Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

G Wagon na Ford Ranger Ranger.
20240917_145820.jpg
20240917_152918.jpg
20240917_152918.jpg
20240917_152848.jpg
20240917_145803.jpg
 
Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

View attachment 3063171
Huyu mnyama huyu acha tu..ipo siku
 
mimi ni chizi magari yakhee!
*Jeep wrangler ya mwaka huo huo nitakao pata pesa. ile ni gari ya kiume haswa! chaka tu pori.
*mercedes benz ya mwaka huo huo nikiokota pesa. ile ni kama $UIT kamwe haichuji, hii ni kwa ajili ya kujivinjari na mal*ya wangu.
*land cruiser LC 300, hii ni kwa vikao maalumu.
*Ford Ranger hii kwa ajili ya FUJO tu mjini.
hivi vigari uchwara vya kijapan ntawapa ndugu zangu wa kike ili wasinchonganishe na wifi zao.
N.B.
hii yote ni KAMA.
 
Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninayoipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.

View attachment 3063171
Yoyote, ila iwe, economical, comfortable, user friendly, safe. Hapo tutaelewana...
 
Back
Top Bottom