Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Hao wezi ni noma ,, mi nilipuliziwa dawa nikazima hadi saa3 asubuh

Mbaya zaid nilikua na mtoto mdogo wa kunyonya ndani. Najiuliza ile dawa ingemletea matatizo mtoto inakuaje? Huwa sijiuliz vitu walivyoniibia.

Hitimisho hawa wezi kama umewaotea sio kuwapeleka Polis ni KUUA tu.
 
Hapo ndipo ninapopazungumzia mimi

Walimbeba baba mwenye nyumba wakamuweka chini wakachukuwa godoro na kitanda ... umeona hilo ndio lilokuwa lengo lao... kwenda kuiba

Ila hawa wezi wa segerea waliamua na waoge kabisa
 
Hapo ndipo ninapopazungumzia mimi

Walimbeba baba mwenye nyumba wakamuweka chini wakachukuwa godoro na kitanda ... umeona hilo ndio lilokuwa lengo lao... kwenda kuiba

Ila hawa wezi wa segerea waliamua na waoge kabisa
Kuoga ni kukuonyesha kuwa wao wamebobea...Ni kama mchezaji kupiga kanzu kabla ya kufunga...ni kama chachandu kwenye chips dume....Gaucho anaweza kufunga bila kupiga vibaiskeli,lkn kunogesha goli lazima afanye cycling kidogo.....Mbona unataka kuleta uanfalsafa kwenye mambo ya kitaa??Umekulia kota nini??

Watoto wa uswazi wana style yao...akienda kwenye hitima lazima atie punje za wali mfukoni kuthibitisha kuwa kamlia vizuri marehemu ubwabwa!!Relax....Kwa wezi wa kitaa kuoga ni nembo ya ukamilifu wa kazi!!Kama Mwanajeshi kuvaa saa ya marehemu aliyemuuwa vitani
 
Hahaha haya chifu umeeleweka

Basi itafika muda hao mabingwa watakuwa kabla hawajakuibia watakuwa wanacheki tv kwanza halafu wanalala kidogo wakiamka ndio wanajichukulia vitu vyao ili kuonyesha ukamilifu wa kazi kama ulivyosema hapo juu
 
Ungepeleka lile jukwaa lingine nahisi ingekuwa bora zaid
 


Nilitaka kushangaa kama wamebeba TV kwa kutumia hilo jalo na TV ikapitishwa hapohapo dirishani.

Ninhewaingiza kwenye kitabu cha rekodi ya Dunia sasa hivi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unanivitukoooo[emoji115]
 
Swali linasimama palepale unzijuwa spray wanazotumia?
Nasikia eti ni dawa za mahospitalini...za nusu kaputi...hivyo watu wa hospitalini wanahusika; sababu haziuzwi madukani...Na ni zina side effect.
 
Hahah umenikumbusha mbali msisiri vinyago pale zone kule kamanyora hahah
 


Nilitaka kushangaa kama wamebeba TV kwa kutumia hilo jalo na TV ikapitishwa hapohapo dirishani.

Ninhewaingiza kwenye kitabu cha rekodi ya Dunia sasa hivi.
Hilo jaro ni specifically for smartphone, na wallet in other cases ila endapo kutakuwa na mkoba anaweza utag: fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…