Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

hqdefault.jpg
 
U
Carina ti corolla 100 au 110 na premio old model... gari zangu pendwa
Umetaja Corolla nimejikuta nafurahia sana ,fanya mpango uje uione Corolla yangu Mbeya ilivyo nzuri na pia Corolla pekee mkoa mzima yenye number plate ya jina langu la ukoo.

NB : kupitia gari hii naheshimika mpaka na mkuu wa mkoa mpaka. vijana wa UWT chini ya ofisi ya mkuu wa mkoa .

Hivyo napenda kukupa hongera kwa kuchagua kilicho Bora Ila kukutia moyo kuwa endelea kupambana unaweza kumiliki Corolla 100
 
Kuna wakati naiwaza Amarok ila nawaza ntaweza maintanance expenses kweli?

Nawaza kupata V8 Vx ila najiuliza nasikia hadi taa za mbele zikivunjika tu nitafute milioni moja ya repacement jamani😭😭😭

Si bora niiwaze gari ya kawaida tu kama Toyota Rav4 tu ambayo haitanipa presha halafu niifosi kuwa dream Car😘😘
 
U
Umetaja Corolla nimejikuta nafurahia sana ,fanya mpango uje uione Corolla yangu Mbeya ilivyo nzuri na pia Corolla pekee mkoa mzima yenye number plate ya jina langu la ukoo.

NB : kupitia gari hii naheshimika mpaka na mkuu wa mkoa mpaka. vijana wa UWT chini ya ofisi ya mkuu wa mkoa .

Hivyo napenda kukupa hongera kwa kuchagua kilicho Bora Ila kukutia moyo kuwa endelea kupambana unaweza kumiliki Corolla 100
Hahaa sawa sawa.. Ninazo premio.. ila sasa hivi nataka nijipange nipate mpya ya kuagiza.. zinakuwa na kodi kubwa sababu ni gari za zamani
 
Subaru Forester maana ilikatisha maisha ya Brother wangu natamani na nitainunua Mungu akipa uzima.

Nataka kuinunua kisha nitembee nayo mpaka Kigoma alafu nikirudi niipark niwe naitazama tu.
Dahh upak8 tena
Harrier Anaconda ya 2023. Yale macho yananikosha..iwe nyeusiii

Audi Q5 iwe nyeusiii

BMW X5 iwe nyeusiii

Nissan xtrail ya 2024 iwe dark blue 🔥

Naziendesha sana ndotoni hizo gari 🥰
Kumbe ndotoni, hongera
 
Hahaa sawa sawa.. Ninazo premio.. ila sasa hivi nataka nijipange nipate mpya ya kuagiza.. zinakuwa na kodi kubwa sababu ni gari za zamani
Habari za kodi za uchakavu wala zizikuumize kichwa! we nunua unachopenda, hata ukinunua hayo yasiyo na kodi ya uchakavu bado utabanwa kwenye bei ya manunuzi!
Kwa mahesabu yangu naona bado ni nafuu sana kununua gari yenye uchakavu kuliko lisilo na uchakavu.
 
Mimi huwa napenda kuwa realistic. Kutofautisha matamanio halisi na yale ya mkumbo.
Kifupi huwa natama vitu kulingana na wakat niliopo au naouona naelekea kufika.

KWasasa hiv spacio niwe mkwel imenichosha. Na akil yangu kwasasa inawaza aidha Toyota Hilux au Harrier au Toyota Surf. na ukizingatia Mungu atatubariki mtoto wa 5 mapema mwakani, napambana nipate moja wapo ya hizo hapo.

Bado kabisa kufikia hatua ya kutaman Range au VxR kwasasa
 
Back
Top Bottom