Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Ni DJ gani unakubali/haukubali playlist yake iwe kwenye Redio au Club?

Deejay Dea ni balaa.. Beat matching zake sio za kitoto.,na hata scratching yake sio mbaya kivile,

DJ ambaye ana playlist mbaya ni dj summer! Jamaa ana scratch fresh ila playlist anawekaga mbaya kusema ukweli. Labda akiwa Club anafanya powa
Dea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu:Kwa hapa bongo ma DJ wengi hawana skills ,wengi wao wamevamia fani,ndio maana ukisikiliza radio nyingi za dar karibia kila siku nyimbo ni zile zile, sampler ni zile zile, effects zile zile,hata club ni hvyo hvyo........Kuna lounge moja maarufu Tu hapa mjini ipo jirani na ninapoishi ilifikia hatua DJ akipiga unajua nyimbo itakayo fuata na kufuata...hii ni kutokana na alivyopiga juzi ,Jana ni vile vile...
Wengi wa madj wetu hawajui nyimbo nyingi na ni wavivu ndio maana playlist zao ni ndogo pia..
Bora hata ma DJ wa mikoani hata radio zao zinapiga nyimbo tofauti tofauti sema Tu vifaa sio vya kisasa ukilinganisha na hawa mabishoo wa town
Ma DJ wazuri wapo Kenya mfano DJ khanji, joe mfalme,cream de la creamer

Sent using Jamii Forums mobile app
Madj wa mikoani wakali sana mzee kwa mfano kg the dj, dj timba, dj virus kuliko wapiga maembe flan wa jijini pia mwanza ni wakali kuliko wa dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamzungumziaje yule jamaa anaejiita intaneshno dj

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo vizuri,kitendo cha yeye kujiita international kumefanya akaze,kabla ya kuanza kuporomosha mangoma jamaa huwa anazama chimbo na kutafuta ngoma zitakazoendana na hcho kipindi au event anayopiga,Kwa kifupi bado anajifunza

Ukimuangalia D ommy wa kipindi kile na wa sasa tofauti...(kabla ya kuchukua Ile tuzo na baada) ninaamini km hatolewa sifa atafika mbali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Dj Nelly wa kipindi vha Ngomakali za zilipendwa zinarushwqga Channel ten namkubali kinoma
 
Dea hatabiriki leo anapiga fresh kesho anaboronga. Kuna jamaa alikuwa kissfm mwanza anaitwa dj davy hakuwahi kuboronga hata siku moja akaja dj willy b naye noma

Sent using Jamii Forums mobile app
Dj Davy bwana daaah, yule jamaa anajua anajua sana, Dea yuko poa namsikiliza sana usiku ila kuna siku unaona mwenyewe jamaa kapwaya, ila ni mkali
 
Dah kuna dj alikuwepo kwenye kipindi cha kiss collabo mix show cha kiss Fm nadhan anaitwa Dj devy jamaa ni mkali hatarii kibongo bongo ndio dj akipiga nyimbo lazima mwili unisisimke na kuanza kuenjoy... Kwa upande wa club kuna jamaa yupo club moja sumbawanga inaitwa M the best anaitwa dj Yt professional nae namkubali sana hadi mixes zake huwa nadownload ☺☺
 
Back
Top Bottom