Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Weka maji kwenye chombo cha wazi kama bakuli au ndoo au besenikatika chumba unacholala.

Hiyo dawa kamwe haitafanya kazi.
Mkuu beseni ama kalai ndo bora sana ila liwe wazi,hii ni kinga ambayo mtu hawezi amini lkn nnafanya kazi 1000%
 
Kiboko cha hy dawa ni maji weka ndoo za kutosha za maji kuanzia chooni hadi mvunguni kwa kitanda dawa ikipilulizwa inaenda kwny maji
Wala usihangaike kuweka ndo nyiiiingi,weka beseni lenye maji,beseni mbili tu,
 
Hiyo ilitukuta morogoro mazimbu tulikuwa tumelala wanaume kama watatu mana chumba chetu kilikuwa kikubwa vitanda viwili vinatosha na ukitucheki tulikuwa mbavu balaa jamaa walizoa kila kitu visimu sory radio kubwa,tv samsung asubuh tunaamka mlango upo wazi tunashangaa nani alitoka hajafunga mlango kauacha wazi yani wanafungua mlango wote kuchak mali hazipo alooo hii kitu mbaya sana.
Mkuu hamjashikana mashati mmoja wenu kuhusika?
 
Mbona maisha yamegeuka hivi ...jamani jipageni mitaani mfanye Doria muwakamate muwakate hata mikono iwe kumbukumbu wataacha wizi
 
Sita sema sana nina miezi 2 tu!!! Wameiba tv yangu!!!! laptop mbili!! Wameba simu zangu!!! Wakakomba kila kitu sebuleni!!! nashukuru waliniachia uhai. Naamin vitu utafutwa ila siku nkiwajua ama kuwa kamata!! Ntavuja Amri ya mungu!! "Usiue"
 
Haya, nakupa jaribio.
Rusha tigopesa ya 40000 kwanza ktk simu yangu ya chakula
Madam Beatha nipe mimi namba zako nikutumie hyo hela halafu naweka booking ya room pale Hyatt Regency The Kilimanjaro
 
Mwizi ni mwehu akikosa cha kuiba alichokusudia aidha TV au Pesa au nguo basi hata kandambili za chooni anaondoka nazo..!

Na huku akikulaani eti ni mjinga huna lolote
 
Mimi hii ni kweli ilinitokea mwenyewe mwaka jana mnamo mwezi wa kumi na moja nlikuwa nmekaa bedroom kwangu macho mpaka mida ya saa nane usiku ndo nkalala huku nimeacha simu mbili kwenye charge hapo hapo kitandani moja Lg smartphone nyingine kitochi cha tecno....nakuja kustuka saa kumi alfajiri sioni simu kitandani naona charger tu nkajua labda zimedondoka uvunguni lakni nkaangalia hamna kitu....nkawaza labda maza kaja kuzichukua kwa sababu hapendi nilale na simu kwenye chaja lakini hamna kitu kumbe jamaa wamekuja kuiba...na nililala saa nane na nusu usiku nkashtuka saa kumi usiku!!!
 
Sita sema sana nina miezi 2 tu!!! Wameiba tv yangu!!!! laptop mbili!! Wameba simu zangu!!! Wakakomba kila kitu sebuleni!!! nashukuru waliniachia uhai. Naamin vitu utafutwa ila siku nkiwajua ama kuwa kamata!! Ntavuja Amri ya mungu!! "Usiue"
Duh pole sana, nahisi maumivu yako
 
umenikumbusha mwaka 2009 tuliibiwa vitu vyote mpaka nguo zilizotundikwa nyuma ya mlqngo nass tumelala humohumo ndani sikujua mpaka leo walitumia dawa gani kali kiasi kile.... lol
Hahahahahaha
 
Kuna siku tulimnasa mwizi kwa dirisha la chumba cha Kulala ya mama mmoja hivi. Tumekuta anampira pipe ndogo Sana size ile ya drip inayotumika hospital. Tulipombana kwa kibano akasema kuwa pipe inatumika kupulizia moshi wa bangi chumbani. Wakati Ukiwa usingizini ukinusa moshi wa bangi utalala usingizi mzito sana na huwezi amka kwa masaa kadhaa. Na tulipompekua kweli ana bangi mfukoni.
 
Mkuu umefanya nimecheka kwa muda mrefu mpaka kichwa kinauma.. Wameiba mpaka shuka, whitedent kwenye mtaro wa maji machafu, kula kila kitu na kunya bila kuflash.. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie ndio watu husema bora mngezaliwa nguruwe angalau dunia ingekuwa haina matatizo. Ujinga unakuchekesha? Stupid!
 
Back
Top Bottom