Mkuu beseni ama kalai ndo bora sana ila liwe wazi,hii ni kinga ambayo mtu hawezi amini lkn nnafanya kazi 1000%Weka maji kwenye chombo cha wazi kama bakuli au ndoo au besenikatika chumba unacholala.
Hiyo dawa kamwe haitafanya kazi.
Wala usihangaike kuweka ndo nyiiiingi,weka beseni lenye maji,beseni mbili tu,Kiboko cha hy dawa ni maji weka ndoo za kutosha za maji kuanzia chooni hadi mvunguni kwa kitanda dawa ikipilulizwa inaenda kwny maji
Mkuu hamjashikana mashati mmoja wenu kuhusika?Hiyo ilitukuta morogoro mazimbu tulikuwa tumelala wanaume kama watatu mana chumba chetu kilikuwa kikubwa vitanda viwili vinatosha na ukitucheki tulikuwa mbavu balaa jamaa walizoa kila kitu visimu sory radio kubwa,tv samsung asubuh tunaamka mlango upo wazi tunashangaa nani alitoka hajafunga mlango kauacha wazi yani wanafungua mlango wote kuchak mali hazipo alooo hii kitu mbaya sana.
huyo ana bahati walikunywa chai, wengine huwa wanakunya kabisa hapo sebuleniwezi walikunywa kwanza chai???
Huwezi kuelewa kwa sababu wewe ni she.taniSijakuelewa
Hakuwa na dalili yoyote ya kuguswa wala hakuripoti kufanyiwa chochote kibayaVipi mke wa jamaa hakuwa na dalili zozote?
Mkuu hamjashikana mashati mmoja wenu kuhusika?
Madam Beatha nipe mimi namba zako nikutumie hyo hela halafu naweka booking ya room pale Hyatt Regency The KilimanjaroHaya, nakupa jaribio.
Rusha tigopesa ya 40000 kwanza ktk simu yangu ya chakula
Duh pole sana, nahisi maumivu yakoSita sema sana nina miezi 2 tu!!! Wameiba tv yangu!!!! laptop mbili!! Wameba simu zangu!!! Wakakomba kila kitu sebuleni!!! nashukuru waliniachia uhai. Naamin vitu utafutwa ila siku nkiwajua ama kuwa kamata!! Ntavuja Amri ya mungu!! "Usiue"
Hahahahahahaumenikumbusha mwaka 2009 tuliibiwa vitu vyote mpaka nguo zilizotundikwa nyuma ya mlqngo nass tumelala humohumo ndani sikujua mpaka leo walitumia dawa gani kali kiasi kile.... lol
hahaa bora walinyea chooni.nakumbuka sisi 2006 walikula kiporo changu cha ubwabwa afu wakanya kwa sefuriaMi kwangu waliku.nya kabsa wakaacha mzigo bila kuflash. Mpaka leo huwa nawaza walitumia muda gani.
Nyie ndio watu husema bora mngezaliwa nguruwe angalau dunia ingekuwa haina matatizo. Ujinga unakuchekesha? Stupid!Mkuu umefanya nimecheka kwa muda mrefu mpaka kichwa kinauma.. Wameiba mpaka shuka, whitedent kwenye mtaro wa maji machafu, kula kila kitu na kunya bila kuflash.. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaa....naogopa duduMadam Beatha nipe mimi namba zako nikutumie hyo hela halafu naweka booking ya room pale Hyatt Regency The Kilimanjaro