguvu na kujiona kuwa its possible

“As long as your breathing, Never give up”

Fight to the last drop of blood in your veins!!!!
Hi ni kubwa kuliko
 
Nilishawahi kubambikiziwa kesi aisee ila cha ajabu sikuwa na mazoea kabisa na huyo mtoto, nilikuwa teenager tunakwenda kucheza mpira uwanjani karibu na kwao. Nakuja kustuka mama kambeba mtoto na mwanawe mwingine wa kiume wanakuja kubisha hodi home kusena kuwa nimemtia vidole mtoto wake?!!! Aisee nilishangaa sana sasa sijui alijua akija vile atapata chochote kitu kutoka kwetu.? Aisee tulimtimua mbaya sana yule bi mdashi.

Usizoee kuwa na urafiki na watoto wadogo kama sio wanao.Dunia imebadilika ,muda wowote unaweza kubambikiziwa kesi ili watu wachume pesa.

Kuna jamaa mmoja alikuwa ni dereva wa daladala amepanga kwenye nyumba moja sasa vitoto vya mule ndani vinamazoea vikimuona vinaenda kwake kuangalia Tv, sometimes anapika anawapakulia wanakula kisha baadae kila mtu kwao, dah kuna siku anarudi home mchana gari kamwachia deiwaka mchizi wake ili yeye arudi kulala kidogo, kuingia ndani kulala mlango hakuusindika wote basi kuna kitoto cha maza mmoja kikaingia ndani nacho kikapitiwa na usingizi, mama yake akawa anakitafuta hakioni,baadae kinaonekana kinatoka kwa jamaa...yule mama akakichukua kibinti chake akaenda kuripoti polisi kuwa jamaa kamlawiti mwanae...aisee kesi ikawa kubwa, polisi wanamwambia jamaa kuwa anakwenda kuozea jela maisha. Ikabidi jamaa ajitetee sana huku na huku ikamtoka zaidi ya laki 5....yule mama akagawana na askari ile pesa.

Kuwa makini kuna wanawake/wamama ni washenzi na mashetani wanaweza kuutumia upendo wako kwa watoto ili kuchuma pesa na hata kukuangamiza
Wanadamu!
How? Hivi unawezaje kumtendea mwenzako ubaya mkubwa kiasi hiki?
 
Wanadamu!
How? Hivi unawezaje kumtendea mwenzako ubaya mkubwa kiasi hiki?
Amini yapo hayo hususani yanachagizwa na umasikini uliokithiri. Maskini anaweza kufanya jambo lolote baya ilimradi tumbo lake lisikae na njaa.

Kuna jamaa yangu mmoja alishawahi kunisimulia kisa kama hiki, yaani mtoto alilengeshwa na mama yake ataje kuwa jamaa ndiye amemfanyia mambo hayo. Ilikuwa kesi kubwa ila mwisho wa siku baba wa yule mtoto alilikataa lile jambo na baada ya uchunguzi kufanyika ikajulikana kuwa kuna genge la watoto waliokuwa darasa la tano na la sita ndio walikuwa wakiwafanyia michezo mibaya hao watoto wadogo.

Jamaa tokea hapo mazoea na watoto aliyakata na walikuwa wakitaka kusogelea mlango wake anawatimua vibaya sana. Mchizi mwisho alihama ile nyumba kwani aliona ni mkosi.

Rejea kesi ya babu seya na mwanae papii
 
daah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
 
Mie niko na hela kiasi cha shilingi hamsini tuu 50 nimetoka lipa kodi ya gheto ndo imenimaliza kabisa. Hela kupata kwa sasa msoto , now najaribu kopa kopa. Hata 10k tuu kwenye hizi apps za kukopa online za CASHX , PESAX , BRANCH lakini holaaaa.



NA GESIA Imekata plus msosi gheto umeisha , hapa nime gongea msosi wa kula kesho na kesho kutwa mgahawa wa mama mmoja hivi....yaaaanii tabuuu tupyuuu






Internet data nayotumia ni. DROID VPN ndo inayo ni keep online siku zotee


Madeni yako kote kote si kwa marafiki , majirani , mtandaoni. Bustista , niwezeshe , songesha. , M pawa kaka yotee



Nashukuru tuu nins sehemu ya kulala for the coming 3 months aseeee afuuu niko. Moshi , majira haya ni baridi mnoooo
Kaza ndugu yangu
 
Dah pole mzee aisee hii inauma
daah Inaumiza ! Niliachishw kaz nina sku mbil mke wng ndo amejifungua ndan cna A wala Z, aisee na vle mwanamke anapaswa ale msoc wa maan ili apate maziw. Nilipitia changamoto ming na mwisho wa ck nliondokew na mtt wng kw chanzo cha kukosa lishe ! Inauma
 
Nimesoma huu uzi wala sijaamini, au wengine watakuwa wanapika chai.
Yaani kuna wana hapa wanaeleza eti wana familia tena mke na watoto afu wanapiga deshi asee ni chai au ni kweli.

Kwa mabachela ni sawa hata mimi nimepitia sana.
Hakuna chai hapa ndugu yangu tena mnalala vizuri tu watoto usiku ni kulalamika maana usingizi hamna kisa njaa!
 
Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.

Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.

Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.

Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.

Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.

Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Huyo msela wako alikua na utu, hekima na upendo wa hali ya juu, kitu ambacho ni kigumu kwa maisha ya siku hizi.
 
Back
Top Bottom