Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Ni dawa gani ya usingizi wanayoitumia wezi kupuliza madirishani?

Nasikia eti ni dawa za mahospitalini...za nusu kaputi...hivyo watu wa hospitalini wanahusika; sababu haziuzwi madukani...Na ni zina side effect.
Kuna duka Cape town South niliingia nikakuta spray za kumpulizia adui machoni zinauzwa madukani, wenyeji wakaniambia ndio self defence kubwa ya wanawake.

Kwahiyo kwa uzoefu wangu mdogo naamini kabisa hata hizi spray za kunogesha usingizi zitakuwa wanazipata kutoka South Afrika, kule vitu vingi siyo ilegal.

Hata Manyaunyau ile midoli yake ya paka yenye chill sourse inayofana na rangi ya damu atakuwa anainunuwa South Africa.
 
Point yangu ni kuwa hao wezi walikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo yao mpaka kuwa na confidence ya kuamua waoge kabisa.

Wezi mara nyingi wanakuwa wanafanya mambo yao halafu wanapotea haraka eneo la tukio, ila hawa waliamua waoge kabisa
Wewe unazungumzia vibaka wakwapuaji, hawa ni wezi professional. Kuna sehemu moja kule Ubungo Dar, wezi walienda kwa mama mmoja mfugaji wa kuku wa mayai. Kuku wake walikuwa wapata miezi 6 ndio wameanza kutaga yai moja moja. Hao jamaa walikuja na majiko ya mkaa na sufuria kubwa kama ya Miraji Mapilau.

Yule mama mara ya mwisho kuwaona kuku wake ilikuwa saa kumi na nusu alfajiri alipoenda bandani kuwaongezea chakula na maji. Jamaa waliingia bandani, wakachinja kuku, wakanyonyoa na kuondoka na mzigo. Mama aliambulia Jiko la Mkaa, Sufuria, Manyoya, miguu na vichwa vya kuku wake 400. Hiyo ilikuwa saa 3 asubuhi alipoamshwa na majirani walioenda kuchota maji nyumbani kwake.

Usicheze na fani za watu mkuu.
 
Hahah umenikumbusha mbali msisiri vinyago pale zone kule kamanyora hahah
Kitambo sana tushawafataga Wezi pale na walikuwa wanashirikiana na Wezi Kino ngambo ya pili,tuliwachkuagaa wezi/wakabaji tukawaletaaa biafraaa machinjioni walichifanywa mbona heshimaa sehemu yetu ilirudi.....
 
Wala usidanganyike. Hakuna dawa ya kupuliza dirishani ikamfanya mtu alale fofo kiasi cha kutoshtuka. Dawa zile zipo lakini kwanza haziko effective kama tunavyodanganywa lakini pia ni adamu na ghali sana kuzipata kiasi kwanmba hakuna mtu wa kawaida akaweza kuzimiliki kirahisi hivyo. Wanachofanya wezi ni kwamba wanacheza na saikolojia ulya muhanga. Binadamu kuna kipindi fulani cha usiku anakuwa ndani ya usingizi mzito sana. Sasa wezi hawa hutumia kipindi hicho kufanya yao.
Mimi ni muhanga wa hao wezi i na ipo siku nitawakamata tu kwa uwezo wa Mola na nitafudi hapa na kuwaadithia kitakachowakuta.
hahah..nimependa ulivyopinga..Lakini je mtu akibisha akakwambia hakuna kibaka mwenye elimu ya saikolojia kiasi hicho?..
 
Mkuu kuwa makini na kitu wenye kizungu wanachoita ''myth''. Ni kitu kibaya sana. Mimi nimepitia maelelezo yooote hapa lakini kila nikijaribu kuunganisha kwa kutumia sayansi naona nyota nyota. Kwa mfano chukulia mwizi amekuja na hiyo dawa wanayosema inakufanya ulale. Akaipulizia dirishani. Wewe umeweka maji kwenye karai chini ya dirisha lako. Sasa jiulize: Yale maji yana nguvu ya uvutano ya kuvuta ile dawa ielekee kwenye karai lenye maji na isielekee puani kwako? Katika hali ya kawaida itakimbilia puani kwenye nguvu ya kuvuta au kwenye beseni? Huoni hapa kuna maswali mengi kuliko majibu? Hii ya maji kwenye karai ni hadithi ya kusadikika na mimi sitaiamini kwa namna yoyote. Wengine wamefikia hatua ya kusema wanakuja na chloroform hivyo ukiweka maji yanai-netralize! Kweli mtu aliyesoma chemistry hili linaingia akilini?
Mimi nimepitia maelelezo yooote hapa lakini kila nikijaribu kuunganisha kwa kutumia sayansi naona nyota nyota
''sayansi'' ipi ambayo hujatumwagia hapa jamvini?..Hujaonesha hata chemical formula zake
clear.png
😀😀..
ebu tupatia chemical reaction basi...
 
Point yangu ni kuwa hao wezi walikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo yao mpaka kuwa na confidence ya kuamua waoge kabisa.

Wezi mara nyingi wanakuwa wanafanya mambo yao halafu wanapotea haraka eneo la tukio, ila hawa waliamua waoge kabisa
Na inawezekana hata kabla hawajang'oa hiyo TV walikua wanafuatilia series ya kikorea.
 
Salaam jf.

Nilikuwa naomba uzoefu wenu wana jf, hasa katika hizi dawa wa wanazotumia wezi kuwaibia raia wema kuwapulizia madirishani wakati wa usiku wanapolala, kwanza nilikuwa nataka kufahamu jina lake na pili wapi wanapozipata lengo si kwa ajiri ya matumizi binafsi lengo ni kufahamu.

Sababu wizi wa kuvunjiwa milango na madirisha umekithiri kibaya zaidi wezi wanathubutu kuwaibia walala hoi hadi maafisa wa serikali wenye silaha, juzi kati mh. Fulani ambaye anacheo kikubwa tu serikalini alipigwa vitu vyake vyote sebureni na mwengine kasafishwa sebure yote na watoto wa mjini, akiwemo pia mwanajeshi mstaafu nae alivunjiwa nyumba na wezi kusafisha sebure lakini kabla ya kuiba wezi walikunywa chai iliyokuwa sebureni na kuondoka.

Inavyooshesha hii dawa inawapa kiburi sana, usishangae hadi usalama huwa wanapigwa.
Dah! Mwaka 2013 yalinikuta. Nimekaa sebuleni na familia. Wengine wamejilaza kwenye "floor" na mimi ninaangalia sinema. Ghafla nikasikia kama mtu dirishani, sekunde chache sana nikapotelea usingizini pamoja na wote waluokuwepo sebuleni. Nimestuka masaa mawili baadae hakuna seti ya runinga, na vitu kibao na walijipakulia chakula jikoni wakaweka kwenye hotpot na kuondoka nacho. Sitosahau hiyo siku!

Kaka ...
 
Dah! Mwaka 2013 yalinikuta. Nimekaa sebuleni na familia. Wengine wamejilaza kwenye "floor" na mimi ninaangalia sinema. Ghafla nikasikia kama mtu dirishani, sekunde chache sana nikapotelea usingizini pamoja na wote waluokuwepo sebuleni. Nimestuka masaa mawili baadae hakuna seti ya runinga, na vitu kibao na walijipakulia chakula jikoni wakaweka kwenye hotpot na kuondoka nacho. Sitosahau hiyo siku!

Kaka ...
oh kumbe hivi vitu hutokea kweli nimesoma uzi mzima aise pole sana
 
Salaam JF.

Nilikuwa naomba uzoefu wenu wana jf, hasa katika hizi dawa wa wanazotumia wezi kuwaibia raia wema kuwapulizia madirishani wakati wa usiku wanapolala, kwanza nilikuwa nataka kufahamu jina lake na pili wapi wanapozipata lengo si kwa ajiri ya matumizi binafsi lengo ni kufahamu.

Sababu wizi wa kuvunjiwa milango na madirisha umekithiri kibaya zaidi wezi wanathubutu kuwaibia walala hoi hadi maafisa wa serikali wenye silaha, juzi kati mh. Fulani ambaye anacheo kikubwa tu serikalini alipigwa vitu vyake vyote sebureni na mwengine kasafishwa sebure yote na watoto wa mjini, akiwemo pia mwanajeshi mstaafu nae alivunjiwa nyumba na wezi kusafisha sebure lakini kabla ya kuiba wezi walikunywa chai iliyokuwa sebureni na kuondoka.

Inavyooshesha hii dawa inawapa kiburi sana, usishangae hadi usalama huwa wanapigwa.
Kabla ya kulala weka Maji kwenye ndoo au Sufuria wakipuliza dawa yao inakimbilia kwenye maji, ukiamka asubuhi utakuta maji yana mapovu ujue walikuja usiku lakini hawakufanikiwa.
 
Wanajamii mmenipa shule sana kuhusiana na hawa jamaa ila nitashukuru sana kama tukipata dawa halisi ya kudeal na hii dawa au spray mana wengine wanasema ni maji na wengine wanasema sio maji. Nashauri ni bora tupate dawa halisi ya hii kitu kutoka kwa mtu ambae imewahi kumtokea hili jambo na hiyo dawa ikamsaidia
 
Wanajamii mmenipa shule sana kuhusiana na hawa jamaa ila nitashukuru sana kama tukipata dawa halisi ya kudeal na hii dawa au spray mana wengine wanasema ni maji na wengine wanasema sio maji. Nashauri ni bora tupate dawa halisi ya hii kitu kutoka kwa mtu ambae imewahi kumtokea hili jambo na hiyo dawa ikamsaidia
Maji tu ndio dawa tena ukishtuka ukakuta ndoo ya maji imemwagika ndio unaamka ujue walikuwa wanajitaidi kuyamwaga
 
Hata Manyaunyau ile midoli yake ya paka yenye chill sourse inayofana na rangi ya damu atakuwa anainunuwa South Africa.[/QUOTE said:
Ha haa haaaa, mkuu mbona sasa hiyo ni mada nyingine!

Kaka ...
 
Wanajamii mmenipa shule sana kuhusiana na hawa jamaa ila nitashukuru sana kama tukipata dawa halisi ya kudeal na hii dawa au spray mana wengine wanasema ni maji na wengine wanasema sio maji. Nashauri ni bora tupate dawa halisi ya hii kitu kutoka kwa mtu ambae imewahi kumtokea hili jambo na hiyo dawa ikamsaidia
Hatuwa ya kwanza kabisa ya kujikinga na spray kama madirisha yako ni ya Aluminium hakikisha yote unayalock kabla ya kulala, usiache ule wavu wa mbu kwa kutaka upate hewa.

Nadhani kwa wezi wa madirishani hii ndio hatuwa ya kwanza kuwadhibiti.
 
View attachment 370942 View attachment 370941

Hii nimeiona kwenye Group la WhatsApp,imetokea mitaa ya Segerea Dsm...Jamaa walikuja usiku wa kiza kinene,wakapiga dawa dirishani wakaanza kupakuwa kitu kimoja baada ya kingine!!Chumbani walishindwa kuingia ikabidi watumie hilo "jaro" kupakuwa simu kitandani.

Wakazungukia kwa wapangaji wengine wakakomba kila kitu.Wakapakuwa kiporo cha ubwabwa wa kipaimara wakala,wakafungua friji wakanywa juice yote na matunda.Wakaenda na bafani wakaoga na kujisaidia bila kuflash ...wakafungua TV ukutani ya nchi 32 na mziki sebuleni...baada ya hapo wakakojolea kwenye vikombe na masufulia,ajabu ni kuwa haya yote yanatokea hakuna hata aliyeamka.

Walioibiwa wamekuja kuamshwa saa tano asubuhi,maana gari ya shule "school bus" ilikuja kuwabeba watoto ikapiga sana honi bila mafanikio...aliyekuja kustua majirani ni Mama msaidizi wa kazi ambaye huwa anasidia kazi na kurudi nyumbani.Watoto wamelazwa chini jamaa wamebeba mashuka na mito.

Hivi hawa jamaa dawa yao nini??Maana imekuwa kero sana kwa sasa....Yaani wameiba na kumpaka mtu white dent eneo la "mtaro wa maji machafu" halafu wakatoweka....sio haki kabisaaaaaa
Mkuu umefanya nimecheka kwa muda mrefu mpaka kichwa kinauma.. Wameiba mpaka shuka, whitedent kwenye mtaro wa maji machafu, kula kila kitu na kunya bila kuflash.. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hizo dawa noma kijichi jamaa walikuja na fuso...jirani mmoja akirudi toka night shift akaona makochi yanapakizwa akajua jirani wanahama,akaona asiwasemeshe akaenda lala kwake ....dah familiya nzima ilikutwa haijitambui mnamo SAA 5-6 wakiwa wamelazwa chini saafuni!kila kitu makabati, hadi mapazia walibeba!
Khaaaa waseng** wamehamisha nyumba ya mwenzao.. Wallah bahati mbaya mjengo haubebeki tu..
 
Kuoga ni kukuonyesha kuwa wao wamebobea...Ni kama mchezaji kupiga kanzu kabla ya kufunga...ni kama chachandu kwenye chips dume....Gaucho anaweza kufunga bila kupiga vibaiskeli,lkn kunogesha goli lazima afanye cycling kidogo.....Mbona unataka kuleta uanfalsafa kwenye mambo ya kitaa??Umekulia kota nini??

Watoto wa uswazi wana style yao...akienda kwenye hitima lazima atie punje za wali mfukoni kuthibitisha kuwa kamlia vizuri marehemu ubwabwa!!Relax....Kwa wezi wa kitaa kuoga ni nembo ya ukamilifu wa kazi!!Kama Mwanajeshi kuvaa saa ya marehemu aliyemuuwa vitani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjomba umenifurahisha sana..
 
Daàaaah, umenikumbusha jirani yangu alinunua TV ya m1.25 na subwoofer la nguvu katumia wiki moja wezi wakaja wakawapulizia wakalala usingizi hadi tunawaamsha saa tano asubuhi baada ya kuona kimya sana hiyo nyumba hali tumegana nao usiku wa kulala na hawakuwa na safari yoyote.
Kuwakuta ndani wakaamka kila mmoja akitokea chumba tofauti wezi walibeba na kuwatenganisha mke na mme na kupeleka vyumba tofauti. Wezi ao hao walikula msosi kwanza ndo wakabeba mzigo na hela kidogo iliykuwa around.
Wezi wa namna hii washenzi sana ila dawa yao ni ndogo tu wanapuliza lakini wanakukuta uko macho unakimbizana nao.
Vipi mke wa jamaa hakuwa na dalili zozote?
 
Back
Top Bottom