Pre GE2025 Ni dhahiri Lissu ndiye Rais ajaye wa JMT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Duh πŸ™„ !
 
Tumsaidie yeye kama yeye kwa maana yeye ni mpango wa Mungu πŸ™πŸ™ !
Ila haki iwepo na ionekane inatendeka !
 
Mzee Paskali.
Hizi calculations za 2030 zina facts?

Mimi naona mwaka huu tutarajie yaaiyotarajiwa
Mwaka huu haitawezekana! Chadema hawapo kwenye utulivu.! wajipange 2030 kuna mageuzi makubwa Sana! Historia inaenda kuwekwa! Huyu LISU akipita hapa hiyo 2030 anachukua URAISI!
 
NB; Hata Tabiri(kwa wale wa kiroho) mbali mbali ambazo zimeongelewa Prophetically ni kwamba 2030 Upinzani wanachukua nchi!
 
Unajiliwaza sio, hujampata demu siku nyingi eti? Achana na ndoto za alinacha!! Urais hakuupata Lowasa na Mrema, aje aupate hicho kijitu chenu!!!
 
Nakubaliana na wewe 200%
 
Tanzania kwanza, CCM inafuata
CHADEMA c rahisi kupewa nchi na c CHADEMA tu chama chochote pinzani c rahisi kukabidhiwa inchi coz vyama pinzani havina strong resources za kuweza kuongoza nchi zaidi wakiingia madarakani waanze kujijenga wao kwanza ndipo waje wafikirie wananchi that isn't possible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…