Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?


Kila lililo jema kwako mkuu
 

Probox
 
Naweza kuitambua vipi Nissan trail toleo la kwanza na pili
Njia rahisi kujua ni hii, kizazi cha kwanza dashboard yake speedometer zipo katikati kama ist,vitz na Rumion. Kizazi cha pili speedometer wameirudisha nyuma ya usukani halafu body yake imeshiba shiba. Mimi naipenda hii ya pili kwasababu sizipendi gari zenye speedometer katikati watu wote mnaona nini kinaendelea kwa dereva
 
Hizo hesabu zimekaaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Range rovers- haya magari si imara na yatakugharimu kiasi kikubwa kutengeneza. Na pia thamani yake inashuka haraka sana pale tu linapoanza kutumika. Mbadala wa hili unaweza kumiliki landcruiser 200series (maararufu kama v8)

2. Mazda rx8- sababu ya kuepuka haya magari ni kwamba; yanatumia mfumo tofauti wa engine hivo basi kuna uhaba wa mafundi wanaoweza kutengeneza. Engine yake haina pistons, haina cylinders, haina valve, zina kula sana mafuta.
Aina ya engine zinazotumia zinaitwa wankel au rotary Wankel engine - Wikipedia

Sasa unaweza ukajiuliza kwanini hizi engine walizitumia? Sababu ni kwamba ni engine ndogo na zinatoa nguvu kubwa kulinganisha na uzito wake (power to weight ratio) ivo ni nzuri na zinafaa zaid kwa magari ya michezo (sports cars)

 
We ni Mhaya?🤣🤣samahani lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…