Ni dharau kubwa Kiongozi wa Taifa letu kutoa risala huko Brazil wakati wanaotakiwa kusikiliza wanaendelea na shughuli za kupakua chakula

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Lakini kuna mtu alisema humu kwamba kaushangaza ulimwengu kwa hotuba yake na mwingine alienda mbali zaidi kusema kwamba ni kiongozi mwenye ushawishi mkubwa.Sasa hapa mbona unatueleza tofauti kiongozi
 
Si mnapenda kujikomba nchi hii diplomasia na ushawishi kwenye mikutano mikubwa aliweza Nyerere na Mkapa

The rest hamna kitu

Kikwete angalu alijitahidi kwenye msiba wa Mandela

Nyerere alikuwa akihutubia UN wazungu wanasimama na kumpigia makofi kabisa

Mkapa alikuwa na hotuba zilizonyooka alikuwa amepikwa kweli kuwa Rais wa nchi.

Mwinyi, Magufuli, Samia Hawa kwenye hotuba hamna kitu

Hotuba inahitaji ipitiwe na ichakatwe na wataalamu sio unaamka tu una hasira na mmeo au mkeo unaanza kuongea mambo ambayo hayapo hapo ndio tunapofeli hakuna mtu atakusikiliza!!
 
Sometimes kuna sehemu unaalikwa ili ujue your place !
 
Walimpa ahutubie muda walioturudisha studio kwa matangazo?
 
Nyerere na Mkapa. Basi waliofuatia wote walikiwa tu bendera fuata upepo hawana heshima
 
Hii imenishtua sana. Nadhani next time tugome Rais wetu asiende.maana ni kama kumdhalilisha kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…