Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi shinda na kulala na njaa mimi wife na mtoto wangu wa kiume.
Nilimwaga machozi usiku ule kimyakimya huku wife hajui, asubuhi nikaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (Mind you nina degree ya Geology na nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni kadhaa ila wakati huo nikawa sina ajira na vyanzo vya mapato vyote vilifirisika).
na sikuambulia kibarua mpka inafika saa 5 asubuhi hapo mwili unatetemeka balaaa, wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa nije nile nishushie na maji nisije nikazimia mbele za watu.
SITOSAHAU
Nitakuja na kisa changu namna nilijifanya mganga wa kienyeji ili nimpige dada mmoja wa kichaga 600,000 ili nipate kodi, kula na kadhalika.MUNGU ANISAMEHE SANA.
Umemaliza UDOM?Niliwahi shinda na kulala na njaa mimi wife na mtoto wangu wa kiume.
Nilimwaga machozi usiku ule kimyakimya huku wife hajui, asubuhi nikaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (Mind you nina degree ya Geology na nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni kadhaa ila wakati huo nikawa sina ajira na vyanzo vya mapato vyote vilifirisika).
na sikuambulia kibarua mpka inafika saa 5 asubuhi hapo mwili unatetemeka balaaa, wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa nije nile nishushie na maji nisije nikazimia mbele za watu.
SITOSAHAU
Nitakuja na kisa changu namna nilijifanya mganga wa kienyeji ili nimpige dada mmoja wa kichaga 600,000 ili nipate kodi, kula na kadhalika.MUNGU ANISAMEHE SANA.
[emoji24][emoji24][emoji24]Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Amina mkuu.very sad brother...MUNGU akuinuee kaa
Mnaofikiri kila mwanaJF anatumia smart4n mnafeli sana aisee.Uza smati hiyo ukabonyeze mamsosi!!
Auze hata kama ni smati kitochi, desktop au laptop akale msosi!!Mnaofikiri kila mwanaJF anatumia smart4n mnafeli sana aisee.
Mh!Auze hata kama ni smati kitochi,, desktop au laptop akale msosi!!
🙊🙊🙊Tulikuwa tunatembea umbàli mrefu kama kilometers 15, au zaidi. , Kukwepa kulipa nauli ya jero. God forbid.
Walahi mi ningekumbushia..sina dogoHii comment yako imenikumbusha mbali sana.
Kipindi cha mapito magumu nilikutana na ndugu kabisa wa mzee wangu. Nikamwambia hali halisi ya maisha.
Yule mzee alinijibu unakosaje hata mlo mmoja, huoni unajaza dunia tu si bora ungekufa na baba yako tu.
Hii kauli iliniliza kama mtoto mdogo.
Ila Mungu si wa mmoja, hivi karibuni tu kulipitishwa mchango wa kifamilia, mzee kashikwa na tezi dume analia kama mtoto. Watoto wake hakuna hata mmoja mwenye muelekeo.
Nilistopisha ule mchango na nikasimamia operation yake mpaka kutoka kwake hospitali.
Yule mzee anajifanya kasahau kila kitu ila najua nafsi yake inamsuta kila akiniona.
Wewe ni mwanaume, pesa inatafutwa kivyovyote. Wanaokwàmbia sijui sio vizuri.. ooh utaishia pabaya.. wanakwambia hivyo huku wameshibaNiliwahi shinda na kulala na njaa mimi wife na mtoto wangu wa kiume.
Nilimwaga machozi usiku ule kimyakimya huku wife hajui, asubuhi nikaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (Mind you nina degree ya Geology na nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni kadhaa ila wakati huo nikawa sina ajira na vyanzo vya mapato vyote vilifirisika).
na sikuambulia kibarua mpka inafika saa 5 asubuhi hapo mwili unatetemeka balaaa, wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa nije nile nishushie na maji nisije nikazimia mbele za watu.
SITOSAHAU
Nitakuja na kisa changu namna nilijifanya mganga wa kienyeji ili nimpige dada mmoja wa kichaga 600,000 ili nipate kodi, kula na kadhalika.MUNGU ANISAMEHE SANA.
Mkuu kweli??? mbona matajiri wengi wana roho mbaya...Siku ukipata pesa kidogo sio lazima ziwe nyingi,unaweza ukawa hata na buku mbili ukaichenji mia mbili mbili then ukiona madogo sehemu hasa watoto unawapa..au ukanunua hata mfuko wa pipi unawapa..trust me inafungua sana mambo!
Pole sana mkuu😭😭Umaskini mbaya
Mi nililazimika kuwa baby sitter wa mtoto wa jirani ili tu mchana niwe nakula hapo kwao mana kwetu msosi ulikua kama dhahabu!
Huyu shem apewe maua yake. Daah kuna wanaume wenzetu wana bahati asee.Niliwahi shinda na kulala na njaa mimi wife na mtoto wangu wa kiume.
Nilimwaga machozi usiku ule kimyakimya huku wife hajui, asubuhi nikaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (Mind you nina degree ya Geology na nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni kadhaa ila wakati huo nikawa sina ajira na vyanzo vya mapato vyote vilifirisika).
na sikuambulia kibarua mpka inafika saa 5 asubuhi hapo mwili unatetemeka balaaa, wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa nije nile nishushie na maji nisije nikazimia mbele za watu.
SITOSAHAU
Nitakuja na kisa changu namna nilijifanya mganga wa kienyeji ili nimpige dada mmoja wa kichaga 600,000 ili nipate kodi, kula na kadhalika.MUNGU ANISAMEHE SANA.
Hii kutembelea chaki inakuaga kama miujiza flani hivi lakini unashangaa siku zinaenda asee Mungu mkubwa.Niliwahi kuamka na 150tsh na unga 1/8 na madeni maduka yote mtaani, nina mke na mtoto. Wife anauliza tutafanyaje, namwambia usiwe na wasiwasi tutakula tu.
Hatukuwahi kulala njaa, licha ya kutembelea kwenye chaki karibu mwaka mzima. Mungu yupo. Tumtegemeeni.
Ulipata mke safi sana mwenye upendo wa dhati na mwaminifu usije ukamsahau bro.umenikumbusha mbali. nilikopa godoro nikailaza chini sikuwa na kitanda akaniongezea na stuli ya kukalia alafu nikaoa siku 15 mbele wakati wa jion wife anasonga ugali jamaa anapiga hodi karibu mara paap nataka pesa ya godoro na ya stuli mbele ya wife daah nikamuomba aniongezee siku 15 inafika asubuhi napiga mswaki kurudi ndani nikakuta wife kabeba vitu vyake kampelekea daah
Huyo mke unaye mpaka leo?!Niliwahi shinda na kulala na njaa mimi wife na mtoto wangu wa kiume.
Nilimwaga machozi usiku ule kimyakimya huku wife hajui, asubuhi nikaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (Mind you nina degree ya Geology na nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni kadhaa ila wakati huo nikawa sina ajira na vyanzo vya mapato vyote vilifirisika).
na sikuambulia kibarua mpka inafika saa 5 asubuhi hapo mwili unatetemeka balaaa, wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa nije nile nishushie na maji nisije nikazimia mbele za watu.
SITOSAHAU
Nitakuja na kisa changu namna nilijifanya mganga wa kienyeji ili nimpige dada mmoja wa kichaga 600,000 ili nipate kodi, kula na kadhalika.MUNGU ANISAMEHE SANA.
Hongera kwa kuyavuka hayo na ubarikiwe kwa kukumbuka wema.Ili kuimarika kuna mapitio mengine ni muhimu kuyapitia ili yawe ukumbusho wa kukosa pale ukipata.
Ila kiukweli kabisa hakuna faraja kwenye ufukara.
Nakumbuka kuna kipindi nilipigika ikawa natembelea washkaji mida ya misosi kiasi cha kujua ratiba ya mlo wa masela wote.
Kuna msela wangu (Mungu amlaze mahala pema) ilikuwa ikifika jioni ananipigia simu kuniita tukapige story, kumbe alishajua hali yangu na ule wito ulikuwa ni msaada indirectly maana alihakikisha nakula ndio naondoka.
Na kila nikiondoka mkewe ananipa kikontena cha msosi ananiambia shem naona chakula cha leo umekipenda beba na hiki utakula baadae.
Hawakujua jinsi gani walikuwa wakinisevu.
Dada kwa hiyo humu JF kila mtu anazo,ana gari,Ananyumba,kafika chuo kikuu,hatumii techno,anaishi Dar Masaki,
Ningekumbushia nisingekuwa na tofauti yeyote na yeye. Wote tungekywa madhalim tu.Walahi mi ningekumbushia..sina dogo