Huyu chalii dj nelly d wa the click kiss fm anakuja kwa kasi ana mikato mikali sanaDJ D-Ommy,DJ Zero,DJ Feruuh,DJ Nelly D,DJ Jeff Jerry,DJ Dea,
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu chalii dj nelly d wa the click kiss fm anakuja kwa kasi ana mikato mikali sanaDJ D-Ommy,DJ Zero,DJ Feruuh,DJ Nelly D,DJ Jeff Jerry,DJ Dea,
Dea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye nomaDeejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,
DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
Madj wa mikoani wakali sana mzee kwa mfano kg the dj, dj timba, dj virus kuliko wapiga maembe flan wa jijini pia mwanza ni wakali kuliko wa darKwa mtazamo wangu:Kwa hapa bongo ma DJ wengi hawana skills ,wengi wao wamevamia fani,ndio maana ukisikiliza radio nyingi za dar karibia kila siku nyimbo ni zile zile, sampler ni zile zile, effects zile zile,hata club ni hvyo hvyo........Kuna lounge moja maarufu Tu hapa mjini ipo jirani na ninapoishi ilifikia hatua DJ akipiga unajua nyimbo itakayo fuata na kufuata...hii ni kutokana na alivyopiga juzi ,Jana ni vile vile...
Wengi wa madj wetu hawajui nyimbo nyingi na ni wavivu ndio maana playlist zao ni ndogo pia..
Bora hata ma DJ wa mikoani hata radio zao zinapiga nyimbo tofauti tofauti sema Tu vifaa sio vya kisasa ukilinganisha na hawa mabishoo wa town
Ma DJ wazuri wapo Kenya mfano DJ khanji, joe mfalme,cream de la creamer
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzito sana kwenye scratchingwana Hip Hop mnaniangusha aisee, mnaanzaje kumsahau The Best Hip Hop Dj in TZ , DJ JEFF JERRY The Black the berry the sweeter the juice
Yupo vizuri,kitendo cha yeye kujiita international kumefanya akaze,kabla ya kuanza kuporomosha mangoma jamaa huwa anazama chimbo na kutafuta ngoma zitakazoendana na hcho kipindi au event anayopiga,Kwa kifupi bado anajifunza
Huyu Dj Joe ni wa radio gani?hiyo namba ingine mzee, yule jamaa kiboko anajua mpaka ana boa
DJ John Dilinga na DJ Pogo ni hatari hawa aiseeDj John Dilinga, the everlasting Dj huyu ni hatarii ingawa kwenye ramani ya radio sijamsikia sana ila moto kwa scraching
Huwa siwaelewi hawa sijui kwa nini, kuna vijana wapo redio za mikoani huko wako vizuri sana kuwazidi hao sema nafasi tuDj summer, dj zero wapiga maembe wazoefu hawawezi beatmatching. Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Dj Davy bwana daaah, yule jamaa anajua anajua sana, Dea yuko poa namsikiliza sana usiku ila kuna siku unaona mwenyewe jamaa kapwaya, ila ni mkaliDea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma
Sent using Jamii Forums mobile app