Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

Tena mbaya zaidi iwe kwamba wewe baba yako kama alikuwepo hamkuwahi kulala njaa.

Unakuta wewe waweza jikaza ila wife na mtoto wenu kidume usoni ukiwacheki ni dhahiri kabisa njaa imewanyoosha si kidogo.

Unamwaga machozi usiku kimyakimya ili kulinda brand, asubuhi unaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (hapo una degree au diploma ya chuo), unazunguka weeee hadi saa sita ni bila bila, mwili unatetemeka balaaa.

Wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa uende ule ushushie na maji usije nikazimia mbele za watu.

Soma pia: Umaskini uusikie tu, Kipindi ukiwa ama kwa sasa ukiwa bado katika hali ya umasikini, ni changamoto zipi umepitia
 
Tana mbaya zaidi iwe kwamba wewe baba yako kama alikuwepo hamkuwahi kulala njaa

unakuta wewe waweza jikaza ila wife na mtoto wenu kidume usoni ukiwacheki ni dhahiri kabisa njaa imewanyoosha si kidogo.

unamwaga machozi usiku kimyakimya ili kulinda brand, asubuhi unaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (hapo una degree au diploma ya chuo). unazunguka weeee hadi saa sita ni bila bila! mwili unatetemeka balaaa,

wife ak=nanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa uende ule ushushie na maji usije nikazimia mbele za watu.
Komaa upate kikazi,afu usikae mjini kaa kijijini
 
Nakumbuka kunakipindi,mshua alilazwa km miezi mitatu hivi so mishe zikasimama hapo nikiwa nipo chuo semista ya kwanza,acha kabisa no hela so nikawa na bajeti ya Mia nne kwa siku natembea kutoka mikadi beach mpaka kivukoni natoa Mia mbili navuka unaingia chuo napiga pindi nasepa hakuna mda wa kukaa chuo,hapo nikawa navamia vipindi ili kwa wiki nawahi maliza vipindi,msosi bhana ilikuwa nipige miogo na chai ya kutosha au nisubiri jioni nipige kandoro ya baridi nilale,so ikingia likizo ya kitu km mwezi hivi hiyo Sasa ikawa noma nauli hamna xo nilikuwa napiga maji tu,nikiishiwa nguvu ni kuoga Mara tatu kwa siku nilitakata mzee mpaka wakaanza niuliza wewe VIP likizo hii ukipata mishe nin town lkn ukweli naujua Mimi nilisota Sana
 
Tana mbaya zaidi iwe kwamba wewe baba yako kama alikuwepo hamkuwahi kulala njaa

unakuta wewe waweza jikaza ila wife na mtoto wenu kidume usoni ukiwacheki ni dhahiri kabisa njaa imewanyoosha si kidogo.

unamwaga machozi usiku kimyakimya ili kulinda brand, asubuhi unaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (hapo una degree au diploma ya chuo). unazunguka weeee hadi saa sita ni bila bila! mwili unatetemeka balaaa,

wife ak=nanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa uende ule ushushie na maji usije nikazimia mbele za watu.

>> source B]
Wanawake wengine wajanja, wakiona Maisha magumu, wanazoea nyumba zenye unafuu ukifika pale unasaidia kazikazi, wakipika chakula unakula na mtoto, kama kunachochote kitu unapewa unaondoka jioni, mi nimewakuta Sana home watu wa dizaini hii.
 
Rudi bush angalia mila zenu zipo sawa, kuna kaela huwa unatakiwa kuwapa wazee wako katika kipato chako cha kwanza chochote kile pita kwa shangazi wape chochote, ukiona bado, chungulia kwa babu shida ipo wapi,
SIAMINI KAMA MUNGU AMEUMBA MWANADAMU APATE SHIDA, shida zote huwa tunazikwaa hapahapa duniani.
 
Tena mbaya zaidi iwe kwamba wewe baba yako kama alikuwepo hamkuwahi kulala njaa.

Unakuta wewe waweza jikaza ila wife na mtoto wenu kidume usoni ukiwacheki ni dhahiri kabisa njaa imewanyoosha si kidogo.

Unamwaga machozi usiku kimyakimya ili kulinda brand, asubuhi unaamka 12 kamili kucheki vibarua vya kubeba zege (hapo una degree au diploma ya chuo), unazunguka weeee hadi saa sita ni bila bila, mwili unatetemeka balaaa.

Wife akanitumia sms kuwa kakopa chapati 6 kwenye mgahawa uende ule ushushie na maji usije nikazimia mbele za watu.

Soma pia: Umaskini uusikie tu, Kipindi ukiwa ama kwa sasa ukiwa bado katika hali ya umasikini, ni changamoto zipi umepitia
Wife ana akili kuliko wewe.

Unashindwa kukopa?

Halafu mmelala njaa unaamka saa 12 unaona umewahi sana kuamka!!

Pole sana kaka kwa yote lakini, ila pambana sana
 
Hata mimi naamini hivyo. Hii dunia haikuwa mahala pake.

Yule jamaa alikuwa na roho ya kipekee. Hakusubiri kuombwa.

Hii story yangu ni cha mtoto, baada ya mauti yake waliibuka wengi mno. Kuna aliowapa hifadhi ya makazi, aliowapa mitaji na hata aliolipia ada za watoto wao.

Kuna binadamu Mungu aliwaumba waje kuwa mfano wa wema tu kwa binadamu halafu waondoke.
Umeyaiga haya? Au ndio mwenye shida atajiju.
 
Hii comment yako imenikumbusha mbali sana.

Kipindi cha mapito magumu nilikutana na ndugu kabisa wa mzee wangu. Nikamwambia hali halisi ya maisha.
Yule mzee alinijibu unakosaje hata mlo mmoja, huoni unajaza dunia tu si bora ungekufa na baba yako tu.

Hii kauli iliniliza kama mtoto mdogo.

Ila Mungu si wa mmoja, hivi karibuni tu kulipitishwa mchango wa kifamilia, mzee kashikwa na tezi dume analia kama mtoto. Watoto wake hakuna hata mmoja mwenye muelekeo.

Nilistopisha ule mchango na nikasimamia operation yake mpaka kutoka kwake hospitali.
Yule mzee anajifanya kasahau kila kitu ila najua nafsi yake inamsuta kila akiniona.
Ulitakiwa umwambie kwanini bado upo duniani.
 
Back
Top Bottom